Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo definition ya limbukeni kwako ni mtu aliyeweka special registration?Kwahiyo definition ya Limbukeni kwako ni mtu asiye na pesa?🤔
Kuamini mtu mwenyepesa hawezi kuwa mshamba nao ni ulimbukeni. Nyie ndio mnaamini mtu akishakuwa na pesa basi yuko perfect...Basi kama ni hivyo matajiri wengi ni washamba halafu kajamba nani ndio wenye akili.
Akina MO, VUNJABEI, SANDALAND wote hao wameweka majina.
Kuweka majina kwenye plate number ni ushambaInawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa.
Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa namuona huyo mtu ni limbukeni mshamba mmoja tu.
Hata hivyo hata wao ulimbukeni ukiwaisha uwa wanaacha.
Mods nanyie acheni ulimbukeni. Mmebadilisha tittle ya andiko langu mmepoteza dhima nzima niliyomaanisha. Mnajikuta nyie ndo mnaakili sana ama?!
Nimesema Kuweka Plate namba ya jina ni ulimbukeni. Sijasema sio sahihi. Kunatofauti.
Sie masikini tunashidaaaaaaa!!!!!!Sijui kwanini wasio na pesa huonekana kuwachukia wenye pesa mazeeee...[emoji848]
Sawa!Kuweka majina kwenye plate number ni ushamba
Kuelewe maana ya ushamba au ulimbukeni...inategema kiwango cha uelewa wako. Kwa sababu tunatofautiana fikra na mitazamo, haiwezekani wote tukawa na definition moja ya ushamba/ulimbukeni.Inawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa.
Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa namuona huyo mtu ni limbukeni mshamba mmoja tu.
Hata hivyo hata wao ulimbukeni ukiwaisha uwa wanaacha.
Mods nanyie acheni ulimbukeni. Mmebadilisha tittle ya andiko langu mmepoteza dhima nzima niliyomaanisha. Mnajikuta nyie ndo mnaakili sana ama?!
Nimesema Kuweka Plate namba ya jina ni ulimbukeni. Sijasema sio sahihi. Kunatofauti.
Siwezi kumheshimu mshamba.Sawa!
Kuelewe maana ya ushamba au ulimbukeni...inategema kiwango cha uelewa wako. Kwa sababu tunatofautiana fikra na mitazamo, haiwezekani wote tukawa na definition moja ya ushamba/ulimbukeni.
Kwa mfano: Mimi naweza kusema, ile tabia ya kuning'iniza funguo za gari kiunoni ni ushamba, just bcoz mi sipendi kufanya hivyo, haimaaninshi kwamba ni ushamba.....
Kama wewe hupendi, basi waache wanaopenda na wenye uwezo wao wafanye wapendavyo. NA UWASHESHIM KWA SABABU WEWE HUNA HELA ZA KUFANYA HIVYO
we kweli sungusungu😀Siwezi kumheshimu mshamba.
Ni ushambaaaaaSawa!
Kuelewe maana ya ushamba au ulimbukeni...inategema kiwango cha uelewa wako. Kwa sababu tunatofautiana fikra na mitazamo, haiwezekani wote tukawa na definition moja ya ushamba/ulimbukeni.
Kwa mfano: Mimi naweza kusema, ile tabia ya kuning'iniza funguo za gari kiunoni ni ushamba, just bcoz mi sipendi kufanya hivyo, haimaaninshi kwamba ni ushamba.....
Kama wewe hupendi, basi waache wanaopenda na wenye uwezo wao wafanye wapendavyo. NA UWASHESHIM KWA SABABU WEWE HUNA HELA ZA KUFANYA HIVYO
Braza umeandika kwa hasira sana. Hebu kwanza piga glass ya maji ya uhai ujipongeze.Inawezekana sina hilo gari lenye hadhi ya kuwekea private registration plate, au labda sina gari kabisa.
Lakini kiukweli nikipishana na gari njiani lina plate namba imeandikwa jina la mtu, uwa namuona huyo mtu ni limbukeni mshamba mmoja tu.
Hata hivyo hata wao ulimbukeni ukiwaisha uwa wanaacha.
Mods nanyie acheni ulimbukeni. Mmebadilisha tittle ya andiko langu mmepoteza dhima nzima niliyomaanisha. Mnajikuta nyie ndo mnaakili sana ama?!
Nimesema Kuweka Plate namba ya jina ni ulimbukeni. Sijasema sio sahihi. Kunatofauti.
Pesa nnazo mzee mwenzangu.....ilinibidi nitafute pesa kwanza kabla sijaanza kuongea vitu kama hivi kwenye jamii...Braza umeandika kwa hasira sana. Hebu kwanza piga glass ya maji ya uhai ujipongeze.
Unaanzaje kupangia wanaume wenzio matumizi ya pesa zao?
Unajua ukiwa huna hela….kila mwenye nazo unamuona anazitumia vibaya.
Halafu naona wewe ni mzee mwenzangu umeingia JF kitambo sana.
Kuwa makini uko kwenye umri hatarishi.