Naoni yangu: Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini

Naoni yangu: Orodha ya wanasiasa bora wa muda wote nchini

Haya ni maoni yangu binafsi kwa jinsi nilivyowaona na kuwasikia kwenye mambo yao mbalimbali waliyoyafanya kwenye siasa za Tanzania. Hii list inahusisha wanasiasa wa zamani na wa sasa, walio hai na waliotangulia mbele ya haki. Nimewaweka kulingana na ubora wao. Namba moja ina maana ndo bora zaidi.

1. Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
2. Jakaya Kikwete.
3. Rais Samia Suluhu
4 Edward Lowassa.
5. Dkt. Wilbroad Slaa.
6. Zitto Kabwe
7. Fahmi Dovutwa.
8. Hawa Bananga.
9. Freeman Mbowe.
10. Profesa Kitila Mkumbo.
11. Abdul Nondo
12. Tundu Lissu
13. Hamis Kigwangala
14. Mwigulu Nchemba
15. Hussein Bashe
16. Yericko Nyerere
17. Nusrat Hanje
18. John Heche
19. Mwita Waitara
20. John Mnyika.

Kwa mtazamo wangu JK Nyerere was never just a politician bali alikuwa ni mwanafalsafa, visionary, kiongozi, mwanaharakati na mengine mengi tu...

Ni mkubwa sana kumuweka kwenye hii list...
 
Yaani yeriko na bananga wamo halafu magufuli hayumo,sawa kuwa ni maoni yako.
 
Haya ni maoni yangu binafsi kwa jinsi nilivyowaona na kuwasikia kwenye mambo yao mbalimbali waliyoyafanya kwenye siasa za Tanzania. Hii list inahusisha wanasiasa wa zamani na wa sasa, walio hai na waliotangulia mbele ya haki. Nimewaweka kulingana na ubora wao. Namba moja ina maana ndo bora zaidi.

1. Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
2. Jakaya Kikwete.
3. Rais Samia Suluhu
4 Edward Lowassa.
5. Dkt. Wilbroad Slaa.
6. Zitto Kabwe
7. Fahmi Dovutwa.
8. Hawa Bananga.
9. Freeman Mbowe.
10. Profesa Kitila Mkumbo.
11. Abdul Nondo
12. Tundu Lissu
13. Hamis Kigwangala
14. Mwigulu Nchemba
15. Hussein Bashe
16. Yericko Nyerere
17. Nusrat Hanje
18. John Heche
19. Mwita Waitara
20. John Mnyika.
Du hii risiti yaani Mtikila hayumo John Cheyo hayumo,Basili pesambili Mramba pia hayumo??
 
Haya ni maoni yangu binafsi kwa jinsi nilivyowaona na kuwasikia kwenye mambo yao mbalimbali waliyoyafanya kwenye siasa za Tanzania. Hii list inahusisha wanasiasa wa zamani na wa sasa, walio hai na waliotangulia mbele ya haki. Nimewaweka kulingana na ubora wao. Namba moja ina maana ndo bora zaidi.

1. Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
2. Jakaya Kikwete.
3. Rais Samia Suluhu
4 Edward Lowassa.
5. Dkt. Wilbroad Slaa.
6. Zitto Kabwe
7. Fahmi Dovutwa.
8. Hawa Bananga.
9. Freeman Mbowe.
10. Profesa Kitila Mkumbo.
11. Abdul Nondo
12. Tundu Lissu
13. Hamis Kigwangala
14. Mwigulu Nchemba
15. Hussein Bashe
16. Yericko Nyerere
17. Nusrat Hanje
18. John Heche
19. Mwita Waitara
20. John Mnyika.
Unawezaje kumuacha Lyatonga Mrema na James Mbatia
 
Haya ni maoni yangu binafsi kwa jinsi nilivyowaona na kuwasikia kwenye mambo yao mbalimbali waliyoyafanya kwenye siasa za Tanzania. Hii list inahusisha wanasiasa wa zamani na wa sasa, walio hai na waliotangulia mbele ya haki. Nimewaweka kulingana na ubora wao. Namba moja ina maana ndo bora zaidi.

1. Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
2. Jakaya Kikwete.
3. Rais Samia Suluhu
4 Edward Lowassa.
5. Dkt. Wilbroad Slaa.
6. Zitto Kabwe
7. Fahmi Dovutwa.
8. Hawa Bananga.
9. Freeman Mbowe.
10. Profesa Kitila Mkumbo.
11. Abdul Nondo
12. Tundu Lissu
13. Hamis Kigwangala
14. Mwigulu Nchemba
15. Hussein Bashe
16. Yericko Nyerere
17. Nusrat Hanje
18. John Heche
19. Mwita Waitara
20. Joh
Sijui unachotafuta nini hapo🤣😂
 
Back
Top Bottom