Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujuani mkuu hunijui sikujui so usinitishie maishaHaya kapange ili wapangaji wenzako wakakufurahie uvivu wako uliokukimbiza Kwa wazazi wako. Na siku ukirudi tena Kwa wazazi tunakupeleka Polisi.
Nakumbuka hili ni jaribio lako la pili maana la kwanza ulibandika kule Twitter nikakufukuza
Kapange uone Moto. Mnatafuta urahisi wa kuzurula mitaani usiku sio ?Hatujuani mkuu hunijui sikujui so usinitishie maisha
Hamna shida ushauri wako nishau note kikubwa dua namuomba mola aniongozeHapo uamuzi wa busara ni kutafuta chumba cha nafuu ukalianzishe kigetogeto uanze kujichanganya na harakati za mtaa. Uzingatie masomo usije haribu maana uhuru huwa anakuja na uzembe.
Pambana sana.
Sasa utaweza kukaa gheto au unatafuta lawama?Bado mkuu ndio naanza kuweka mambo sawa mwisho wa mwezi huu naanza maisha ya ghetto
Nadhani kijana anakua kiumri amekuwa sasa wazazi hawaendani na umri wake na kumtambua kuwa amekuwa na yeye anataka heshima yake.[emoji23]Mtoto Kwa wazazi hakui... Tena Kwa huo umri wako Bado unaonekana mtoto angalau ungekuwa na 25 wangekuchukulia mtu mzima.
So vitu ambavyo mzazi wako anaona ni kawaida kabisa kukwambia, wewe unachukulia manyanyaso Kwa kuwa Kwa umri huo wewe unajiona tayari ni mtu mzima na yawezekana pia baadhi ya kazi unaona ni za kike hupaswi kufanya.
Chagua njia utayochagua ila hakikisha ukihama hapo usiwaongezee majukumu, maana wazazi wengi wanatarajia ikifika umri Fulani basi majukumu Kwa watoto wao hasa wa kiume yanapungua.
Sio ukapange huko uanze kuomba pesa za chakula na mahitaji mengine home, unawaongezea Budget zinazoepukika.
Kumbe una boom kabisa. Aaaah we basi hapo ushatoboa.Hapana mkuu unajua kuna maneno mzazi akiyaongea unajua kabisa hapa mzazi anakunyanyasa hivi kweli mimi na umri wangu huu niachae mavi chooni hebu mkuu think twice, sikuwahi kuambiwa hivi hapo nyuma. Na suala la kuanza kupanga chumba tayari nimeshaweka mipango yangu fresh nina akiba yangu ya boom kama 200k nahisi itanitosha kabisa kuanzia maisha
Ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa wanakuwa na ghubu sana aisee wanaamini kuteseka ndio maisha na kumsapoti mtoto ni kumlemaza.Usiombee uzaliwe kwenye familia ambazo historia ya wazazi wako nao walinyanyaswa na wazazi wao (bibi na babu) huwa wana revenges
Wakisema waendelee kukupenda hutakua utaendelea bora wa kukazie upate akili za kujitegemeaAcha tu hapa naishi na wazazi wangu tena wakunizaa ila naona manyanyaso yamekuwa mengi hapa nyumbani ngoja nichomoke mwisho wa mwezi huu
Hongera mkuu! Ndio wazazi wetu sasa utafanye muhimu kukubaliana na hali halisi, ila kuepuka shari za wazazi ni kuanza kujitegemea tu hakuna namnaPole sana...mimi nimekataa utumwa wa nyumbani nikiwa na miaka 20 ingawa Mama yangu hana isipokuwa mzee alikuwa na nongwa sana
Naenda kupanga shida yangu sio kuwahuru kuzurura usiku bali mimi nimeamua kusepa home niepukane na kero za kufokewa na bimkubwaKapange uone Moto. Mnatafuta urahisi wa kuzurula mitaani usiku sio ?
Kwa Nini unahisi mama yako kaanza kukuchukia na kukunyanyasa sasa Kabla ya hapo nyuma?Hapana mkuu unajua kuna maneno mzazi akiyaongea unajua kabisa hapa mzazi anakunyanyasa hivi kweli mimi na umri wangu huu niachae mavi chooni hebu mkuu think twice, sikuwahi kuambiwa hivi hapo nyuma. Na suala la kuanza kupanga chumba tayari nimeshaweka mipango yangu fresh nina akiba yangu ya boom kama 200k nahisi itanitosha kabisa kuanzia maisha
Lawama ?? Kivipi mkuu ?? Naenda kupanga ghetto ili nikimbie lawama za bimkubwa na maneno ya kufokewa pasipo na sababu za msingiSasa utaweza kukaa gheto au unatafuta lawama?
Yeah heshima muhimu mkuu atakama ni mzazi kuna muda utahitaji heshima kutoka kwake ila kwakua ni mzazi basi unaamua tu kukaushaNadhani kijana anakua kiumri amekuwa sasa wazazi hawaendani na umri wake na kumtambua kuwa amekuwa na yeye anataka heshima yake.[emoji23]
Lakini si wangeniambia tu niondoke sio kuniambia nimeanza kuacha mavi chooni hayo sio maneno ya kuongea mtotoWakisema waendelee kukupenda hutakua utaendelea bora wa kukazie upate akili za kujitegemea
Hapo lazima utoboe. Geto la 50K unalipa kuanzia miezi 4 au 6 kabisa. Unanunua godoro lako la tano kwa sita inches 6 linatosha unalitandika chini, pazia nunua zile za bei nafuu kabisa najua chumba kitakuwa na dirisha moja.Boom lipo mkuu nasubiria awamu hii ya pili mwezi huu nijumlishe na akiba I think itanitosha kabisa kuanza kujitegemea
Ndio mkuu Boom lipo na mipango tayari mwisho wa mwezi huu nasepa homeKumbe una boom kabisa. Aaaah we basi hapo ushatoboa.
Hamna maza sikuhizi kabadika mpaka mimi namshangaa sijui anataka nini kwangu kama anataka nijitegemee kwanini asinifukuze nijue moja sio kunifokea tena kwa sauti kubwa.Kwa Nini unahisi mama yako kaanza kukuchukia na kukunyanyasa sasa Kabla ya hapo nyuma?
Je unahisi mama yako anakuonea WIVU unavyosoma chuo au?
Ule msemo wa akufukazae hwakwambii toka, ulifikili ni wa kujibia mtihani tuu. ndio una apply kwako sasa.Lakini si wangeniambia tu niondoke sio kuniambia nimeanza kuacha mavi chooni hayo sio maneno ya kuongea mtoto