Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂 halifichiki weeeeee
Huyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
My crush of All timeNaona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema kwamba ameshazeeka.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali.
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.
View attachment 2814888View attachment 2814892View attachment 2814895View attachment 2814898
Kwahiyo unashauri ajiachie tu katika uzee kwa kuwazingatia funza huko kaburini? Ni sawa na wale wanaowasema ovyo matajiri kwa kumiliki fedha, majumba na magari wakiwatisha kuwa vyote wataviacha na kuishia kaburini kuliwa na funza.Unatumia gharama nyingi za make up na mavazi kibao ILi uendelee kuonekana kijana. So what??
Huo mwili anauhangaika kuupamba na kuutunza hajui Kuwa kuna funza huko kaburini wanamsubiri siku akifa aozee aliwe na funza.
Et uzuri wa asili!! Mtu ma effect kibao utasema photoshop... ma make up kama yote .. plus ma plastic surgery, asil hiyo unayoisemea ni ipi?Huyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
Kuna dili la utangazaji redio mpya kipindi Cha maswala ya vijana, haijaanza hiyo redio ya huko dar.Naona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema kwamba ameshazeeka.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali.
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.
View attachment 2814888View attachment 2814892View attachment 2814895View attachment 2814898
Kwahiyo mwanamke unataka afanyaje?Unatumia gharama nyingi za make up na mavazi kibao ILi uendelee kuonekana kijana. So what??
Huo mwili anauhangaika kuupamba na kuutunza hajui Kuwa kuna funza huko kaburini wanamsubiri siku akifa aozee aliwe na funza.
'My milk are sleeping'
Hapa mzee, naona "Fallen Soldiers"
Mambo yenu hayo wanawake. Sisi wanaume ni ngumu kufuatilia maisha ya mtu . Tunafuatilia michongo tu.Naona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema kwamba ameshazeeka.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali.
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.
View attachment 2814888View attachment 2814892View attachment 2814895View attachment 2814898
UJingaUnatumia gharama nyingi za make up na mavazi kibao ILi uendelee kuonekana kijana. So what??
Huo mwili anauhangaika kuupamba na kuutunza hajui Kuwa kuna funza huko kaburini wanamsubiri siku akifa aozee aliwe na funza.
Kuna vitu tele hapo mwilini mwake ni feki muulizeni Whozu kama mnabishaHuyu dada ana uzuri wa asili, hajawahi kuchuja kabisa 😊
Mmmmhhhhh!!!!!!!!!God is Watching you