TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Perfection ni nzuri ingawa wakati mwingine uzingua ukiwa na haraka!Boss, c ujiongeze tuu Kwan hujui kuna typing error.? Wabongo kwa ujuaji tuko vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perfection ni nzuri ingawa wakati mwingine uzingua ukiwa na haraka!Boss, c ujiongeze tuu Kwan hujui kuna typing error.? Wabongo kwa ujuaji tuko vizuri.
Mshamba huyo NSSF wanalipiwa kama kawaidaN
Nani kakwambia hawana mafao ya kazi kuisha?
Ndio maana darasa lolote kunakuwa na wa kwanza na wa mwishoMmhh. Sijaelewa kituu.
Kwanini?Bora nilipwe mshahara mdogo serikalini kuliko mkubwa private sector
Uhuru maybe uko sawa… maana mostly masaa ya kazi yanaisha saa 11 jioniHapo mkataba miaka mitano baada ya hapo anarudi benchi kusugua matako ajira yake sio ya kudumu
Hapo hana cha mafao ya kustaafu
Amekalia kuti kavu mda wowote wanakuondoa inategemea mabosi wameamkaje
Huna uhuru
p wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana.
Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya kujitafakari, nimeona endapo nitabaki huku nilipo kwa sasa, sio tu kwamba uchumi wangu utadumaa ila kwa level ya stress nahisi naweza pia nisiishi a quality life ambayo naiota.
Option nnayoichukua ya tutorial assistant itakuwa na mshahara pungufu mara mbili ya unaopata sasa ila kiukweli naona kama ubora wa maisha utakuwa mkubwa.
Halafu kingine ni kwamba, hizi nchi zetu miaka 15 wataokuja kuifaidi ni wasomi kwahiyo nimeoa nichukue huu mrengo wa kuwa academician ili hii miaka 5 au 7 inayokuja nihakikishe napata kabisa na PhD.
Nimekaa chini ninefikiria nimegundua hapa nilipo inawezekana nacheza makidamakida. Watu wapo kwenye academic wanakula good time sana aisee, kuna research, consultation zinawaingizia hela ndefu sana.. Halafu pia free time kibao.
Kuna jamaa aliweka uzi hapa kuhusu uzuri wa kazi za U tutorial na u assistant lecturer watu wengi wakamdharau.. ila kwa kweli naomba nimuunge mkono. Sisi tulio kwenye sekta binafsi kama mshahara wako ni chini ya milioni 7 kwa mwezi wewe jua bado unaishi maisha ya chini sana kulinganisha academician. Ukitaka kuligundua hilo, angalia maisha ya academician wengi na vitu wanavomiliki. Na ndio sababu ni mara chache sana mtu akishaingia kuwa academician akaacha akaenda kufanya ajira nyingine ila nimeshuhudia mara nyingi watu wakiacha kazi mpaka benki kuu na kwenda kuwa academician.
Utumishi naombeni sana mfanye mambo fasta fasta.. nimeomba nafasi nyingi sana najua lazima ntaambulia japo moja, nimechoka kupelekeshwa na vilaza huku kwenye private sector.
Aiseee 😃😃Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...
Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Pole sana mkuu.Kimsingi that was my dream job ila sasa sikufanikiwa kuokota the required grades. Nilimiss 3.8 Gpa by a few points it hurt me alot sababu naelewa nilihujumiwa tu na uwezo ninao. Huwa nawaza sijui nifanye post graduate na masters niweze ingia huko ila nikiwaza competition ilivyo dah.
Ila walimu wa chuo wana enjoy sana muda wao hasa wanaoishi campus.
Wanaita job security..pia uhuru upo wakutosha...unaweza pata muda wa kufanya harakati zako yani side hustles.Kwanini?
Asante sana mkuuPole sana mkuu.
Phd anapigwa 5m kwa mwezi..hata kama ni jalalani hawa jamaa wanaenjoy elimu yao sana..bado hajapata consultations.Nasikia huko kwenye u academician ni jalalani according to Kabudi. So umeamua kwenda jalalani
Labda kwa huo upande…Wanaita job security..pia uhuru upo wakutosha...unaweza pata muda wa kufanya harakati zako yani side hustles.
#MaendeleoHayanaChama
Poleni sana.Labda kwa huo upande…
Maana huku siku boss akiambiwa amchomeke mtoto wa shangazi yake basi ni anasakwa mtu wa kunyofolewa [emoji854]
Hahahaaa....Labda kwa huo upande…
Maana huku siku boss akiambiwa amchomeke mtoto wa shangazi yake basi ni anasakwa mtu wa kunyofolewa 🙃
Inasikitisha sana 😂Hahahaaa....
Kwa sauti ya watangazaji wa mpira:
"Ananyanyuliwa kutoka benchi, ni mtoto wa shangazi huyu anapashapasha misuli hapa...."
"Hebu tuone nani atakwenda nje kutoa nafasi kwa kijana machachari kutoka ushangazini..."
Hapo akina Depal wanatetemeka kwa hofu huko ndani
Hapo kwenye kukulana na work mate nadhani hakuna baya. Except "uingilie maeneo tengefu" (vya wakubwa wako).Inasikitisha sana 😂
Muhimu ni mtu kuwa responsible for your duties, inakupunguzia chances za kukutana na misala ya dizaini hiyo..
Ila ukiwa wale file lako lina warning letters za hapa na pale, mara kuna tetesi unakulana na work mate, mara hauko neat and timely kwenye majukumu yako... wee hapo inakuwa ni one mistake kwako, one goal kwa mtoto wa shangazi 🥲
WeeeHapo kwenye kukulana na work mate nadhani hakuna baya. Except "uingilie maeneo tengefu" (vya wakubwa wako).
RudeWeee
Work ethic’s si zinakataza? Najua hivyo mie..maana hata hapa ni hairuhusiwi mahusiano kazini.