Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Mkuu, kwanza nisamehe kama tafsiri iliyokuja kwako ni kuwa nakutishia maisha.mimi nimeshayazoe hivo usinitishie maisha
Pili, naomba nikutakie heri katika huo uhamuzi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kwanza nisamehe kama tafsiri iliyokuja kwako ni kuwa nakutishia maisha.mimi nimeshayazoe hivo usinitishie maisha
Wazazi wako wana watoto wangapi na we ni wangapi kwenu?Acha tu hapa naishi na wazazi wangu tena wakunizaa ila naona manyanyaso yamekuwa mengi hapa nyumbani ngoja nichomoke mwisho wa mwezi huu
[emoji16][emoji16][emoji16] hii sentence imenifanya nifurahi sana. Yani ulikuwa unashindia mkate halafu unarudi nyumbani usiku unakuta ugali wa mama unakula unapunguza njaa. Sasa huko unakokwenda ukishindia hivyo mkate, ukirudi usiku room uliyopanga nani atakufadhili hiyo usiku?. Hasira siku zote huwa ni hasara na siku zote wahenga huwa wanasema " kamwe usitoe maamuzi au usifanye jambo ukiwa na furaha sanaaa au ukiwa na hasira sanaaaa". Utapotea.Mkuu hayomaisha kwangu mimi naona kawaida mkuu maana nilishawahi kushindia mkate na maji tena nilishawahi kutembea kwa mguu kutoka home mpaka chuo wiki nzima kipindi hicho boom lilichelewa kutoka nikawa nashida maji na mkate chuoni so kwangu maisha kama mimi nimeshayazoe hivo usinitishie maisha
Endelea kuwa na wasiwasi. Ila Kuna siku utakutana huo uzi maana nyuzi hazifutwi humu.mzee hapa nina wasiwasi😂
Story ni ya kitambo kidogo. Ubaya wa humu, usipokumbuka jina la msimuliaji au title ya huo Uzi, ni ngumu kuupata. Ila Kuna siku utakutana nao tu.Mkuu em nitag hio story ya aliendoka home kisa boom😂😂😂
Mzee wako yupo? Ushajaribu kumshirikisha kuhusu hizo kero za bi mkubwa?Hamna maza sikuhizi kabadika mpaka mimi namshangaa sijui anataka nini kwangu kama anataka nijitegemee kwanini asinifukuze nijue moja sio kunifokea tena kwa sauti kubwa.
[emoji1][emoji1][emoji1]Huyo maza Mnyaki nini/ Maana watu wa kule wana makoo makubwa akiongea bucha. msewe mnasikia [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Yaani we upo chuo mdogo wako la pili?ndio maana unaona hutaki kugombezwa,yaani kifupi hujazoea maisha Hayo gap Kati yako na Dogo ni kubwa sana so inaonyesha uliishi Maisha ya kuendekezwa sana ulipokuwa mwenyewe Kabla Dogo hajazaliwaDah mimi ndio mkubwa na nina mdogo wangu moja nae ni wakiume ila dogo yupo la pili so me ndio nakuwa house girl na house boy home maana maza washaniifanya niwe hivi ukiwaambia ndugu unaoneka una jeuri kwa wazazi mara umeanza zarau. Basi naamua kukaa nayo moyoni
Sometime unakuta mzazi anapitia menopause au ana matatizo ta kisaikolojia anafanya vitu ambavyo anaona ni sahihi kumbe anafanya sivyo anakuwa hajielewiSikiliza mdogo wangu,
Mzazi hawezi badilika bila Sababu za msingi,lazima Kuna sehemu utakuwa unamkwaza,kaa tafakari njia zako hapo nyuma na za sasa utajua tatizo Nini!
Kama mzazi anajaribu kukuweka kwenye njia iliyo sahihi,humu utashauriwa mengi,tafadhali yachuje Kabla hujafanya maamuzi.
Haya unakwenda kupanga chumba source of income ya kulipia Kodi na kula,kulipia bili za umeme na maji,vitanda na godoro ,vyombo unazitoa wapi?unafanya kazi?
Mkuu wewe ni Mwanaume hakuna kurudi nyuma wewe Sepa hapo. Vielelezo vyote hapo vinaonesha Maza ako anataka USePE na ukijifanya kichwa ngumu atakutamkia live kabisaaaa[emoji38][emoji38] acha tu ndugu Imagine unaambiwa unaacha mavi chooni tena kwa sauti kubwa utajifeel vipi hapo majirani washasikia yaani ni aibu tu maza ananitia mtaanj
Sasa huyo bwana ni mdogo sana,Kama kashindwa tu kuvumilia kugombezwa na Maza ataweza magombezo ya dunia??Dunia unagombeza nyie sio poa😅😅😅😅Sometime unakuta mzazi anapitia menopause au ana matatizo ta kisaikolojia anafanya vitu ambavyo anaona ni sahihi kumbe anafanya sivyo anakuwa hajielewi
Nakumbuka ile story HV Ni umughaka ndio kasimuliaaStory ni ya kitambo kidogo. Ubaya wa humu, usipokumbuka jina la msimuliaji au title ya huo Uzi, ni ngumu kuupata. Ila Kuna siku utakutana nao tu.
Jamaa anakwambia alikuwa anavizia watu wameingia ndani, pakiwa na Giza giza anapanda zake juu ya mti [emoji28][emoji28]
Yote kwa yote ila kuishi na mwanamke anaepitia menopause ni mtihani mkubwa sanaSasa huyo bwana ni mdogo sana,Kama kashindwa tu kuvumilia kugombezwa na Maza ataweza magombezo ya dunia??Dunia unagombeza nyie sio poa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sidhani kama ni umughaka, Sina uhakika kama alikuwa ameshajipanga na JF au la. Ila Ina miaka kama miwili au mitatu hivi (japo Sina uhakika sana)Nakumbuka ile story HV Ni umughaka ndio kasimuliaa
FactYes yes,haya makwazo yatakujenga na kukufanya imara, kuna njia ya mafanikio unatakiwa upite na hiyo ndio njia sahihi..
Kajitegemee sasa na utafanikiwa,na ukifanikiwa utamshukuru bi mkubwa kwa roporopo zake zimekufanya ufanikiwe..
Kama si hivyo ungebaki tegemezi mpaka kesho.
Kila linalotokea usilaumu hio ni njia ya mafanikio yako.
Nazania ni wakati sahihi wa yeye kujitegemea sasa,Pole sana
Sio rahisi kujitegemea ongea na mama vizuri mwambie shida nin?