Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Yani kweny hili swala mdogo angu la kwenda kukaa nje ya nyumbani kwa umri ulonao mim binafsi sikushauri.
Jitahid tu ufanye hivo vikazi hapo nyumbani na chuo pia ufike kwa wakati.
Wazazi wetu mara nyingi wanakua na uchizi huenda kwa sabb ya mambo walosikia kutuhusu.
Vumilia tu mzazi akimbiwi wala huwezi kumkwepa, Hyo pesa fanya kujitunzia tunzia ukimaliza chuo itakusaidia.
 
Yaani mzazi achukie mwanae kukaa nyumbani kisa ana boom.

Acheni kumjaza kichwa dogo ionekane maza ake hataki akae hapo.
Mzazi anapenda mwanae apate tabu??
 

Tusimulie
 
Atanizingua bimkubwa ni mkorofi hata kaka sidhani kama atamuweza
Mtoto yeyote tena mtu mzima kama hivi wewe mleta mada ambaye anadiriki kabisa tena kwa nuia kuja kushitaki wazazi wake JF au kwenye public yoyote ni mpumbavu. Tena mpumbavu kabisa.
Wazazi waliokuzaa wamekulea toka utotoni bila kuchoka, wewe miaka 21 tayari ushawachoka na kuja kuwasimanga JF. Kweli?!
 
Mi wazazi wangu kitu kidogo tu eti ntakupa laana hasa Maza anapenda sana hii misemo[emoji848][emoji848
😂😂😂 mimi akiniambia hivo asee tena kitu kidogo tu lazima ni react yaani mi n abelieve katika kuongea akiniboa namwambia, akinifurahisha namwambia so at the end we are cool

Ila kunigombeza hajawai labda nikivokua mtoto kwa umri huu waga tunabishana 😃😃😃

Sio utovu wa nidham but mama nae ni binadamu haezi kua sahihi kila saa asa ukimuogopa unaeza kua victim kama mtoa mada, mie namuheshim ila kumuogopa ni hapana
 
Anaweza ongea nae mama atajua wapi anamkwaza mwanae atajirekebisha kama ni mama mzuri
shida ni kwamba sisi vijana wa umri wa kuanzia o-level kueleka hivi mpaka chuo, tunakua na ile kama shauku ya kujitegemea, lazima unakua unamuona mzazi mbaya, kazi za kuosha vyombo, kufagia n.k unachukia, kuna yale maisha una-imagine unatamani ukayaishi mwenyewe sema ndo hivo. kujitegemea sio rahisi....

Ugomvi mdogo ambao miaka ya nyuma ungetokea kati ya we na mzazi saivi hauwezi kuisha haraka unakua mkubwa, unakuta bado unabanwa muda wa kurudi, kunywa pombe na ratiba zingine.... wote tunapitia hili...
 
Ndio naanza sasa kujitafutia heshima hasa kwa wazazi wangu naona nikiendelea kukaa hapa nyumbani zarau zitakuwa nyingi na nataka niwaonyeshe kwamba naweza kuishi bila wao ili heshima iwepo
Pole ila kama Huna Bumu mzee jifanye LOFAAA fanya kazi za nyumbani na wazazi wakiongea usiwajibizeee.. Mtaani sio poaaa hasa kama ukiamua kuondoka kwa hasira bila baraka zao kesho kupiga simu wakusaidie ni Ngumu omba hata ulipiwe hostel tu waambie masomo yanakaba sanaaa ila Usiondoke bila taarifa ukaenda kupanga wakati bado unasomaa na huna chanzo cha kipato unaweza Kuishia pabaya.
 
Mbona atarudi home sio rahisi nimemuambia
Kurudi home apo sahau me nimeshapanga liwalo na liwe kama kupanga chumba ni ngumu basi kwetu hilo ni kawaida coz maisha ya mtaani nayajua A to Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…