Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mkuu....Hakuna mwenye pesa anafanya huo upumbavu. Hao ni malimbukeni. Fikiria mtu yeyote mwenyepesa anayekuijia kichwani haraka haraka halafu angalia kama anafanya huo ushamba.
Usitusemee wenye pesa hiyo research Yako ni ya wapi? Jifunze kufurahia wengineHakuna mwenye pesa anafanya huo upumbavu. Hao ni malimbukeni. Fikiria mtu yeyote mwenyepesa anayekuijia kichwani haraka haraka halafu angalia kama anafanya huo ushamba.
Unaishi pori gani la akiba boss?Wanaweka ila za kupiga nazo picha tu.
Mi sijawahi pishana na gari ya mtu wa kawaida ipo na names
Sipo porini mkuu nipo Dar. Chanika townUnaishi pori gani la akiba boss?
Posta hamna, kuna mitaa Sinza tu hapa.Sawa mkuu kama posta hivi sio..
Chanika ni Ilala wajue.Sipo porini mkuu nipo Dar. Chanika town
Sawa mkuu huko huwa napitaga sana sana ngoja siku nitafika huko takushutuaPosta hamna, kuna mitaa Sinza tu hapa.
Wanaelewa hawa..Chanika ni Ilala wajue.
Umeelewa nilichokiandika lakini? Nani kakwambia unatafuta attention? Hiyo comment yangu nani kakwambia kua imekulenga wewe? Au lugha ya mkoloni haipandi?Attention inisaidie nini?!
Sio sahihi na wanaoweza kufanya hivyo ni akina nshomileš¤£Inawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa.
Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa namuona huyo mtu ni limbukeni mshamba mmoja tu.
Hata hivyo hata wao ulimbukeni ukiwaisha uwa wanaacha.