Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

Labda kwa huo upande…

Maana huku siku boss akiambiwa amchomeke mtoto wa shangazi yake basi ni anasakwa mtu wa kunyofolewa [emoji854]
Hadi hapo nadhani umepata jibu

Serikali wengi wanakimbilia kwa sababu ya job security

Sio kwamba hakuna asiyependa mshahara mkubwa watu wanapenda sana maslahi na kama ilivyo mshahara haujawahi tosha

So unakuta hauna jinsi
 
Un organisation na hiz NGO wanakula pesa nzur sana... ila mimi nataka kula hela zao kupitia consultation works.. na zipo nyingi sana.. na huwez kupata consultation za maana kama sio academician..

Mwisho wa siku aisee.. wenye elimu ndo hutajirika asikuambie mtu... hizi consultation works wananyonga hizo dola elfu kumi kumi bila jasho
Yeah kwa mtu anayependa kusoma sana hiyo imekaa vizuri maana kusoma sana nacho ni kipaji
 
Sio mbaya mkuu,uzuri uzoefu angalau unao.
Screenshot_20220709-103256.jpg
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Acha uongo
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Bipolar
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Mkuu umepiga hatua haraka haraka Sana,Mungu amekunyanyua Sana Maana miaka kadhaa iliyopita Hali ilikua Tete Ila Sasa hivi Naona unachezea kwny Tsh. mid-seven hongera sana boss.
Screenshot_20220709-103018.jpg
Screenshot_20220709-103055.jpg
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Unataka kuishi kwenye comfort zone ni tatizo kubwa sana la waafrika na watanzania
 
Kawaida sana mkuu.. hiyo hela watu kibao wanapokea... sema ndo hivo salary sio kila kitu ukifikiria sana ubora wa maisha haupo kwenye salary pekeake...

Mimi mahali nilipo miaka 2 inayokuja au nitakuwa kwenye hizo level za 6 mpka 7 ila nimeona is not worth it.. still sioni future kwenye private sector... halafu i am not enjoying
Kusanya mtaji ukafanye mambo yako kwenye academics napo hakuna urahisi unaofikiri......kwanza ni sababu serikali imelala ila wakiamua kufuata miongozo watu wafanye research hakuna hiyo free time unayoisema.
Ongeza na teaching load ilivyo kubwa utazunguka na booklet mpk ukome.
Halafu hamna hela kiviile utatoka kwa tabu sana.
Angalia madaktari wengi waliokufundisha Wana lipi la ajabu.
 
Back
Top Bottom