Naona maisha yangu yako ukingoni, Sina Pesa wala kazi

Status
Not open for further replies.
Juzi alikuja na uzi mwingine akikanusha kwamba ile 50 Milion alikuwa anamuombea rafiki yake ushauri tu lakini yeye anatafuta kazi ya Upishi.

UTULIVU WA AKILI NYAKATI NGUMU NI MUHIMU SANA.
KUna watu wanachangamoto sana aisee,.
Sometimes hadi unaingiwa na Huruma na kuhisi labda ni Mental health au ndio kukata tamaa kwa hatua ya mwisho kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…