Naota navamiwa na majambazi au wachawi

Naota navamiwa na majambazi au wachawi

Nahitaji msaada wa ufafanuzi au ushauri I am terrified.
Wewe ni msafi mweupe unaingilika na wanga uwatafuta watu wasafi wasafi wawachafue chafue, kwa hio jichafue kabla hujachafuliwa na wachawi kuna namna mbili za kujichafua moja kwa Mungu piga maombi sana kabla ya kulala omba salamu Maria 800 baba yetu 900 na alhamdu 700 au ukiona namna gani wahi kwa mama zuwena akupe makombe ya kujisafisha ujiweke sawa, ukitoka hapo utalala usingizi mnono na hakuna kigagula atakusogelea usiku pia kula kitimoto za kutosha kiboko ya wachawi na mashetani vibwengo na majini,
 
Sio mali za misukule ndio zinakutesa? Maana warombo🙆🙆 (kidding)

Ukute huwa unawaza sana masuala ya kuibiwa, au huwa mnapiga story za kuibiwa kabla ya kwenda kulala.
 
Mpaka comment hii hakuna yeyote aliyetafsiri ndoto hii zaidi ya kunambia nimshike Yesu au niokoke au nawaza sana. .

Hakuna aliyefunuliwa kunitafsiria maana kwa nini naota hivi. .
Sio mali za misukule ndio zinakutesa? Maana warombo🙆🙆 (kidding)

Ukute huwa unawaza sana masuala ya kuibiwa, au huwa mnapiga story za kuibiwa kabla ya kwenda kulala.
 
Wewe ni msafi mweupe unaingilika na wanga uwatafuta watu wasafi wasafi wawachafue chafue, kwa hio jichafue kabla hujachafuliwa na wachawi kuna namna mbili za kujichafua moja kwa Mungu piga maombi sana kabla ya kulala omba salamu Maria 800 baba yetu 900 na alhamdu 700 au ukiona namna gani wahi kwa mama zuwena akupe makombe ya kujisafisha ujiweke sawa, ukitoka hapo utalala usingizi mnono na hakuna kigagula atakusogelea usiku pia kula kitimoto za kutosha kiboko ya wachawi na mashetani vibwengo na majini,
🤣🤣🤣🤣 hii kweli kiboko
Wewe ni msukuma😃
 
Nimeishi usukumani Ila sio msukuma
Wasukuma tangia lini wakatafsiri ndoto😬😬 umeiga tabia za wasukuma

Mrume ndago maana yake ni nini?🤣
 
Haha unataka kujenga?

Nilianza na chupa tano za maji ya uhai ndai ya miaka miwili nikanunuq kiwanja😃
Aweee😂😂 mbona hapa katikati hakuna muunganiko😂 Yani maji faida mia mbili mara mtu ana nyumba aah taratibu kaka sio kiivo mnafanya vijana tuamini hizi ndoto hazioteki mchana
 
Aweee😂😂 mbona hapa katikati hakuna muunganiko😂 Yani maji faida mia mbili mara mtu ana nyumba aah taratibu kaka sio kiivo mnafanya vijana tuamini hizi ndoto hazioteki mchana
🤣🤣🤣🤣

Kipindi cha nyuma nilikuw na hela sasa nimefulia. Ungekuta niko nakula nyama mbuzi choma na ugali kilo mbili sio kukaa napoteza mda JF😃


Kweli nimejenga nyumba ndogo ya kuishi na godown kubwa la kupangisha😊 ila hili pagala la kupangisha sijamaliza Nyumba nimejenga Manzese😊 nilikuw na nyingine nikauza nikatumbua nyama mpaka hela ikaisha

Ninamilik maeneo yasiyo na nyumba matatu. Ila sikuwa na akili ningekuw mbali sana ila kwa sababu ya ujana nimechoka mbaya. Nilikuw naitwa Boss na sio Boss masikhara😊

Unataka nikupe moyo wakati hata hivi nimefeli🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom