Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Itabd mkuu aweke salary slip hapa watu waamini
Mkuu tusimbishir it's possible. Nina very close friends of mine mmoja alipata kazi alitoka serikalini na mshahara wa laki saba akaenda kuanza na mshahara wa milioni 4.2 kwenye NGO.. Mwingine alitoka kwenye NGO moja na salary ya 3M a kapata kazi akaanza kunja 7.8M per month... Hawa nina ushahidi kabisa....
 
Kimsingi that was my dream job ila sasa sikufanikiwa kuokota the required grades. Nilimiss 3.8 Gpa by a few points it hurt me alot sababu naelewa nilihujumiwa tu na uwezo ninao. Huwa nawaza sijui nifanye post graduate na masters niweze ingia huko ila nikiwaza competition ilivyo dah.
Ila walimu wa chuo wana enjoy sana muda wao hasa wanaoishi campus.
Haya Maisha jamaa aliyenayo kwenye academics atapoteza Sana.
Kwa nini utoke kwenye kazi uende ulipwe nusu? Anasema miaka mitatu ijayo atalupewa mil 6, kwenye academics nani analipwa hiyo kama si full professors Sasa lini atakuwa professor?
Akomae huko apate hela apite zake afanye mambo mengine.
 
Haya Maisha jamaa aliyenayo kwenye academics atapoteza Sana.
Kwa nini utoke kwenye kazi uende ulipwe nusu? Anasema miaka mitatu ijayo atalupewa mil 6, kwenye academics nani analipwa hiyo kama si full professors Sasa lini atakuwa professor?
Akomae huko apate hela apite zake afanye mambo mengine.
Huenda kawa misled maana machapisho naona wenye phd ndio hufanyaga zaidi
 
Mleta mada fuata hiko kinachokuambia nafsini uwe academician huko private ni pasua kichwa haswa pale meza inapopinduka juu chini.
 
Ukiingia private fanya kama unastaafu mwisho wa mkataba wako. Weka hela sehemu itakayokuzalishia mwisho wa mkataba. Ukisaini mkataba mpya panua uwekezaji.

Ukiwa serikalini sahau professional yako. Jifunze neno MKUU, kubali u-chawa, majungu na kukopa bank.

Ukiwa academician ni kama wanawake wa uswahilini kushindana kununua magari, kutafuna mabinti baada ya kuwatishia kuwakamata, kujigamba darasani ulivyotoka safari ya nje ya nchi, kutembea kwa mikogo utadhani chuo ni chako, kuomba kuongezewa muda wa kufundisha baada ya kustafishwa.

Conclusion: fainali ya uzeeni inawapiga Sana wa serikalini.
 
Kiukweli wakuu, mimi ni mmoja wa watu ambao kwa sasa nazipigania hizi ajira za u tutorial assistant kwa kiu kubwa sana.

Ni kwamba nipo kwenye private sector lakini ki uhalisia kabisa baada ya kujitafakari, nimeona endapo nitabaki huku nilipo kwa sasa, sio tu kwamba uchumi wangu utadumaa ila kwa level ya stress nahisi naweza pia nisiishi a quality life ambayo naiota.

Option nnayoichukua ya tutorial assistant itakuwa na mshahara pungufu mara mbili ya unaopata sasa ila kiukweli naona kama ubora wa maisha utakuwa mkubwa.

Halafu kingine ni kwamba, hizi nchi zetu miaka 15 wataokuja kuifaidi ni wasomi kwahiyo nimeoa nichukue huu mrengo wa kuwa academician ili hii miaka 5 au 7 inayokuja nihakikishe napata kabisa na PhD.

Nimekaa chini ninefikiria nimegundua hapa nilipo inawezekana nacheza makidamakida. Watu wapo kwenye academic wanakula good time sana aisee, kuna research, consultation zinawaingizia hela ndefu sana.. Halafu pia free time kibao.

Kuna jamaa aliweka uzi hapa kuhusu uzuri wa kazi za U tutorial na u assistant lecturer watu wengi wakamdharau.. ila kwa kweli naomba nimuunge mkono. Sisi tulio kwenye sekta binafsi kama mshahara wako ni chini ya milioni 7 kwa mwezi wewe jua bado unaishi maisha ya chini sana kulinganisha academician. Ukitaka kuligundua hilo, angalia maisha ya academician wengi na vitu wanavomiliki. Na ndio sababu ni mara chache sana mtu akishaingia kuwa academician akaacha akaenda kufanya ajira nyingine ila nimeshuhudia mara nyingi watu wakiacha kazi mpaka benki kuu na kwenda kuwa academician.

Utumishi naombeni sana mfanye mambo fasta fasta.. nimeomba nafasi nyingi sana najua lazima ntaambulia japo moja, nimechoka kupelekeshwa na vilaza huku kwenye private sector.
Unatushauri nn sie wenye gpa below na required (3.5) ambao tunatamani tuingie uko kwenye kufundisha? Tukapige masters tutoke na gpa above 4? au tukapige digrii nyingine tutafute above 3.5?
 
Sio mbaya mkuu,uzuri uzoefu angalau unao.View attachment 2285068
Maskini ya Mungu... umenikumbusha mbali mkuu.. Yap nilikuwa jobless.. Ngoja nikupe mchapo baada ya hapo ilikuwaje.

Mwezi wa 11 mwaka huo huo nilipata kazi ya laki saba kwa mwezi. Mpaka mwaka 2020 mshahara ulipanda na ukawa unacheza kwenye 2,600,000 mwaka jana mwezi wa sita nikaotea mchongo kwenye kampuni ingine kwa salary ya 4,100,000 ndo mana nikakuambia baada ya miaka miwili ntakuwepo kwenye milioni 7..

Nilipitia Magumu ndio ila sikukata tamaa mkuu.. Endelea kufukua makaburi
 
Mkuu tusimbishir it's possible. Nina very close friends of mine mmoja alipata kazi alitoka serikalini na mshahara wa laki saba akaenda kuanza na mshahara wa milioni 4.2 kwenye NGO.. Mwingine alitoka kwenye NGO moja na salary ya 3M a kapata kazi akaanza kunja 7.8M per month... Hawa nina ushahidi kabisa....
Wamekariri maisha.... yaani mtu anajua kuanzia mwaka 2016 mpaka leo ni miaka 6 imepita kwamba bado ntakuwa broke? JF member itabidi tuache mindset za kimaskini... kwambq mtu umeona milioni 7 sijui 4 ni mshahara wa maana
 
Unatushauri nn sie wenye gpa below na required (3.5) ambao tunatamani tuingie uko kwenye kufundisha? Tukapige masters tutoke na gpa above 4? au tukapige digrii nyingine tutafute above 3.5?
Daaah sema hapo vigezo sasa walivoweka.. labda private universities huwa wana relax conditions za GPA ila vyuo vya serikali naona wapo static kwenye GPA
 
Bora tu uende huko serikarini prvt sector aiseeee stress hapana ,bora upate kidogo lkn with less/no stress kuliko kupata kingi na mateso ya stress hata hizo pesa hutozifaidi yani.
kabisa mkuu.. lakini mimi na target serikalini ila iwe chuo kikuuu cha serikali. Ofisi ys kawaida serikalini sitaki
 
Ukiingia private fanya kama unastaafu mwisho wa mkataba wako. Weka hela sehemu itakayokuzalishia mwisho wa mkataba. Ukisaini mkataba mpya panua uwekezaji.

Ukiwa serikalini sahau professional yako. Jifunze neno MKUU, kubali u-chawa, majungu na kukopa bank.

Ukiwa academician ni kama wanawake wa uswahilini kushindana kununua magari, kutafuna mabinti baada ya kuwatishia kuwakamata, kujigamba darasani ulivyotoka safari ya nje ya nchi, kutembea kwa mikogo utadhani chuo ni chako, kuomba kuongezewa muda wa kufundisha baada ya kustafishwa.

Conclusion: fainali ya uzeeni inawapiga Sana wa serikalini.
Fainali uzeeni itampiga yeyote yule ambaye hana discpline ya maisha
 
Ukiingia private fanya kama unastaafu mwisho wa mkataba wako. Weka hela sehemu itakayokuzalishia mwisho wa mkataba. Ukisaini mkataba mpya panua uwekezaji.

Ukiwa serikalini sahau professional yako. Jifunze neno MKUU, kubali u-chawa, majungu na kukopa bank.

Ukiwa academician ni kama wanawake wa uswahilini kushindana kununua magari, kutafuna mabinti baada ya kuwatishia kuwakamata, kujigamba darasani ulivyotoka safari ya nje ya nchi, kutembea kwa mikogo utadhani chuo ni chako, kuomba kuongezewa muda wa kufundisha baada ya kustafishwa.

Conclusion: fainali ya uzeeni inawapiga Sana wa serikalini.
Umenena mule mule..academicians wengi ndio tabia zao hizo.



#MaendeleoHayanaChama
 
Huenda kawa misled maana machapisho naona wenye phd ndio hufanyaga zaidi
Hamna mkuu research ni passion ya mtu na mimi nimejipima nnayo. Hakuna rule kwamba ukiwa na PhD ndo ufanye publication. Hata ukiwa na Bachelor unaweza fanya publication.

Issue unakuja kwamba, ili upate hizo opportunities za kuandika proposal, clients wengi huwa wanatafuta PhD holders kwa sababu ya experience ya kufanya research.

Ila sasa, PhD holders huwa research wanachaachia Masters wazifanya kuanzia kwenye data collection na hapo ndipo vijana wenye Masters na wao wanatengeneza pesa
 
Haya Maisha jamaa aliyenayo kwenye academics atapoteza Sana.
Kwa nini utoke kwenye kazi uende ulipwe nusu? Anasema miaka mitatu ijayo atalupewa mil 6, kwenye academics nani analipwa hiyo kama si full professors Sasa lini atakuwa professor?
Akomae huko apate hela apite zake afanye mambo mengine.
Ni maisha tu mkuu.. Mimi nafuata zaidi falsafa za kistoicism ambayo msingi mkubwa wanakuambia hakikisha kazi unayoifanya kwenye maisha yako isipishane sana na kitu unachokipenda.

Inaitwa "Living with Arete"
 
Biashara naona ni another hustle.. nna ndoto za kujiajiri lakini ni mpaka pale ntapokuwa academician maana nimeshaset mipango na kujiajiri kwangu ni kufungua kampuni la consulancy nje ya academic. Kwahiyo ntakuwa nafanya aina moja ya kazi.

Kingine pia naamini nna emotional intelligence kubwa na maadili pia. Sidhani na haiwezi tokea kutembea na wanafunzi. Nna uzoefu wa miaka 5 na ushee kwenye private sector na sijawah kula mfanyakzi mwenzangu mbali na kwamba vishawishi ni vikubwa.. sijajiweka kihivo
Mkuu

Kula wanafunzi nimeisema kama joke tu..

Naona upo deep and comfortable zaidi kwenye environment ya kuajiriwa....

Hiyo consulting firm usipoangalia itakua ni extension ya your ajira and not a real bankable self driven business....

Lakini sawa....follow your passion man...na infact utapata success
 
Back
Top Bottom