Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wapumbavu wapo siku zoteYani muhasibu WA UN arudi kitaa aanze kupiga miayo.
Vijana tunadanganyana sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kuwa muhasibu wa UN haimanishi ni wote wana nidhamu ya fedha
Acha kukariri