Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

Wewe ni mpuuzi . Unataka hata watu wakifa wasiseme'!, wasipopandIshiwa mishahara wasiseme tena hata kwa mujibu wa sheria!, wakijua kuwa makonda hana vyeti wasiseme, wakiibiwa kura wasiseme? Na sasa CORONA 19 Wasiseme?
Huyo field MARSHAL unayejitapa nae ndiye anayeleta maamuzi ya Kipuu...z mpaka sukari inaadimika. FIELD MARSHAL ANAKWENDA JUJIFICHA VICHAKANI VITA IKIWA INAENDELEA? ULIZA OKELO ALIKUWA WAPI WAKATI WA MAPINDUZI YA UNGUJA NDO UTAJUA MAANA YA FIELD MARSHAL.
MTU ANATEMBEA NA MAUZIO YA CHUMA HATA AKIENDA MALIWATO UNAMWITA FIELD MARSHAL?
Japo tunaju uwezo wako wa akili lakini kuwa kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuna limao na pilipili!
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!

i feel very sorry for you...unaonekana kichewani kumejaa tope tena siyo maji...siyo kila anayeikosoa serikali ni mpinzani wengine are just concerned citizen...corona wont kill only chadema member ...likewise sukari price the same...so rudi ukalale kwanza kabla pengine akili umeisahau usingizini.
 
i feel very sorry for you...unaonekana kichewani kumejaa tope tena siyo maji...siyo kila anayeikosoa serikali ni mpinzani wengine are just concerned citizen...corona wont kill only chadema member ...likewise sukari price the same...so rudi ukalale kwanza kabla pengine akili umeisahau usingizini.
Hiyo mihemko uliyokuja nayo tayari umejiweka wazi!
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!

Wamedandia sukari na kufungwa mipaka

Wanajisahaulisha kuwa dunia nzima inajuta lockdown

Na hakuna importation za mizigo
 
Kwa hio ulitaka tukudandie wewe au?Inama basi nianze mimi Mbowe,Lema,Mnyika na makamanda wengine watafuata!nadhani utaridhishwa ipasavyo au sio????
 
Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara.

Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na mada kuu. Tuwakumbushe wazee wa kudandia, CCM ni chama dume na kubwa na kikongwe hakitingishwi na hujuma wala wahuni

Kimepita kwenye mawimbi mazito na mikondo mikubwa yenye dhoruba kali, mabaharia waoga walijaribu kujitosa baharini na kukimbilia visiwa vya wagagagigikoko baada ya kuona huko hakufai waliomba tena kusaini kwenye meli yenye manahodha wenye uzoefu mkubwa.

Tuwakumbushe ndugu zetu mnadandia sana na kusahau kujitayarisha hii ni May, kumebaki miezi mitatu na nusu au ndio habari ile ile kama Serikali za mitaa ya visingizio?

Lakini nina hakika CHADEMA bila ruzuku haiwezi simama, hakuna wa kutoa pesa yake mfukoni kuchangia chama watashiriki tu ili washindwe wapate cha kusema. Kama ni wabunge hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni maana wananchi wamewachoka na vitimbwi vyao!
Sukari iko wapi? Sijanywa Chai na watoto Siku 3. Madukani kwetu hakuna
Enzi ya Sokoine imerudi ilitokea baada Vita ya Uganda na Tanzania
 
Wamedandia sukari na kufungwa mipaka

Wanajisahaulisha kuwa dunia nzima inajuta lockdown

Na hakuna importation za mizigo

..kazi ya upinzani ni kuichagiza serikali itatue kero za wananchi.

..Na hizo kero huwa haziishi. Hii covid19 ikipita litakuja jambo lingine linalotakiwa kufanyiwa kazi kwa dharura, au bila dharura.

..sasa walioko madarakani hawapaswi kulalamika kuwa wanakerwa. Yeyote anayeomba dhamana ya kuongoza na akapewa hatakiwi kunung'unika anapoombwa kutatua shida za wananchi.
 
..kazi ya upinzani ni kuichagiza serikali itatue kero za wananchi.

..Na hizo kero huwa haziishi. Hii covid19 ikipita litakuja jambo lingine linalotakiwa kufanyiwa kazi kwa dharura, au bila dharura.

..sasa walioko madarakani hawapaswi kulalamika kuwa wanakerwa. Yeyote anayeomba dhamana ya kuongoza na akapewa hatakiwi kunung'unika anapoombwa kutatua shida za wananchi.

Lakini wapinzani walivyotaka lockdown walijua sukari itapatikana wapi?

Dunia si imefungwa mkuu? Sukari tunaagizia wapi??

Lockdown hali si ingekuwa mbaya, hilo trailer tu
 
Back
Top Bottom