Naona Rais Samia anarudisha kwenye mfumo taratibu taratibu watu waliotumbuliwa

Naona Rais Samia anarudisha kwenye mfumo taratibu taratibu watu waliotumbuliwa

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Hii inanipa tafasiri ya kwamba ingawa alikuwa Makamu wa Raisi enzi za Hayati Magufuli pia walikuwa hawaelewani yaani walikuwa ni kama maji na mafuta.

Hapa chini tunaona Mama kamrudisha Dr. Baghayo Abdallah Saqware kuwa Kamishina wa Mamlaka ya usimamizibwa Bima Tanzania (TIRA) ambaye alitenguliwa na Hayati Magufuli mnamo 29/06/2019.

B83FE717-29AC-4A69-BC3B-908A88B01B92.jpeg

6C1A4F9B-C4CC-4812-845B-F8BAA8F858BB.jpeg
 
Kuna umuhimu wa katiba mpya ili vyeo kama hivi visiwe vya kuteuliwa na Rais, vipatikane kupitia uteuzi wa bodi au usahili.
 
Inawezekana, (imetokea mara nyingi), ukatenguliwa sababu ya majungu kazini, lakini baada ya tathmini thabiti (hasa baada ya kutokuwepo kwako) mapungufu mengi yakajitokeza ambayo hayakuwepo katika presence yako, kiasi kwamba wadau wakaanza kumisi uwepo wako.
Always: "Chema chajiuza na kibaya chajitembeza"
 
Napata tabu sana kuielewa ccm na serikali zake, huyu Dokta Saqware alitumbuliwa enzi za hayati Magufulu na juzi akarudishwa katika nafasi yake ileile na Rais Samia! Je ni kwamba watu wameisha hamna wapya?

329A730A-AFFF-49B0-8251-AAB883D0A23B.jpeg


9744C9C0-ABEE-4626-979B-6ED1D05F21CA.jpeg
 
Magufuli alimtumbua kwa chuki...

Mama kamrudisha kwa Upendo...

Ndio ujue tofauti ya chuki na upendo....

Havitangamani.
 
Magufuli alimtumbua kwa chuki...

Mama kamrudisha kwa Upendo...

Ndio ujue tofauti ya chuki na upendo....

Havitangamani.
Ni kweli mkuu lakini tusipokuwa makini keki ya taifa italiwa na wale wale tu!!
 
Hii inanipa tafasiri ya kwamba ingawa alikuwa Makamu wa Raisi enzi za Hayati Magufuli pia walikuwa hawaelewani yaani walikuwa ni kama maji na mafuta.

Hapa chini tunaona Mama kamrudisha Dr. Baghayo Abdallah Saqware kuwa Kamishina wa Mamlaka ya usimamizibwa Bima Tanzania (TIRA) ambaye alitenguliwa na Hayati Magufuli mnamo 29/06/2019.

View attachment 2069042
View attachment 2069043
Kwani kama alitenguliwa na Magufuli ndio nini? Kila mtu na timu yake.
 
Magufuli alimtumbua kwa chuki...

Mama kamrudisha kwa Upendo...

Ndio ujue tofauti ya chuki na upendo....

Havitangamani.
Kumrudisha huyo Ina maana na yeye kamtumbua aliyekuwepo
 
Magufuli alimtumbua kwa chuki...

Mama kamrudisha kwa Upendo...

Ndio ujue tofauti ya chuki na upendo....

Havitangamani.
Kama ungesikiliza hotuba ya juzi, Chuki ya wanaotaka kujiingiza kugombea 2025 hapo pia ipo.Chuki Haina mwenyewe
 
Wapo wengi. Yule naibu waziri mzanzibari aliyetaka kuingiza vijana wake 6 ajira za polisi kinyemela Magufuli akawapiga chini sasa hivi ni waziri kamili.
 
Back
Top Bottom