Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

Naweza kuundiwa roboti kwa sifa ninazozitaka?? Ngoja nitafute hela niende kwa musk nimuunde mwnyewe ninqyomtaka,kwnye tako sitawaangusha!!
 
Hivyo vyote ulivyotaja ata Chartgdt anaweza fanya tena na kukuchorea, kukuimbia muziki wowote unautaka
 
Watu kama nyinyi hamjawahi kukosekana kwenye Kila nyuzi hapa jf.

Daima mbele kurudi nyuma ni mwiko,. Tunatasubir hayo marobot tutoe upwiru Kwa gharama nafuu
 
Wanaume wamechoka kuombwa hela mara kwa mara bila sababu ya msingi. Karibia kila mwanamme hapa nchini kilio chake kikubwa ni mademu wasio na akili kila wakiamka wanawaza kula tu, kuweka status Facebook na Instagram na kuomba hela bila kufanya kazi ya kujisaidia wao wenyewe na ndiyo maana wanaume wanaojitambua hawataki mahusiano ya kudumu na mademu. Ebu hata wewe mwenyewe jiulize, mwanamke una wazazi na ndugu zako na boyfriend wako ana wazazi na nduguze, wewe mwanamke kila ukiamka unafikiria kumuomba hela huyo boyfriend wako, atajijengaje kimaisha kwa stahili hii? Kumbuka, you are just a girlfriend tu, unataka utunzwe ili iweje?
 
Onhoo, mbona siyo wote tupo ivo
 
Naweza kuundiwa roboti kwa sifa ninazozitaka?? Ngoja nitafute hela niende kwa musk nimuunde mwnyewe ninqyomtaka,kwnye tako sitawaangusha!!
🀣🀣🀣🀭
 
Mi nasema hivi,acha marobot yaje ili maandiko yatimie maana siku za mwisho, wanawake 7 watamfata mwanaume mmoja hata wamgaramie wao ilimradi tu waitwe kwa jina lake....
πŸ˜³πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…