Naona vyama vya upinzani vinajinyonga vyenyewe. Sijui ni uwezo mdogo au shule finyu!!

Naona vyama vya upinzani vinajinyonga vyenyewe. Sijui ni uwezo mdogo au shule finyu!!

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Hebu fikiri eti akina Mdude, Slaa na Mwabukusi eti wanatoa tamko la maandamano Leo. Kwa tuliojaliwa kuwa na akili tayari huo ni mpasuko mkubwa kwa vyama vya upinzani kwamba wameishiwa pumzi sasa wanatafuta wasiokuwa na vyama wawasaidie huenda watawasikiliza.

Sisi tutajiuliza mbona Slaa aliteuliwa na CCM hiyohiyo kuwa balozi na akadiriki kusema Mbowe ni gaidi na aliwahi kuponda eti katiba mpya so lolote Wala chochote, Sasa imekuwaje Leo. Je, pesa imemuishia sasa anatafuta sympathy angalia watu wamrushie kwa mpesa?

Jamani vyama vya upinzani tafuteni watu weledi wawasaidie sisi huku tunacheka tu hivi vituko mnavyofanya.

Sasa fanyeni hivi: Achaneni na Mbowe kama mwenyeketi maana elimu yake na hapa na pale ya kuokoteza, teueni angalau prof au doctor awasaidie. Achaneni na Mnyika kama karibu mkuu maana ana elimu ya form six tu mambo yamemuelemea kulingana na uwezo wake mdogo.
 
Hebu fikiri eti akina Mdude, Slaa na Mwabukusi eti wanatoa tamko la maandamano Leo. Kwa tuliojaliwa kuwa na akili tayari huo ni mpasuko mkubwa kwa vyama vya upinzani kwamba wameishiwa pumzi sasa wanatafuta wasiokuwa na vyama wawasaidie huenda watawasikiliza.

Sisi tutajiuliza mbona Slaa aliteuliwa na CCM hiyohiyo kuwa balozi na akadiriki kusema Mbowe ni gaidi na aliwahi kuponda eti katiba mpya so lolote Wala chochote, Sasa imekuwaje Leo. Je, pesa imemuishia sasa anatafuta sympathy angalia watu wamrushie kwa mpesa?

Jamani vyama vya upinzani tafuteni watu weledi wawasaidie sisi huku tunacheka tu hivi vituko mnavyofanya.

Sasa fanyeni hivi: Achaneni na Mbowe kama mwenyeketi maana elimu yake na hapa na pale ya kuokoteza, teueni angalau prof au doctor awasaidie. Achaneni na Mnyika kama karibu mkuu maana ana elimu ya form six tu mambo yamemuelemea kulingana na uwezo wake mdogo.
Nilijua uzi wa maana kumbe takataka tupu
 
Hebu fikiri eti akina Mdude, Slaa na Mwabukusi eti wanatoa tamko la maandamano Leo. Kwa tuliojaliwa kuwa na akili tayari huo ni mpasuko mkubwa kwa vyama vya upinzani kwamba wameishiwa pumzi sasa wanatafuta wasiokuwa na vyama wawasaidie huenda watawasikiliza.

Sisi tutajiuliza mbona Slaa aliteuliwa na CCM hiyohiyo kuwa balozi na akadiriki kusema Mbowe ni gaidi na aliwahi kuponda eti katiba mpya so lolote Wala chochote, Sasa imekuwaje Leo. Je, pesa imemuishia sasa anatafuta sympathy angalia watu wamrushie kwa mpesa?

Jamani vyama vya upinzani tafuteni watu weledi wawasaidie sisi huku tunacheka tu hivi vituko mnavyofanya.

Sasa fanyeni hivi: Achaneni na Mbowe kama mwenyeketi maana elimu yake na hapa na pale ya kuokoteza, teueni angalau prof au doctor awasaidie. Achaneni na Mnyika kama karibu mkuu maana ana elimu ya form six tu mambo yamemuelemea kulingana na uwezo wake mdogo.
Mkuu,mkuu,siasa za TZ ni ngumu,hivi tukianza na CCM Wana bajeti hewa kwa zaidi ya Miaka 50,hebu jiulize ni fursa ngapi za kutoa umaskini ccm wanaziacha.Mf.Kuna gari za umeme lakini mkulima analazimika kulipa dolla moja kwa Lita ili asafirishe mazao,ni wazi umakini haupo,mwendo Kasi na mabasi yote na magari yote ya umma yangekuwa ya umeme tungeokoa kiasi gani kwa kuanzia tuu.
 
Back
Top Bottom