Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hilo mbona ameshalitolea ufafanuzi
Uzuri halisi wa mwanamke upo Rohoni mwake. Hauchuji wala hauchujuki[emoji3]Naona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema kwamba ameshazeeka.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali .
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.
View attachment 2814888View attachment 2814892View attachment 2814895View attachment 2814898
Atachujaje wakati wanaume wanawekeza mayai/wazungu?Huyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
siku ujipange umbambee asubuhi akiwa ametoka kulala no makeup no photo edits, ndio utajua maana ya uzuri wa asiliHuyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
Habari K
Imetumika saaanaHabari K
Poa K
Fala Sana wewe[emoji28]
Ndala[emoji28]
Ila wewe[emoji16][emoji16]