Ghetoo lako huna haja ya kwenda kukinga maji nje unatega beseni chini na mvua hizi unajaza vyombo vyote😄Ahahahahah kwahiyo leo unalikashifu hapa
Sijui maana yake nimeishi Ila sio msukuma,Wasukuma tangia lini wakatafsiri ndoto😬😬 umeiga tabia za wasukuma
Mrume ndago maana yake ni nini?🤣
a kuku mmoja wewe nakufuga af bado unaleta jeuri ngoja nimpe namba Binadamu Mtakatifu ya dada yako ane ajipigieGhetoo lako huna haja ya kwenda kukinga maji nje unatega beseni chini na mvua hizi unajaza vyombo vyote😄
Oya Half american leo mbona haonekan Pande hizi. Kala ban au basi tu ana stress za kupigwa mbili bila😃
Hana jeuri ya kumtaka dada yangu na kwanza hana utakatifu wowote😄🤣Ahahah
a kuku mmoja wewe nakufuga af bado unaleta jeuri ngoja nimpe namba Binadamu Mtakatifu ya dada yako ane ajipigie
Mwanangu umeadimika sana vipi ulienda kuoa?Gily hahahaa! Story ya BIG kutoka kwa SteveMollel na uchawi mwingi kwenye simulizi za JamiiForums zinakula kichwa yako hata ukilala zinareflect hahaaa! 😂😂😂
Duuh hii ninaota au nipo macho yaan unanipa km zawadi ?Hana jeuri ya kumtaka dada yangu na kwanza hana utakatifu wowote😄🤣
View attachment 2591406Kwanza dada yangu Nampa Bueno 😊
Kuoa wapi wakati huko kwa mromboo siku hizi mnauza watoto wakike kwa kutaka mahari ndefu sana kwakua mmestuka ndoa hazidumu sababu ya tamaa za mali😂😂😂Mwanangu umeadimika sana vipi ulienda kuoa?
Story zenyew sijafatilia for weeks kwan zinaendelea?
Nakupa mke wa maisha kulilo nimpe chizi Johnnie Walker. Tabia zake huwa ni kuwatemea mate mademu zake muhuni muhuni flanDuuh hii ninaota au nipo macho yaan unanipa km zawadi ?
Uyo bueno nyoka wa pichaHana jeuri ya kumtaka dada yangu na kwanza hana utakatifu wowote😄🤣
View attachment 2591406Kwanza dada yangu Nampa Bueno 😊
Bado nitampokonyaNakupa mke wa maisha kulilo nimpe chizi Johnnie Walker. Tabia zake huwa ni kuwatemea mate mademu zake muhuni muhuni flan
Mkuu umefanya la maana sana, huyo muhuni hafai kabisa kumpa mke kumbe anawatemeaga na mateNakupa mke wa maisha kulilo nimpe chizi Johnnie Walker. Tabia zake huwa ni kuwatemea mate mademu zake muhuni muhuni flan
Mkuu unao huo mkanda??Haya mapicha picha mnayatoaga wapi?
Hamjui nayo yanaweza kuwa na connection na roho za shetani?
Tafuta mkanda unaitwa "Lucifer" angalia hiyo tamthilia kisha utaelewa ninachokueleza.
Hela sio ishu je yaliomo yamo, Uno lipo au kiuno mbao mikazo ya chuma na kokoto(Zege) 😂😂😂Unalalamika kwa sababu huna hela🤣
Ivi gily izo pesa za kikundi zinakupa jeuri mbona ulishindwa lipia bill wewwUnalalamika kwa sababu huna hela🤣
Unautaka kwani ?Mkuu unao huo mkanda??
Haha eeh am interestedUnautaka kwani ?