Tuliza makeke bidada, Mchepuko yupo kubalance maisha ya kwenye Ndoa. Nyie kama mnataka wanaume wasiochepuka basi umbeni wa kwenu. Ila ukweli ni kwamba “Men are polygamous in nature” hizi habari za kuanza kuambizana sijui imepita hapa mara kule ni kujisumbua tu.
Nikwambie wewe dada mwenye Jina zuri kabisa na Mtoa maada: Kama unamumeo au Bf wako hujawahi kusikia anamchepuko basi tambua kabisa Huyo mumeo ni Pro kwenye kuchepuka. Kuna michepuko iko smart sana. Ukiingia kwa inbox ya mumeo utakuta wanachati just as friends do ila mambo mengi yanaishia kwa Simu. So msituhangaishe hapa. Suala la kuwa mwanamke mmoja kwa maisha haya mafupi ni Ngumu sana.
Ipo mifano mingi tu kwenye Biblia ikionyesha how polygamous men are, So stop dreaming and live the reality of it. I just wanna give you this of advice Madamme, If you want your marriage or relationship last, stop overthinking and trust your man assuming he doesn’t have one unless otherwise you wanna live as single mother full of hatred towards men. I am sorry to tell you that believing that The man can be satisfied with one woman is an delusional. Kinachomfanya mwanaume aonekane ametulia ni mambo kati ya haya yafuatayo;
- He is broke
- His manhood is doubtful
- He is Brainwashed