Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Kua kwenye private sector hua kuna advantage endapo utakua ni mtu wa kutafuta kazi iliobora deile...unaanza na .e ofisi fulani unakula 1.5m unafanya kazi miaka 2 au 3 ukitola hapo unaelekea sehemu ingine possibility ya kudouble huo mshahara ni kubwa sana hiiukikaa hio sehemu ingine miaka 2 kufika kwenye 6m-8m ni jambo jepesi tatizo la watu wengi haswa wa private sector ni kutaka kukaa sehemu moja miaka mingi i.e unakaa ofisi moja miaka 6-7 unasubiria nini...
This is my principle. Niko private sector tangu nimalize intern, Organization niliyokaa sana nilikaa kama miaka miwili na miezi minne. Zilizobaki zote ni mwaka mmoja na nusu hivi. Hadi sasa nimeshafanya kazi organizations 7. Salary yangu ya sasa ukilinganisha na ya 2014-15 ni zaidi ya mara tano.
Ila pia kuna hasara yake, wengine wanaku-label kama 'job-hopper' na mtu ambae sio loyal na sio reliable. Nimeshakutana na hilo swali la kwamba inaonekana wewe sio mtu wa kukaa sehemu moja,u are a job-hopper kwenye interviews, ila huwa nalipangua kisiasa.
 
Kama wewe ni mtumishi wa umma ukitaka uumie roho angalia profile za uliosoma nao huko linkedin hapo wewe miaka 5 cheo kimoja wenzako wamebadili ofisi mara 3 mpunga mrefu wewe unapambana na mkurugenzi..akupitishie malipo yako ya uhamisho wa kutoka newala kwenda kasesya...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha...!!! I usually experience this kwenye WhatsApp group la darasa, my colleagues wengi wao wali-opt the conventional way wapo zao serikalini, kila siku ni kulalama tu aisee kwa group, huwa nawa zoom tu. Juzi kati full kushangilia ile 23%. Nawachekiiii, nasema anyways maisha ni kuchagua, hata huku private kuna risks zake pia.
 
This is my principle. Niko private sector tangu nimalize intern, Organization niliyokaa sana nilikaa kama miaka miwili na miezi minne. Zilizobaki zote ni mwaka mmoja na nusu hivi. Hadi sasa nimeshafanya kazi organizations 7. Salary yangu ya sasa ukilinganisha na ya 2014-15 ni zaidi ya mara tano.
Ila pia kuna hasara yake, wengine wanaku-label kama 'job-hopper' na mtu ambae sio loyal na sio reliable. Nimeshakutana na hilo swali la kwamba inaonekana wewe sio mtu wa kukaa sehemu moja,u are a job-hopper kwenye interviews, ila huwa nalipangua kisiasa.
Hata koneksheni mkuu hutupi? Wadogo zako tunaozea kitaa huku na taaluma zetu hata Tamisemi wanatuzoom tu. Imagine hata kutupeleka vijijini ndani ndani ambapo usafiri kwenda mjini ni Lori(Isuzu) la M/kiti wa Kata wa CCM
 
Mungu ni mwema mkuu na bado sijachoka kuzitafuta na kuzipiga hatua. Sijawahi kujisikia nimeshiba hata siku moja ndo maana hara mshahara nilionao sasa haunishtui kabisa maana naona nna uwezo wa kupata maradufu.

Ni kweli miaka 6 iliyopita nilikuwa broke kaboka mchizi. Ila now its a history.. Sitafuti tena hela ya kula kama nilivoandika huo uzi miaka 6 iliyopita..
Sawa mkuu,all the best.
 
Wamekariri maisha.... yaani mtu anajua kuanzia mwaka 2016 mpaka leo ni miaka 6 imepita kwamba bado ntakuwa broke? JF member itabidi tuache mindset za kimaskini... kwambq mtu umeona milioni 7 sijui 4 ni mshahara wa maana
Ukiwa kwenye NGO unaona ni mdogo maana unatumika mno na kuwa subjected into a lot of stress... Unaona kabisa unachopata doesn't worth your mental health
 
Kua kwenye private sector hua kuna advantage endapo utakua ni mtu wa kutafuta kazi iliobora deile...unaanza na .e ofisi fulani unakula 1.5m unafanya kazi miaka 2 au 3 ukitola hapo unaelekea sehemu ingine possibility ya kudouble huo mshahara ni kubwa sana hiiukikaa hio sehemu ingine miaka 2 kufika kwenye 6m-8m ni jambo jepesi tatizo la watu wengi haswa wa private sector ni kutaka kukaa sehemu moja miaka mingi i.e unakaa ofisi moja miaka 6-7 unasubiria nini...
Upo sahihi kabisa
 
This is my principle. Niko private sector tangu nimalize intern, Organization niliyokaa sana nilikaa kama miaka miwili na miezi minne. Zilizobaki zote ni mwaka mmoja na nusu hivi. Hadi sasa nimeshafanya kazi organizations 7. Salary yangu ya sasa ukilinganisha na ya 2014-15 ni zaidi ya mara tano.
Ila pia kuna hasara yake, wengine wanaku-label kama 'job-hopper' na mtu ambae sio loyal na sio reliable. Nimeshakutana na hilo swali la kwamba inaonekana wewe sio mtu wa kukaa sehemu moja,u are a job-hopper kwenye interviews, ila huwa nalipangua kisiasa.
Dr nakutafuta sana
 
Hata koneksheni mkuu hutupi? Wadogo zako tunaozea kitaa huku na taaluma zetu hata Tamisemi wanatuzoom tu. Imagine hata kutupeleka vijijini ndani ndani ambapo usafiri kwenda mjini ni Lori(Isuzu) la M/kiti wa Kata wa CCM
Hahahahahaha...!! Connection wapi mkuu mimi pia mganga njaa tuu, mhangaikaji
 
Ukiwa kwenye NGO unaona ni mdogo maana unatumika mno na kuwa subjected into a lot of stress... Unaona kabisa unachopata doesn't worth your mental health
We ndo umeelewa concept nzima ya uzi. Yaani maana yake private sector ile mishahara japo watu wanaiona mikubwa ila bado ni kama unanyonywa sana... Thanks
 
Kua kwenye private sector hua kuna advantage endapo utakua ni mtu wa kutafuta kazi iliobora deile...unaanza na .e ofisi fulani unakula 1.5m unafanya kazi miaka 2 au 3 ukitola hapo unaelekea sehemu ingine possibility ya kudouble huo mshahara ni kubwa sana hiiukikaa hio sehemu ingine miaka 2 kufika kwenye 6m-8m ni jambo jepesi tatizo la watu wengi haswa wa private sector ni kutaka kukaa sehemu moja miaka mingi i.e unakaa ofisi moja miaka 6-7 unasubiria nini...
Yaah mkuu hapo nakuunga mkono... Mi huwa nashangaa mtu anakaa kampuni moja zaidi ya miaka 2 sijui unatafuta nini... Endapo itashindikana kuwa academician effort kubwa ni kuruka kazi daily ili nihakikishe mpunga unakuwa mrefu haraka iwezekanavyo.

Sema najua sitapata enjoyment kabisa maan passion haipo.. Mshahara tu ndo naufurahia..
 
Kama wewe ni mtumishi wa umma ukitaka uumie roho angalia profile za uliosoma nao huko linkedin hapo wewe miaka 5 cheo kimoja wenzako wamebadili ofisi mara 3 mpunga mrefu wewe unapambana na mkurugenzi..akupitishie malipo yako ya uhamisho wa kutoka newala kwenda kasesya...😂😂😂😂
Ndo ukweli mkuu... mi ndo maana napendelea kufundisha chuo ikishindikana serikali kwengine hapana kabisa
 
This is my principle. Niko private sector tangu nimalize intern, Organization niliyokaa sana nilikaa kama miaka miwili na miezi minne. Zilizobaki zote ni mwaka mmoja na nusu hivi. Hadi sasa nimeshafanya kazi organizations 7. Salary yangu ya sasa ukilinganisha na ya 2014-15 ni zaidi ya mara tano.
Ila pia kuna hasara yake, wengine wanaku-label kama 'job-hopper' na mtu ambae sio loyal na sio reliable. Nimeshakutana na hilo swali la kwamba inaonekana wewe sio mtu wa kukaa sehemu moja,u are a job-hopper kwenye interviews, ila huwa nalipangua kisiasa.
Umeongea ukweli mkuu... nimepambana kuingia kwenye UN na international GOs imeshindikana kabisa hata inteviews siitwi..najua huko ndo pia watu wanapiga hela...

Mkuu nikikosa kuwa acedemician naomba nikutafute mkuu unishike mkono..

Asante
 
Hatua uliyopo hauwezi kushindwa hata ku-endorse mmojawapo mwenye sifa husika mkuu.

Tumebaki tunamlaani tu yule mzee aliyejilalia zake kwa kuvuruga ile system ya kuajiriwa moja kwa moja kwa zile kada za Afya na Elimu
Kuna kitu kizuri kimetokea kwenye ajira hapa Tanzania miezi 15 iliyopita. Mama Samia ameleta confidence fulani kwenye soko la ajira.

Ajira zimekuwa nyingi sana, mimi mwenyewe hapa nilipo ni kazi mpya ambayo niliipata mwaka jana. Na huu mwaka nimefanya interview 1 ambayo almanusura nicheke na nyavu ila haijawa.

Ukweli mzee wa chato alizima confidence kwenye uchumi.. imagine mimi tangu 2016 mpaka 2021 ndo nahama kampuni.. na milango ilikuwa migumu.

Tuombe confidence iendelee kuwepo kwenye uchumi, fursa zitakuwa nyingi sema ndo hivo tena, life la private sector linachosha mwili na pressure ni kubwa
 
Ukiwa unaandika 'paper' na ukawa bize na mambo yako; hii kazi utaifurahia, ila ukiwa mkuu wa idara au ukaingia kwenye mgt, huwa inachosha.
Yaah mbinu kubwa ni kujikita na kuandika paper tu na kufanya research na kuachana na hayo mambo ya uongozi na management.

Mi kuna call for proposal nyingi nazionaga ambazo najisemea kabisa hizi dola 5,000 elfu kumi ningekuwa naruka nazo sana...

Na ukishaingia huko inakuwa rahisi pia kuingia kwenye UN system ambapo huko ndo kama watu wanaokota hela..
 
Yaah mbinu kubwa ni kujikita na kuandika paper tu na kufanya research na kuachana na hayo mambo ya uongozi na management.

Mi kuna call for proposal nyingi nazionaga ambazo najisemea kabisa hizi dola 5,000 elfu kumi ningekuwa naruka nazo sana...

Na ukishaingia huko inakuwa rahisi pia kuingia kwenye UN system ambapo huko ndo kama watu wanaokota hela..
Changamoto zingine ni kwenye kusahisha majaribio na mitihani, hapo unakuwa huna tofauti na walimu wa sekondari/msingi. Kama unafundisha wanafunzi 100+ masomo tofauti tofauti hapo mgongo lazima upinde.
 
Back
Top Bottom