Naona wazazi wangu wamenichoka, ni muda sasa nami nianze kujitegemea

Kwa umri wako Wazazi wamekuonea. Kama una boom I think unaweza kuishi kwako.
Boom lipo mkuu nasubiria awamu hii ya pili mwezi huu nijumlishe na akiba I think itanitosha kabisa kuanza kujitegemea
 
Huyo maza Mnyaki nini/ Maana watu wa kule wana makoo makubwa akiongea bucha. msewe mnasikia [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji38][emoji38] acha tu mkuu yaani maza akiongea mtaa mzima utajuwa tu kuwa leo mudi hajaosha vyombo yaani hadi zarau madogo wanakuletea mtaani utasikia kaka mudi kaoshe vyombo
 
[emoji38][emoji38] acha tu mkuu yaani maza akiongea mtaa mzima utajuwa tu kuwa leo mudi hajaosha vyombo yaani hadi zarau madogo wanakuletea mtaani utasikia kaka mudi kaoshe vyombo
Kama una boom kapange mtaani, hata share geto na msela maisha yaende
 
Yani umeona swala lako wewe na familia yako tena WAZAZI wako ndio litapatiwa suluhisho humu,acha akili za kijinga kijana huo ujana usikupeleke pupa hivyo,Mzazi ana wajibu wa kukuambia chochote ikiwa hakileti madhara kwako na sijaona sababu ya wewe kulalama humu kisa tu kuambiwa ufanye MAJUKUMU ya HAPO NYUMBANI,kabla haujawa na miaka mpaka leo wamepambana,wamekupigania vya kutosha mpaka sasa hapo ulipo,huna haja ya kulalama mtandaoni humu hakuna msaada mkuu.

Rudi tena kwa Mama kapige magoti kamuombe msamaha huwezi jua kuna kitu ulifanya ama yeye anahisi kuna kitu mbele huko utafanya ambacho si kizuri.Kama waliweza kugundua wakati wewe bado ni mtoto mdogo hujui kuongea,wewe ni KUCHEKA na KULIA pindi ukipata maradhi hata ya tumbo basi Mzazi anajua hata kama huja muambia.

Heshima iwafikie WAZAZI WETU WOTE haijalishi wametulea katika mazingira Gani.

Tatizo la vijana wa sasa tunapenda sana USASA maisha ya TV na MTANDAONI {GLOBALIZATION} angalia WAZAZI WETU pindi walivyokuwa na umri kama wako walikuwa wanapewa majukumu gani kwao kwa WAZAZI WAO.

AHSANTE.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…