Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko siriasi nimekutungia mchana wakati nipo kibaruani, utaupenda naamini siunajuwa mimi ni jiniaz.Un
Acha kunitania wewe😂
Kama yuko tayari i will.shemela talk with her, abadilishe msimamo.
mtaani kwetu kijana 1 kaji nyonga aisee
Vijana wanapitia Hali ngumu sana. Amkeni muwafukuze hawa WAKOLONI WEUSI CCM. Butiku alishasema vijana msipoamka mtazidi kutawaliwa na wahuni. Wahuni hawana utu hata kidogo.Kila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
AmKATRINA ongea na mkubwa mwenzio, maana kuji ua sio vyema kabisa.Kama yuko tayari i will.
I miss you shem shem.
Nime kupeza pia shem shem, msalimie mchumba.Kama yuko tayari i will.
I miss you shem shem.
JiniaZ ni niniNiko siriasi nimekutungia mchana wakati nipo kibaruani, utaupenda naamini siunajuwa mimi ni jiniaz.
Ni makalio ya jini bebi, yaani 'jini azz'JiniaZ ni nini
Now hand over your phone 🫴Ni makalio ya jini bebi, yaani 'jini azz'
Sielewi kizungu mimi jamani hapo nimejifanyisha tu.Now hand over your phone 🫴
😹😹😹Hii akili hapana
Usikate tamaaKila ninapoomba kazi naambiwa subiri.
Sina kazi,
Sina pesa,
Sina anipendaye.
Sasa Duniani nafanya nini?
Leo tarehe 10/02/2025
Nahesabu siku za pumzi zangu zilizobaki.
Napambana naona nimefika tamati.
Msiponiona mjue nimefanya uamuzi mgumu.
Nawapenda wote wana Jamii Forums ❤️❤️❤️
Wenu Amkartina.
👋👋👋👋👋
Kwahio hujasomaSielewi kizungu mimi jamani hapo nimejifanyisha tu.
Huwezi kutulia ukiwa unapitia changamoto unatulia vipi wakati tumbo na kichwa na Mikono inatetemeka kwa njaa kaliWe dogo ebu tulia kwanza.
Eee nimeishia darasa la pili mihangaiko ya maisha tu ndio ilifanya nikaijuwa jeiefuKwahio hujasoma
Yesu anakujaje PMMwambie aje PM tuyajenge
😂😂😂Unanifurahisha sanaEee nimeishia darasa la pili mihangaiko ya maisha tu ndio ilifanya nikaijuwa jeiefu
I love this kiukweli..watu nyieHumu kuna watu wanapitia magumu sema wanajizima data tu.!!
Pole ma! Nitafute tuongee
Sawa nakufurahisha ila wewe hunifurahishi kwa nini usinikubalie au unaona aibu? wewe chelewa tu kuna wenzako wananifukuzia ki chini chini, ikifika kesho tu hotoamini utachokiona jeiefu kuhusu mimi.😂😂😂Unanifurahisha sana