Kilichotaokea kutoka January 6 2021 kinaitwaje? Sasa subiria Trump awekwe jela. Lakini pia Huyo Yankees apige boom strategic areas za Urusi majibu yake yatakuwa civil war.Unaongozwa na hisia na chuki Huna facts nakuonyesha ukilaza unadiriki sema USA watakuwa na civil war
Lokole wahediGod Bless Israel
God Bless IsraelLokole wahedi
Kwa hiyo NATO wanavizia Urusi ipungukiwe wanajeshi.?Watu wengi hawajuwi hili. Putting ameshapoteza wanajeshi wengi sana while nato ndio kwanza anajianda. Mwisho putting mtasikia amefariki. Kama wamemuondoa rais wa Iran
Kuna kitu hujaweka sawa neno corruption nchi za magharibi ni corrupt zaidi kuliko hiyo Russia unayosema. Fuatilia corruption scandals za Ukraine, fuatilia uuzaji wa silaha za kimarekani, fuatilia vita na mapinduzi kwenye nchi nyingi duniani Marekani na rushwa kwa viongozi wanaongiza mapinduzi hayo etc.Hujafuatilia vizuri historia ya urusi wewe! hao ni agressors balaa halafu very corrupt country ndo maana pamoja na ukubwa wa eneo wanazidiwa gdp na kakisiwa ka Japani
Sikatai wana vichwa vizuri kwa upstairs ila ni very corrupt country kwa jinsi ilivyo Russia ilitakiwa uchumi iwe inakimbizana na USA siyo kwenye arms race tu!
KichapoNisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
We lala tu😂😂😂Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
Hili la civil war naliona pia mkuuKuna wakati hata naogopa kucoment maana mtu hata hajui Geographia ya Urusi na ulaya kwa ujumla anasema Urusi imezungukwa. Urusi ndio nchi kubwa kuliko zote duniani. Ulaya ipo upande Moja TU Western part na kidogo Southern part.
Mtu anafikiri URUSI ni kama Burundi. Hilo taifa Lina zaidi ya 1000 years na siku zote wanajua wapo vitani ya kutaka kuangushwa na kusambaratika hiyo haijawahi na haitotokea maana muda wote wapo macho.
Pili Kuna watu wanafikiri nyuklia zinazozungumzwa hapa ni vitoi. Hebu google comment za generals mbalimbali wa nchi za ulaya na NATO kwa ujumla kuhusu nyuklia war and Russian technology specifically.
Mwisho kwa Sasa Russia hakuna vita ndio maana maisha yao yanaendelea kama kawaida. Vita ipo maeneo yaliyokuwa zamani Ukraine na only 500,000 ya wanajeshi wake wako kwenye operation ya Kiev. Zaidi ya skari million Moja (1m) wapo sehemu zingine wanalinda mipaka. Ndio maana wanafanya drills mbalimbali na wanaenda nchi zingine kufanya operations mbalimbali n.k kudhani eti wanajeshi wake wamechoka ni kijidanganya.
Vifaru main battle tank(5 generation) havipo msari wa mbele maana yake Bado hajatumia all resources.
Hao NATO wote uchumi wao uko hatarini maisha ya raia wao yameporomoka. Wakisema waingie vitani raia wao wataandamana na natabiri USA wataingia kwenye civil war
Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if nee
Hapa ndo unajua Kuna mbogo hazina akili.Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Unafaa kuchambua karanga😀Putin alikosa busara,alidhani nchi za Magharibi hazitaungana hasa Ujerumani na Ufaransa kumdhibiti Putin.
Akategemea China huku China yenyewe inajua kuunga Putin ni kuwekewa vikwazo vya kubiashara na nchi za Magharibi.
Vile vile China anataka Russia dhaifu.
Kuungwa mkono na nchi za kiafrika hakuna impact ya kiuchumi wala kijeshi.
Iran nayo fuata mkumbo na drones zake ameishapoteza President Raisi.
Uturuki yeye anakula na kupuliza.
Kiduku wa Korea Kaskazini yeye anataka kufa na mtu siyo ishara nzuri kwake kwani Japan na Korea Kusini,Taiwan,Australia na Marekani wameongeza nguvu ya kivita kumdhibiti Kim.
Hivi warusi sio wazungu!? Kama warusi ni wazungu basi nao wana akili nyingi sana...Nisema humu ndani kuwa wazungu hasa Magaharibi na Marekani wana akili nyingi sana. Putin amebaki kutishia tu kuwa ana nyuklia kali sana.
Ukweli ni kwamba kitendo cha kupigana vita mda mrefu kilipangwa strategically ili wakati vita inapiganwa NATO wawe wanaingiza silaha kali polepole ukrain na kuwa kuw na kambi za kijeshi ready kwa lolote.
Hivyo walimzuga putin yeye akaendelea na vita kumbe nyuma NATO wanajiimarisha mlangoni kwake.
Sasa anytime watavamia wameanza na kumpa ukraine sila za mbali kupiga ardhi ya urusi kama chambo tu ili putin alianzishe tu wammalize moja kwa moja.
Wazungu wana akili sana
Soma hii story: Putin ally threatens to use 'entire arsenal' of nuclear weapons if needed
Endelea kuotaReality check.
Russia hakuwa na sababu ya kupigana na ndugu yake Ukraine.
Na kwa udhaifu huo kajimaliza kizungu kwa wazungu wenzake.
Putin alitaka kuongeza CV za kuwa Russian Empire old stone age syndrome.
Acha kabisadah...ila kweli ugali unaharibu ubongo,URUSI inazungumzwa kirahisi sana
halafu anawataja wazungu akidhani urusi sio wazungu nhahahahaAcha kabisa
Mtu anaiongelea Russia kama anaiongelea Sudan Kusini
Halafu anajiona kachambuuuua mwenyewe😀
Kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe hawajui kituhalafu anawataja wazungu akidhani urusi sio wazungu nhahahaha
Endelea kusubiria hapo hapoHuyo babu Putin hii vita alishajinyea kitambo sana. Tunasubiria tu kama ni kusafirisha ama vipi.
Au yule makamo wa rais wa zambiaWatu wengi hawajuwi hili. Putting ameshapoteza wanajeshi wengi sana while nato ndio kwanza anajianda. Mwisho putting mtasikia amefariki. Kama wamemuondoa rais wa Iran
Sawa.Endelea kusubiria hapo hapo