Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Ila Uchawi hautoki mbali

Itakua familia yenu kuna namna fulan

Huenda mama yako au bibi kizaa mama, au Bibi Kizaa Baba


Kwa ufupi ,Wanawake ndio wanoongoza kua na uchawi.



Mtu asiseme kwann nataja, Bibi bibi.
Upande wa mzaa baba wote marehem walikufa muaka ya 80 huko sijajua upande wa mama
 
Ila kwa maswali ya dogo, kwamba ulimfahamu na ndugu kuwa wanamwona akiwafanyia mambwanga kuna uwezekano dogo kasha ingia chamani
Yaani mkikosana mchana ucku unamuota anakukaba na ukimuuliza mkavu yaani simple tu anakujibu hajui
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Bibi yako ashamrithisha MIKOBA huyo mdogo Wako. Ndo anaanza jiramba Sasa ameamua kujifunzia kwako[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Dalili mojawapo ya mtoto mwanga ni jeuri [emoji2] Kuna wadogo zetu ukiwaa ngalia tu unajua hii jeuri sio ya kawaida.
Na watoto mapepe wako kwenye hatari sana ya kuingizwa huko.
 
Bibi yako ashamrithisha MIKOBA huyo mdogo Wako. Ndo anaanza jiramba Sasa ameamua kujifunzia kwako[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Haki ya nani mimi mchawi ndio simuogopi hata robo huyo jini mwenyewe tu siku tatu alikua naninifatilia sikumlia ugari mbili kavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani mkikosana mchana ucku unamuota anakukaba na ukimuuliza mkavu yaani simple tu anakujibu hajui
Si vyema kusema haya ila ndo ukweli

Huyo dogo ashakuwa mwanga na Tabia ya watoto hawawezi jikontroo maana anajua tayari ni fundi Basi usiku atalipiza kisasi

Maisha yako, kizazi chako tayari yako kwenye hatari kubwa ( watoto wanao kuwa wachawi tangu udogoni wanakomaa sana na wanasumbua hata kuwavua uchawi wao)

Huyo mtoto anaenda vuruga ukoo, uchawi kachukua kwa ndugu zako hasa upande wa mama/baba hasa wazee wa zamani (yawezekana bibi/Babu zako ni wanga na dogo kakabidhiwa mikoba mapema)
 
Dalili mojawapo ya mtoto mwanga ni jeuri [emoji2] Kuna wadogo zetu ukiwaa ngalia tu unajua hii jeuri sio ya kawaida.
Na watoto mapepe wako kwenye hatari sana ya kuingizwa huko.
Sio siri watoto wengi wachawi wako hivyo najua hili langu hivyo napatwa na kiwewe
 
Haki ya nani mimi mchawi ndio simuogopi hata robo huyo jini mwenyewe tu siku tatu alikua naninifatilia sikumlia ugari mbili kavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawajua majini hahahah acha utani mdg wangu
 
Si vyema kusema haya ila ndo ukweli

Huyo dogo ashakuwa mwanga na Tabia ya watoto hawawezi jikontroo maana anajua tayari ni fundi Basi usiku atalipiza kisasi

Maisha yako, kizazi chako tayari yako kwenye hatari kubwa ( watoto wanao kuwa wachawi tangu udogoni wanakomaa sana na wanasumbua hata kuwavua uchawi wao)

Huyo mtoto anaenda vuruga ukoo, uchawi kachukua kwa ndugu zako hasa upande wa mama/baba hasa wazee wa zamani (yawezekana bibi/Babu zako ni wanga na dogo kakabidhiwa mikoba mapema)
Mwanzo alikua anafatiliwa na wachawi nikawa namuokoa na kuna siku mbaba mmoja ni ndugu alikua mwanga akawa anasema mdogo wako yule ana macho angekua wa kiume angekua chief yaani nirivurugwa
 
Sio siri watoto wengi wachawi wako hivyo najua hili langu hivyo napatwa na kiwewe
Kuna visichana kama viwili nmewahi kukaa navyo katika maongezi waliwahi kuropoka vitu halafu ukimshtukia na yeye anashtuka anazunga... kamoja katoto ka la1 tu, huyo mwingine kamaliza la7 wana tabia ambayo inafanana (Mapepe yaliyopitiliza)

Halafu kuna jambo jingine nalo tukilionaga tuna assume hapa pana mazito ( mahusiano ya karibu sana baina ya mama na binti au mjukuu na bibi) Kuna wale unakuta yani wana ukaribu wa uchungu kabisa na mkubwa hataki mdogo awe mbali nae, na atamtetea kwa kila hali endapo atapata tabu yoyote
 
Back
Top Bottom