Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Acha tu hapa naishi na wazazi wangu tena wakunizaa ila naona manyanyaso yamekuwa mengi hapa nyumbani ngoja nichomoke mwisho wa mwezi huu
Mkuu naona kama haupo Sawa. Ngoja ukue kiakili ndipo utajua kama wazazi walikua sahihi au lah.

Angekua wakike ningesema ngoja aoelewe ataoata majibu ya usahihi wa wazazi
 
Habarini wakuu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums nina miaka 21, kama mnavyojuwa umri huu bado nipo masomoni chuo flani hivi apa dar na bado nipo home.

Sasa tuludi kwenye mada, unajua nini hapa home sipaelewi sikuhizi nimekuwa nikichukiwa pasipo na sababu za msingi, hasa bi mkubwa amekuwa mtu wakunifokea fokea hadi majirani huwa wanasikia jinsi ninavyofokewa. Majuzi kati hapa niliambiwa sikuhizi hapo home sifanyi kazi na ninachelewa kurudi nyumbani, nikiwauliza wazazi wangu ni kazi gani wanataka mimi nizifanye hapa nyumbani naambiwa nioshe vyombo, mara nifyeke majani na mikazi mengine kibao.

Okay siku na kipingamizi kwasababu hawa ni wazazi wangu hivo ni wajibu kuwasikiliza na sio kwamba siku za nyuma nilikuwa sifanyikazi? Hapana ni kutokana na majukumu ya masomo huku chuoni yananibana sana hivo nakuwa mtu sio wakushinda nyumbani maana mda wote na huku chuoni huwa na baki mpaka saa 3 au nne usiku ndio narudi home. Nafanya hivi ili nikimbie majukumu ya nyumbani ila baadae nahisi wazazi wangu walinishukizia.

Anyway sasa kila nikifanya kazi za hapa nyumba bado maneno yanakuwa mengi mara uwambie urudie kuosha vyombo mara mbili wakati apo vyombo ushaosha na vinan'gaa bila shida , ukitoka hapo mara uwambiwe chooni unaachafua mara hausafishi mara unaingiza mchanga mara uwambiwe uliacha mavi leo asubuhi yaani maneno yanakuwa mengi halafu bimkubwa anaongea kwasauti kubwa hadi majirani wanasikia

Mimi hali hii sipendezwi nayo, naona wazazi wangu kama wameanza kunichoka, hapa nafanya mpango mwisho wa mwezi huu nichomoke hapa home najua mwanzo wa kujitegemea huwa mgumu ila potelea mbali siwezi kuendelea kukaa home huku nikidharirishwa na maneno ya bimkubwa.

Anyway natafuta chumba bei iwe 50k maeneo kuanzia ubungo kibo, kona mpaka kimara korogwe. Kama unaona au unasikia kuna chumba kinapangishwa maeneo hayo anipange sasa. Wakuu #natanguliza shukuran
Mkuu nakushauri usitoke hapo home. Ni heri ukavumilia hayo unayoita manyanyaso, kuliko kukutana na mateso ya kuingia kitaa kurupu kurupu bila mipango.

Bado uko chuo, matumizi na mahitaji yako ni mengi sana. Nakushauri endelea kujipanga mdogo mdogo, make sure siku unayo graduate chuoni, tayari uwe na ramani kamili ya kuingia mtaani.

Yani kwa ufupi, uwe na double graduations. Yani unagraduate chuo, at the same time una graduate nyumbani.

Ila ukisema utumie hasira na kuondoka home sasa hivi bila plan, trust me, chance ya kupoteana ni kubwa mno, na hivi double kick na smart gin ni 2000? Sijui.
 
Mkuu nakushauri usitoke hapo home. Ni heri ukavumilia hayo unayoita manyanyaso, kuliko kukutana na mateso ya kuingia kitaa kurupu kurupu bila mipango.

Bado uko chuo, matumizi na mahitaji yako ni mengi sana. Nakushauri endelea kujipanga mdogo mdogo, make sure siku unayo graduate chuoni, tayari uwe na ramani kamili ya kuingia mtaani.

Yani kwa ufupi, uwe na double graduations. Yani unagraduate chuo, at the same time una graduate nyumbani.

Ila ukisema utumie hasira na kuondoka home sasa hivi bila plan, trust me, chance ya kupoteana ni kubwa mno, na hivi double kick na smart gin ni 2000? Sijui.
Ushauri murua sana kutoka kwa apostle asante mkuu maana na mm nimo humo aseee 😁😁😁
 
Pole sana kaka mimi nilishawahi kuambiwa namaliza chakula sababu mara nyingi mimi nakuwa wa mwisho kula kwahiyo Huwa najisevia wenyewe[emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38] acha tu ndugu Imagine unaambiwa unaacha mavi chooni tena kwa sauti kubwa utajifeel vipi hapo majirani washasikia yaani ni aibu tu maza ananitia mtaanj
 
Mkuu naona kama haupo Sawa. Ngoja ukue kiakili ndipo utajua kama wazazi walikua sahihi au lah.

Angekua wakike ningesema ngoja aoelewe ataoata majibu ya usahihi wa wazazi
Kivipi mkuu? unajua wazazi sametimes kuna maneno flani hivi akiyaongea hata mtu wapembeni atajua huyu anamnyanyasa mwanae
 
Mkuu hata mimi nilijaribu kuwa bize kidogo na sikutaka kushinda home nikaamua kukaa chuo mpaka saa 4 usiku ila kila nikirudi maneno hayaishi nasemwa sana
Shida ninayo Iona kwako unawategemea kwa Kila kitu hivyo huna budi kwenda na matakwa yao, ila kwangu mim ilikua ni kulala tu kula na mahitaj mengine yote sikuwahi omba kwao.
 
Ushauri murua sana kutoka kwa apostle asante mkuu maana na mm nimo humo aseee 😁😁😁
Mdogo wangu, fanya vyote ila usije ondoka home kwa jazba, maana kuna siku utahitaji kurudi hapo 😅
 
Mkuu nakushauri usitoke hapo home. Ni heri ukavumilia hayo unayoita manyanyaso, kuliko kukutana na mateso ya kuingia kitaa kurupu kurupu bila mipango.

Bado uko chuo, matumizi na mahitaji yako ni mengi sana. Nakushauri endelea kujipanga mdogo mdogo, make sure siku unayo graduate chuoni, tayari uwe na ramani kamili ya kuingia mtaani.

Yani kwa ufupi, uwe na double graduations. Yani unagraduate chuo, at the same time una graduate nyumbani.

Ila ukisema utumie hasira na kuondoka home sasa hivi bila plan, trust me, chance ya kupoteana ni kubwa mno, na hivi double kick na smart gin ni 2000? Sijui.
Mkuu me nimeshamvumilia sana bimkubwa na nimehmshajitahidi kumweka sawa (yaani asinichukie) ila kila nikijaribu kufanya kazi za hapa home maza bado anafoka nimeshajitahidi kuvumilia maisha ya hapa nyumbani ila sina amani wala furaha.

Hali hii inanifanya mimi nisishinde hapa nyumbani nakaa zangu chuoni mpaka saa 4 usiku na weekend naamua kusepa home nikawacheki wana ilimradi niyakwepe maneno ya bimkubwa mimi kumvumilia nimeshindwa mkuu mwisho wa mwezi huu nimeshapanga nasepa home potelea mbali changamoto za mtaani
 
Kivipi mkuu? unajua wazazi sametimes kuna maneno flani hivi akiyaongea hata mtu wapembeni atajua huyu anamnyanyasa mwanae
Haya kapange ili wapangaji wenzako wakakufurahie uvivu wako uliokukimbiza Kwa wazazi wako. Na siku ukirudi tena Kwa wazazi tunakupeleka Polisi.

Nakumbuka hili ni jaribio lako la pili maana la kwanza ulibandika kule Twitter nikakufukuza
 
Shida ninayo Iona kwako unawategemea kwa Kila kitu hivyo huna budi kwenda na matakwa yao, ila kwangu mim ilikua ni kulala tu kula na mahitaj mengine yote sikuwahi omba kwao.
Sasa mkuu kama kula home nakula usiku tu nikirudi na kama kuwategemea wazazi basi ni sehemu ya kulala tu ila mengi najitahidi kujihudumia mwenyewe ila manyanyaso bado hayaishi.
 
Haya kapange ili wapangaji wenzako wakakufurahie uvivu wako uliokukimbiza Kwa wazazi wako. Na siku ukirudi tena Kwa wazazi tunakupeleka Polisi.

Nakumbuka hili ni jaribio lako la pili maana la kwanza ulibandika kule Twitter nikakufukuza
Kwani mleta mada unamjua mkuuu
 
Akili za kimasikini za wazazz
Habarini wakuu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums nina miaka 21, kama mnavyojuwa umri huu bado nipo masomoni chuo flani hivi apa dar na bado nipo home.

Sasa tuludi kwenye mada, unajua nini hapa home sipaelewi sikuhizi nimekuwa nikichukiwa pasipo na sababu za msingi, hasa bi mkubwa amekuwa mtu wakunifokea fokea hadi majirani huwa wanasikia jinsi ninavyofokewa. Majuzi kati hapa niliambiwa sikuhizi hapo home sifanyi kazi na ninachelewa kurudi nyumbani, nikiwauliza wazazi wangu ni kazi gani wanataka mimi nizifanye hapa nyumbani naambiwa nioshe vyombo, mara nifyeke majani na mikazi mengine kibao.

Okay siku na kipingamizi kwasababu hawa ni wazazi wangu hivo ni wajibu kuwasikiliza na sio kwamba siku za nyuma nilikuwa sifanyikazi? Hapana ni kutokana na majukumu ya masomo huku chuoni yananibana sana hivo nakuwa mtu sio wakushinda nyumbani maana mda wote na huku chuoni huwa na baki mpaka saa 3 au nne usiku ndio narudi home. Nafanya hivi ili nikimbie majukumu ya nyumbani ila baadae nahisi wazazi wangu walinishukizia.

Anyway sasa kila nikifanya kazi za hapa nyumba bado maneno yanakuwa mengi mara uwambie urudie kuosha vyombo mara mbili wakati apo vyombo ushaosha na vinan'gaa bila shida , ukitoka hapo mara uwambiwe chooni unaachafua mara hausafishi mara unaingiza mchanga mara uwambiwe uliacha mavi leo asubuhi yaani maneno yanakuwa mengi halafu bimkubwa anaongea kwasauti kubwa hadi majirani wanasikia

Mimi hali hii sipendezwi nayo, naona wazazi wangu kama wameanza kunichoka, hapa nafanya mpango mwisho wa mwezi huu nichomoke hapa home najua mwanzo wa kujitegemea huwa mgumu ila potelea mbali siwezi kuendelea kukaa home huku nikidharirishwa na maneno ya bimkubwa.

Anyway natafuta chumba bei iwe 50k maeneo kuanzia ubungo kibo, kona mpaka kimara korogwe. Kama unaona au unasikia kuna chumba kinapangishwa maeneo hayo anipange sasa. Wakuu #natanguliza shukuran
Akili za kimasikini za wazazi wa Kitanzania
 
Pole sana...mimi nimekataa utumwa wa nyumbani nikiwa na miaka 20 ingawa Mama yangu hana isipokuwa mzee alikuwa na nongwa sana
 
Back
Top Bottom