Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona chombo yenyewe ina pua kama ya mnyama haramu🤣
BMW X6 xDrive35i, yeye na Mond walipigwa na watoto wa Mjini. Ila Mond nasikia alimdhurumu muuza nguo wa Sinza ila Msukuma aliuziwa. Ilikua trip moja Bar ya pili gereji. Ikawa juu ya mawe.Mbona chombo yenyewe ina pua kama ya mnyama haramu🤣
Huwa hawajui kama mjini shule na shamba darasa😅BMW X6 xDrive35i, yeye na Mond walipigwa na watoto wa Mjini. Ila Mond nasikia alimdhurumu muuza nguo wa Sinza ila Msukuma aliuziwa. Ilikua trip moja Bar ya pili gereji. Ikawa juu ya mawe.
Hata watu wenye pesa hawaleti umbea kuwasema wenzao. Kwahiyo na wewe ni limbukeniInawezekena kweli gari sina. Ila bado ni ulimbukeni. Ushamba. Mtu mwenye pesa hawagi na hizo mambo. Malimbukeni tu ndo tabia zao hizo.
Sasa mtu azae mtoto wake kwa upendo aweke jina lake, picha au aandike kwenye bajaj yake "Baba Halima" wewe ukasirike?Na wale wanaoweka picha zao au za watoto wao nyuma ya bajaji au magari, nao ni washamba hakika.
Sio roho mbaya, ila ule ni ushamba na kujichoreshaSasa mtu azae mtoto wake kwa upendo aweke jina lake, picha au aandike kwenye bajaj yake "Baba Halima" wewe ukasirike?
Mbona wabongo mnatumia roho mbaya kwenye vitu vidogo
ndo ukweli huo nimesumbuka bure kuandika ili uelewe uache wivu kumbe ww una chuki na aliempiga pipe wife wako😂😂😂Mambo haya yametokea wapi tena?!😢
Wa nae ndo yaleyale ma limbukeni.ndo ukweli huo nimesumbuka bure kuandika ili uelewe uache wivu kumbe ww una chuki na aliempiga pipe wife wako😂😂😂
sasa kama wife anapenda gari lenye jina ww ni nani usilipende ila pole asee mwamba alishajikataa kitambo ww ndio umejua hivi karibuni
sawa sikatai ila usimchukie jamaa mwenye plate number ya jina mchukie mkeo aliemfuata kwa shobo zake mwenyeweWa nae ndo yaleyale ma limbukeni.
Hao ni "Nshomile mpaka mbwa yasheka" katika ubora wao.Huu ukorofi sasa 🤣🤣🤣