Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aache kukufokea bhana mfate akiwa amerelax umwambie kwanini unanifokea sana mwambie yoote yaliyopo moyoniMimi nimeshajitahidi sana kujali mishemishe zangu nakuishi na wazazi wangu ila tabia ya bimkubwa kunifokea kwa sauti kubwa kwakweli nimeshamvumilia vyakutosha sasa ni muda wangu wa kuwa huru na kelele za bimkubwa. Kuhusu umri wangu 21, najua utashangaa kwanini naondoka home ila ndio hivo mkuu kelele za bimkubwa ndio zinanifanya niondoke nyumbani
Hakika Kuna wazazi wakali mnoAisee,lakini sishangai,Kuna wazazi ukiona wanavyowa treat watt wao wa kuwazaa hutaamini kama ni wao wamewazaa!
Pole,kaanze maisha,ila kuwa makini.
[emoji38][emoji38] nitaowaje na kipato cha uhakika sina wewe unataka nipate matatizo zaidi. Matatizo niliyokuwa nayo yananitosha mkuu mengine nashindwa kuyabeba ila Mungu atasaidiaAu anataka uoe?
Pole Sana mkuu sepa hapo faster[emoji38][emoji38] acha tu mkuu yaani maza akiongea mtaa mzima utajuwa tu kuwa leo mudi hajaosha vyombo yaani hadi zarau madogo wanakuletea mtaani utasikia kaka mudi kaoshe vyombo
Kitaeleweka huko huko mbele kwa mbele kikubwa nipate amani ya moyo na niwe huru na maneno ya bimkubwatatizo kipato cha uhakika....
NakaziaUtajiri wa boom huwa unaisha🚶🚶
Acha tuone itavyokuwa ila kwangu kuondoka nyumba ni muhimu mwisho wa mwezi huuHasira hasara.....Kuna wenzio na hizo boom wanalala na njaa..chumba Cha 50 ni expensive kutegemea boom labda Kama una support ya mzazi
Anyways,kupanga ni kuchagua
Mkuu em nitag hio story ya aliendoka home kisa boom😂😂😂Nimecheka sana unaposema eti umemvumilia sana. 😅😅😅
Mpaka umri huo, nani kamvumilia mwenzie sana?. Narudia kukwambia mdogo wangu, nyumbani hutakiwi kuondoka kwa hasira. Na siku utakayoamua kuondoka, make sure umejipanga, wahenga waliposema "Ukitaka kuruka, Agana na nyonga" walikuwa na maana yao kubwa sana.
At 21, bado sana mdogo wangu. Tena kibongo bongo ndio kabisaaa. Tumia hizo hasira ulizo nazo kujipanga namna ya kuondoka hapo home. Kama Unaona huwezi kuendelea kukaa hapo mpaka utakapo graduate, basi atleast jiwekee deadline, then anza mipango ili kumeet hiyo deadline.
Unga kilo 2200, nyumba za kupanga hata huwe na taa moja tu ndani malipo ni 10000/=. Usije ukasoma story za watu waliosurvive kitaa zikakupa mori, mwaka mmoja una siku 365, na siku moja ina masaa 24. Haya masaa 24 ni mengi sana, hasa ukiyapitisha bila kupata proper meals.
Humu JF Ushawahi kusoma story ya yule jamaa aliyeondoka kwao kwa jeuri ya boom? Matokeo yake mambo yalikuwa tight ikafikia hatua giza likiingia anapanda juu ya mparachichi anakula Yale majani, then anaenda kushushia na maji bombani?
Fikiria upya mkuu. Then jipange
pesa ni ngumu mno, jaribu kuitafuta utaona ilivyo...Kitaeleweka huko huko mbele kwa mbele kikubwa nipate amani ya moyo na niwe huru na maneno ya bimkubwa
Yeah ila mie naona inakuwa bora wanakufundisha maisha siyo lelema siyo unalialia tu baadae unataka unataka urithi!!!!Pole sana kuna wazazi na walezi wengine huchangia kuharibu watoto manyanyaso yanakuwa mengi mm nishawahi ishi maisha kama hayo nilivumilia mpaka muda ulipofika nikaondoka.
Exactly, wazazi wa aina hii wengi huwa wanafanya revenge kwa watoto wao japo siyo wote.Usiombee uzaliwe kwenye familia ambazo historia ya wazazi wako nao walinyanyaswa na wazazi wao (bibi na babu) huwa wana revenges
Ni kweli sametimes wazazi wangu huwa wanafokeana wenye kwa wenye hila huwa sifualiagi sana itakuwa hasira zao wananihamishia kwangu na mimi nataka niwe huru nisiwe mtumwa kama ni hasira zao basi wamaliziane wenyeUmejaribu kuongea na mzaziwako wa kiume umsikie anasemaje huenda Kuna changamoto wazazi wanapitia hivo wanadhindwwa kuzuia hasira zao Kwa watu wengine kujitegemea na kusoma naona haviend pamoja waulize hata ambao walifnya hivo wengi waliishi Kwa shida sana
Acha tuone itavyokuwa naimani Mungu atanipiganiaKabisa dear Kuna umeme Maji usafiri chakula pia vocha aisee
mzee hapa nina wasiwasi😂anapanda juu ya mparachichi anakula Yale majani, then anaenda kushushia na maji bombani?
Mkuu usihame home, tumia kufokewa ka morali ya kupambana, tumia kama morali ya kusoma umakize chuo vizuriNi kweli sametimes wazazi wangu huwa wanafokeana wenye kwa wenye hila huwa sifualiagi sana itakuwa hasira zao wananihamishia kwangu na mimi nataka niwe huru nisiwe mtumwa kama ni hasira zao basi wamaliziane wenye
Me namjua maza A to Z huwa akitoka kugombana na marafiki zake huko au kwenye shughuli zake akirudi nyumbani hasira zote ananiamishia kwangu sasa mimi najiuliza nimemkosea nini maana kosa dogo ataongea hapo mpaka majirani wanasikia nami nimemchokaHuko kufoka kaanza lini au wewe humjui maza ako??
Maana huyo sio mke kusema eti mmekutana ukubwani, umekua unamuona, au hujaishi nae muda mrefu??
anasema eti 'mungu atanipambania' anachukulia pesa ni rahisi sana 😂Mkuu usihame home, tumia kufokewa ka morali ya kupambana, tumia kama morali ya kusoma umakize chuo vizuri
Itumie kama morali tu usisahau mama naye ni binadamu
Sema mimi mama angu akinifokea heeh waga namwambia ndo unanifokea sasa, ndo unanifokea 😂😂😂 hata ka nimekosea by then