Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Boda ndo analetaNitakuja kukuungisha😃 vipi unaweza kuleta mpaka gheto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boda ndo analetaNitakuja kukuungisha😃 vipi unaweza kuleta mpaka gheto?
Uwe roll model wangu mkuuUnataka uone nyumba yangu ili iweje
Hatukuji 😂🤗Johnnie Walker na dada yako depal mnaitw huku
😂😂😂 embu kapige mswaki kwazaaLeo unanikataa?
Wewe ni msafi mweupe unaingilika na wanga uwatafuta watu wasafi wasafi wawachafue chafue, kwa hio jichafue kabla hujachafuliwa na wachawi kuna namna mbili za kujichafua moja kwa Mungu piga maombi sana kabla ya kulala omba salamu Maria 800 baba yetu 900 na alhamdu 700 au ukiona namna gani wahi kwa mama zuwena akupe makombe ya kujisafisha ujiweke sawa, ukitoka hapo utalala usingizi mnono na hakuna kigagula atakusogelea usiku pia kula kitimoto za kutosha kiboko ya wachawi na mashetani vibwengo na majini,Nahitaji msaada wa ufafanuzi au ushauri I am terrified.
Motivational speaker au sio ?Nilianza na chupa tano za maji ya uhai ndai ya miaka miwili nikanunuq kiwanja😃
Sio mali za misukule ndio zinakutesa? Maana warombo🙆🙆 (kidding)
Ukute huwa unawaza sana masuala ya kuibiwa, au huwa mnapiga story za kuibiwa kabla ya kwenda kulala.
🤣🤣🤣🤣 hii kweli kibokoWewe ni msafi mweupe unaingilika na wanga uwatafuta watu wasafi wasafi wawachafue chafue, kwa hio jichafue kabla hujachafuliwa na wachawi kuna namna mbili za kujichafua moja kwa Mungu piga maombi sana kabla ya kulala omba salamu Maria 800 baba yetu 900 na alhamdu 700 au ukiona namna gani wahi kwa mama zuwena akupe makombe ya kujisafisha ujiweke sawa, ukitoka hapo utalala usingizi mnono na hakuna kigagula atakusogelea usiku pia kula kitimoto za kutosha kiboko ya wachawi na mashetani vibwengo na majini,
Nimeishi usukumani Ila sio msukuma🤣🤣🤣🤣 hii kweli kiboko
Wewe ni msukuma😃
Ukininyima kitimotom ukipigw tena na mkeo usikimbilie kwangu kabisaKuna mdau kanishauri nipige kitimoto. Utakula kwa macho😬😬😬
Aweee😂😂 mbona hapa katikati hakuna muunganiko😂 Yani maji faida mia mbili mara mtu ana nyumba aah taratibu kaka sio kiivo mnafanya vijana tuamini hizi ndoto hazioteki mchanaHaha unataka kujenga?
Nilianza na chupa tano za maji ya uhai ndai ya miaka miwili nikanunuq kiwanja😃
Ahahahahah kwahiyo leo unalikashifu hapagheto lako dirisha liko karibu na choo cha wapangaji. Ukiamka asubuhi unabeua harufu ya mavi kifupi unakuwa umeshiba mavi😬
🤣🤣🤣🤣Aweee😂😂 mbona hapa katikati hakuna muunganiko😂 Yani maji faida mia mbili mara mtu ana nyumba aah taratibu kaka sio kiivo mnafanya vijana tuamini hizi ndoto hazioteki mchana