Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu acha na mimi nichukue tahadhari aseeee nisije nikapigwa na kitu kizitoDah basi mshukuru Mungu ndugu si huku tunapambana na mitihani
Nimeshawastukizia nami nimeamua kujiongeza mwisho wa mwezi huu nasepaHawajakuchoka, ila hawawezi kukwambia ukajitegemee. Ushakuwa
Sawa mkuu we kwenu ni ushuani huna shida mkuu
Kwa kweli aseee 😀 noma sana sema mm wa kwangu siwaamini acha nijipange kwanza nitaishia tu aseeWazazi wanatofautiana 🤣👋
Hivi mpo watoto wangapi hapo kwenu mkuuuSawa mkuu we kwenu ni ushuani huna shida mkuu
Boom lipo mkuu nasubiria awamu hii ya pili mwezi huu nijumlishe na akiba I think itanitosha kabisa kuanza kujitegemeaKwa umri wako Wazazi wamekuonea. Kama una boom I think unaweza kuishi kwako.
Mwanzo mzuri, maza kawa motivation mzuri kukukimbiza homeBoom lipo mkuu nasubiria awamu hii ya pili mwezi huu nijumlishe na akiba I think itanitosha kabisa kuanza kujitegemea
[emoji38][emoji38] acha tu mkuu yaani maza akiongea mtaa mzima utajuwa tu kuwa leo mudi hajaosha vyombo yaani hadi zarau madogo wanakuletea mtaani utasikia kaka mudi kaoshe vyomboHuyo maza Mnyaki nini/ Maana watu wa kule wana makoo makubwa akiongea bucha. msewe mnasikia [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Sawa mkuu najua umakini muhimu kwenye kujitegemeaAisee,lakini sishangai,Kuna wazazi ukiona wanavyowa treat watt wao wa kuwazaa hutaamini kama ni wao wamewazaa!
Pole,kaanze maisha,ila kuwa makini.
leo ndo nakuona unatoa ushauri mzuri 😂Pole Kiongozi pambana utoke hapo
Kama una boom kapange mtaani, hata share geto na msela maisha yaende[emoji38][emoji38] acha tu mkuu yaani maza akiongea mtaa mzima utajuwa tu kuwa leo mudi hajaosha vyombo yaani hadi zarau madogo wanakuletea mtaani utasikia kaka mudi kaoshe vyombo
Yani umeona swala lako wewe na familia yako tena WAZAZI wako ndio litapatiwa suluhisho humu,acha akili za kijinga kijana huo ujana usikupeleke pupa hivyo,Mzazi ana wajibu wa kukuambia chochote ikiwa hakileti madhara kwako na sijaona sababu ya wewe kulalama humu kisa tu kuambiwa ufanye MAJUKUMU ya HAPO NYUMBANI,kabla haujawa na miaka mpaka leo wamepambana,wamekupigania vya kutosha mpaka sasa hapo ulipo,huna haja ya kulalama mtandaoni humu hakuna msaada mkuu.Habarini wakuu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums nina miaka 21, kama mnavyojuwa umri huu bado nipo masomoni chuo flani hivi apa dar na bado nipo home.
Sasa tuludi kwenye mada, unajua nini hapa home sipaelewi sikuhizi nimekuwa nikichukiwa pasipo na sababu za msingi, hasa bi mkubwa amekuwa mtu wakunifokea fokea hadi majirani huwa wanasikia jinsi ninavyofokewa. Majuzi kati hapa niliambiwa sikuhizi hapo home sifanyi kazi na ninachelewa kurudi nyumbani, nikiwauliza wazazi wangu ni kazi gani wanataka mimi nizifanye hapa nyumbani naambiwa nioshe vyombo, mara nifyeke majani na mikazi mengine kibao.
Okay siku na kipingamizi kwasababu hawa ni wazazi wangu hivo ni wajibu kuwasikiliza na sio kwamba siku za nyuma nilikuwa sifanyikazi? Hapana ni kutokana na majukumu ya masomo huku chuoni yananibana sana hivo nakuwa mtu sio wakushinda nyumbani maana mda wote na huku chuoni huwa na baki mpaka saa 3 au nne usiku ndio narudi home. Nafanya hivi ili nikimbie majukumu ya nyumbani ila baadae nahisi wazazi wangu walinishukizia.
Anyway sasa kila nikifanya kazi za hapa nyumba bado maneno yanakuwa mengi mara uwambie urudie kuosha vyombo mara mbili wakati apo vyombo ushaosha na vinan'gaa bila shida , ukitoka hapo mara uwambiwe chooni unaachafua mara hausafishi mara unaingiza mchanga mara uwambiwe uliacha mavi leo asubuhi yaani maneno yanakuwa mengi halafu bimkubwa anaongea kwasauti kubwa hadi majirani wanasikia
Mimi hali hii sipendezwi nayo, naona wazazi wangu kama wameanza kunichoka, hapa nafanya mpango mwisho wa mwezi huu nichomoke hapa home najua mwanzo wa kujitegemea huwa mgumu ila potelea mbali siwezi kuendelea kukaa home huku nikidharirishwa na maneno ya bimkubwa.
Anyway natafuta chumba bei iwe 50k maeneo kuanzia ubungo kibo, kona mpaka kimara korogwe. Kama unaona au unasikia kuna chumba kinapangishwa maeneo hayo anipange sasa. Wakuu #natanguliza shukuran
Lakini si angeniambia tu niondoke sio kunifokea na maneno ya kejeliMwanzo mzuri, maza kawa motivation mzuri kukukimbiza home
Kushare ghetto hapana mkuu hio sitoiweza kikubwa nipate chumba changu tu cha kuanza maishaKama una boom kapange mtaani, hata share geto na msela maisha yaende
soma tena ulichokiandika 😂ama yeye anahisi kuna kitu mbele huko utafanya ambacho si kizuri.