Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Yani umeona swala lako wewe na familia yako tena WAZAZI wako ndio litapatiwa suluhisho humu,acha akili za kijinga kijana huo ujana usikupeleke pupa hivyo,Mzazi ana wajibu wa kukuambia chochote ikiwa hakileti madhara kwako na sijaona sababu ya wewe kulalama humu kisa tu kuambiwa ufanye MAJUKUMU ya HAPO NYUMBANI,kabla haujawa na miaka mpaka leo wamepambana,wamekupigania vya kutosha mpaka sasa hapo ulipo,huna haja ya kulalama mtandaoni humu hakuna msaada mkuu.

Rudi tena kwa Mama kapige magoti kamuombe msamaha huwezi jua kuna kitu ulifanya ama yeye anahisi kuna kitu mbele huko utafanya ambacho si kizuri.Kama waliweza kugundua wakati wewe bado ni mtoto mdogo hujui kuongea,wewe ni KUCHEKA na KULIA pindi ukipata maradhi hata ya tumbo basi Mzazi anajua hata kama huja muambia.

Heshima iwafikie WAZAZI WETU WOTE haijalishi wametulea katika mazingira Gani.

Tatizo la vijana wa sasa tunapenda sana USASA maisha ya TV na MTANDAONI {GLOBALIZATION} angalia WAZAZI WETU pindi walivyokuwa na umri kama wako walikuwa wanapewa majukumu gani kwao kwa WAZAZI WAO.

AHSANTE.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Nikawaombe msamaha kwani nimewakosea ni mimi?? Kama kazi walizoniambia nizifanye nafanya ila bado maneno yanakuwa mengi nafokewa vyombo sivioshi vizuri mara deki sipigi vizuri wakati apo vyombo vinan'gaa na ukicheki sakafu liko safi asa apo kosa langu liko wapi??
 
Nikawaombe msamaha kwani nimewakosea ni mimi?? Kama kazi walizoniambia nizifanye nafanya ila bado maneno yanakuwa mengi nafokewa vyombo sivioshi vizuri mara deki sipigi vizuri wakati apo vyombo vinan'gaa na ukicheki sakafu liko safi asa apo kosa langu liko wapi??
Hutaki KUISHI maisha yasiyo kuwa na CHANGAMOTO,ukitoka hapo kwa WAZAZI wako sasa hivi basi tambua WALEZI wako watakuwa ni WALIMWENGU ihifadhi hii sawa eeeenh

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Hutaki KUISHI maisha yasiyo kuwa na CHANGAMOTO,ukitoka hapo kwa WAZAZI wako sasa hivi basi tambua WALEZI wako watakuwa ni WALIMWENGU ihifadhi hii sawa eeeenh

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Acha kunitisha nimesha ishi sana mtaani na watu wenye tabia tofauti tofauti ilo la walimwengu kwangu halinipi shida kikubwa niwe huru na nikae mbali na meneno ya bimkubwa maana me kuishi naye sasa simuwezi
 
Ila kweli kuna wakati wazazi wanazingua, ayo Mambo yashanikuta nilichokifanya sikuhama home Bali nilitafuta kazi ili nijikeep busy na heshima ikaludi.
Mkuu hata mimi nilijaribu kuwa bize kidogo na sikutaka kushinda home nikaamua kukaa chuo mpaka saa 4 usiku ila kila nikirudi maneno hayaishi nasemwa sana
 
Back
Top Bottom