Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
- Thread starter
- #21
Bora umuambie mkuuBoss, c ujiongeze tuu Kwan hujui kuna typing error.? Wabongo kwa ujuaji tuko vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umuambie mkuuBoss, c ujiongeze tuu Kwan hujui kuna typing error.? Wabongo kwa ujuaji tuko vizuri.
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...Mpaka moyo umedunda,private sector kumbe Kuna watu wanapokea million 7,na nimfanyakazi tu hayupo kwenye board may be,kumbe nipo mbali na dunia .
Unataka uhuru, private kubanwa sana.yaani bosi mmoja akighafirika kazi huna,wasiwasi kibaoKawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Yap ila ngoja tujaribu mkuu huwez jua... Mungu akipanga inakujaga tuHiyo kazi nzuri sana,na ukiipata raha sana,ila sema kujuana kwingi na wanaoomba ni wengi sana
Un organisation na hiz NGO wanakula pesa nzur sana... ila mimi nataka kula hela zao kupitia consultation works.. na zipo nyingi sana.. na huwez kupata consultation za maana kama sio academician..Haha amka mkuu private sector hasa kwenye NGOs za kimataifa Watu wanavuta mipunga mirefu na wametulia tu
Halafu motivational speakers wanatudanganya eti bongo kutoboa hadi uwe mfanyabiashara tu
Watu mnadhani bongo waajiriwa wote wana njaa
ndo manake mkuu... hata hiyo hela huoni utamu wakeUnataka uhuru, private kubanwa sana.yaani bosi mmoja akighafirika kazi huna,wasiwasi kibao
Kupanga ni kuchaguaBora nilipwe mshahara mdogo serikalini kuliko mkubwa private sector
Nani kakwambia hawana mafao ya kazi kuisha?Hapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu
Hapo hana cha mafao ya kustaafu
Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje
Huna uhuru
Kwa miaka 5 anakuwa kaingiza zaidi ya milioni 300Hapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu
Hapo hana cha mafao ya kustaafu
Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje
Huna uhuru
Akili mtu wanguKwa miaka 5 anakuwa kaingiza zaidi ya milioni 300
Mtumishi wa serikali kwa miaka yake yote kuna wengine hawafikishi
Mafao ya kujitoa yanaitwa unalipwa ela yako yote ndio imeisha hyo sasa hela ikiisha sijui utafanyajeN
Nani kakwambia hawana mafao ya kazi kuisha?
HakikaKupanga ni kuchagua
Yani muhasibu WA UN arudi kitaa aanze kupiga miayo.Hapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu
Hapo hana cha mafao ya kustaafu
Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje
Huna uhuru
Kama alikua hajajipanga ni starehe tu lazima miayo ipigweYani muhasibu WA UN arudi kitaa aanze kupiga miayo.
Vijana tunadanganyana sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
HopefulMkuu, kila la heri. Kwenye kuutaka u academician hapo, we are sailing on the same boat 🚢
Najua mambo yatakaa sawa with the applications you have made, pale watakapoanza kuita kwa ajili ya usaili.
Una a very poor mindset mkuu.. usitake tuwek salary slip hapa.Wengi watoa comments ni jobless hata mtoa mada ni jobless.
Vijana tunadanganyana sana mtu hana hata uhakika wa kuingiza million kwa mwezi eti anaongelea mshahara wa million 7,ivii unajua mshahara wa mkuu wa mkoa wewe.
Interesting.Un organisation na hiz NGO wanakula pesa nzur sana... ila mimi nataka kula hela zao kupitia consultation works.. na zipo nyingi sana.. na huwez kupata consultation za maana kama sio academician..
Mwisho wa siku aisee.. wenye elimu ndo hutajirika asikuambie mtu... hizi consultation works wananyonga hizo dola elfu kumi kumi bila jasho