Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Hapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu

Hapo hana cha mafao ya kustaafu

Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje

Huna uhuru
Uhuru maybe uko sawa… maana mostly masaa ya kazi yanaisha saa 11 jioni

Mafao yapo as usual, usiongee kitu usichokijua.

Mikopo ipo as usual…
 
Kimsingi that was my dream job ila sasa sikufanikiwa kuokota the required grades. Nilimiss 3.8 Gpa by a few points it hurt me alot sababu naelewa nilihujumiwa tu na uwezo ninao. Huwa nawaza sijui nifanye post graduate na masters niweze ingia huko ila nikiwaza competition ilivyo dah.
Ila walimu wa chuo wana enjoy sana muda wao hasa wanaoishi campus.
p wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana.

Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya kujitafakari, nimeona endapo nitabaki huku nilipo kwa sasa, sio tu kwamba uchumi wangu utadumaa ila kwa level ya stress nahisi naweza pia nisiishi a quality life ambayo naiota.

Option nnayoichukua ya tutorial assistant itakuwa na mshahara pungufu mara mbili ya unaopata sasa ila kiukweli naona kama ubora wa maisha utakuwa mkubwa.

Halafu kingine ni kwamba, hizi nchi zetu miaka 15 wataokuja kuifaidi ni wasomi kwahiyo nimeoa nichukue huu mrengo wa kuwa academician ili hii miaka 5 au 7 inayokuja nihakikishe napata kabisa na PhD.

Nimekaa chini ninefikiria nimegundua hapa nilipo inawezekana nacheza makidamakida. Watu wapo kwenye academic wanakula good time sana aisee, kuna research, consultation zinawaingizia hela ndefu sana.. Halafu pia free time kibao.

Kuna jamaa aliweka uzi hapa kuhusu uzuri wa kazi za U tutorial na u assistant lecturer watu wengi wakamdharau.. ila kwa kweli naomba nimuunge mkono. Sisi tulio kwenye sekta binafsi kama mshahara wako ni chini ya milioni 7 kwa mwezi wewe jua bado unaishi maisha ya chini sana kulinganisha academician. Ukitaka kuligundua hilo, angalia maisha ya academician wengi na vitu wanavomiliki. Na ndio sababu ni mara chache sana mtu akishaingia kuwa academician akaacha akaenda kufanya ajira nyingine ila nimeshuhudia mara nyingi watu wakiacha kazi mpaka benki kuu na kwenda kuwa academician.

Utumishi naombeni sana mfanye mambo fasta fasta.. nimeomba nafasi nyingi sana najua lazima ntaambulia japo moja, nimechoka kupelekeshwa na vilaza huku kwenye private sector.
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Aiseee 😃😃
Nimeshindwa hata kushangaa


Kipi exactly ambacho huenjoy hapo ulipo?? Masaa ya kazi ni mengi au? Au maboss kelele mingi?
 
Kimsingi that was my dream job ila sasa sikufanikiwa kuokota the required grades. Nilimiss 3.8 Gpa by a few points it hurt me alot sababu naelewa nilihujumiwa tu na uwezo ninao. Huwa nawaza sijui nifanye post graduate na masters niweze ingia huko ila nikiwaza competition ilivyo dah.
Ila walimu wa chuo wana enjoy sana muda wao hasa wanaoishi campus.
Pole sana mkuu.
 
Labda kwa huo upande…

Maana huku siku boss akiambiwa amchomeke mtoto wa shangazi yake basi ni anasakwa mtu wa kunyofolewa 🙃
Hahahaaa....
Kwa sauti ya watangazaji wa mpira:

"Ananyanyuliwa kutoka benchi, ni mtoto wa shangazi huyu anapashapasha misuli hapa...."
"Hebu tuone nani atakwenda nje kutoa nafasi kwa kijana machachari kutoka ushangazini..."

Hapo akina Depal wanatetemeka kwa hofu huko ndani
 
Hahahaaa....
Kwa sauti ya watangazaji wa mpira:

"Ananyanyuliwa kutoka benchi, ni mtoto wa shangazi huyu anapashapasha misuli hapa...."
"Hebu tuone nani atakwenda nje kutoa nafasi kwa kijana machachari kutoka ushangazini..."

Hapo akina Depal wanatetemeka kwa hofu huko ndani
Inasikitisha sana 😂


Muhimu ni mtu kuwa responsible for your duties, inakupunguzia chances za kukutana na misala ya dizaini hiyo..

Ila ukiwa wale file lako lina warning letters za hapa na pale, mara kuna tetesi unakulana na work mate, mara hauko neat and timely kwenye majukumu yako... wee hapo inakuwa ni one mistake kwako, one goal kwa mtoto wa shangazi 🥲
 
Inasikitisha sana 😂


Muhimu ni mtu kuwa responsible for your duties, inakupunguzia chances za kukutana na misala ya dizaini hiyo..

Ila ukiwa wale file lako lina warning letters za hapa na pale, mara kuna tetesi unakulana na work mate, mara hauko neat and timely kwenye majukumu yako... wee hapo inakuwa ni one mistake kwako, one goal kwa mtoto wa shangazi 🥲
Hapo kwenye kukulana na work mate nadhani hakuna baya. Except "uingilie maeneo tengefu" (vya wakubwa wako).
 
Back
Top Bottom