Naona Maulid Kitenge na Wasafi FM ulikohamia rasmi mmeshaanza ‘ kuchemsha ‘ mapema tu

nimekuchukia wapi!?..nilikwambia tu uwe unaandika kwa muhtasari,ukapanic

Mbona sasa hivi unaonekana umekuwa Mpole, una Adabu zote na hujaandika Kwa Kunikejeli kama ' posts ' zako za Awali katika Uzi huu huu? Kulikoni? Wewe ulidhani nilivyojiita GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE labda nilibahatisha tu? Hivi hujui Kazi ya Dawa aina ya ' Antibiotics ' ndani ya Mwili wa Mwanadamu? Ni matumaini yangu makubwa sasa kuwa Kuanzia leo hii utakuwa unakaa mbali kabisa na hii ID na Kuiheshimu pia kwani ni ID isiyolea Ujinga ( Ungumbaru ) na Upumbavu ( Upopoma ) wa baadhi yenu hapa.
 
nina busara zaidi yako,sikulelewa kupenda majivuno,sioni tija ya mzozo wakati hatujuani sura wala rangi ya ngozi..na pole kama wadhani nakuogopa
 
nina busara zaidi yako,sikulelewa kupenda majivuno,sioni tija ya mzozo wakati hatujuani sura wala rangi ya ngozi..na pole kama wadhani nakuogopa

Haya ndiyo umeyajua hivi sasa baada ya Kunichokoza na Kupokea ' Makombora ' yangu ambayo yamekufanya uwe Mpole hivyo na hadi hata ' Kunyong'onyea ' kama ambavyo unaonekana sasa? Halafu nani alikuambia kuwa Mimi sina Busara au Adabu? Kwa Kukusaidia tu ni kwamba GENTAMYCINE nina Sifa Kuu mbili ambapo ukija Kwangu Kiustaarabu nami nitakuonyesha Ustaarabu wangu na hutoamini ila ukija Kwangu Kishari, Kihuni, Kiuchokozi na Kinafiki nakuambia hakuna rangi ambayo utaacha Kuiona na nitakuonyesha pia nilivyo Msela. Kanuni yangu haijabadilika ambapo Wewe ukitishia tu Kujamba Mimi nakunya kabisa.
 
ngoja nikudharau tu,huenda kweli ni dereva wa daladala,huwa mna visirani tu,maana kuamka saa kumi alfajir kulala saa sita usiku ni ngumu kuwa na fikra pevu na kukosa kisirani
 
 
 
Yaani unauliza Mimi ni nani wakati unajua kabisa kuwa Mimi ni ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE je, nikisema Wewe ni ' Popoma ' nitakuwa nakosea?
Huwezi kujipa sifa hizo wakat shule yenyew umeungaunga mpaka kujikuta unasoma chuo takataka kama SAUTI,kwa mimi nisingeweza kupoteza muda wangu kwenda pale...Pumbavu zako
 
Umelisahau kumwambia lile neno lako pendwa la Popoma[emoji16]
 
nawaona mapopoma mnatambaliziana mikuyenge ya futi sita 6
 
Huwezi kujipa sifa hizo wakat shule yenyew umeungaunga mpaka kujikuta unasoma chuo takataka kama SAUTI,kwa mimi nisingeweza kupoteza muda wangu kwenda pale...Pumbavu zako

Mliozaliwa kutokana na Tendo la Ngono lililosababisha Mimba zenu kupatikana kupitia Chooni na Jalalani mna taabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…