Napambana sana niwatoe hatua moja ndugu zangu

Napambana sana niwatoe hatua moja ndugu zangu

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.

Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.

Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
 
Upo sahihi sana Mungu anataka kukutumia kwa ajili ya ndugu zako na amini kwamba misaada unayotoa sasa Mungu atakubariki siku za mbeleni.Watoto wakiume wengi wanamajukumu sana kuanzia mke watoto ndugu zake ndugu wa mke nk tofauti na wanawake
Yaani silali kwa ajili ya ndugu zangu

Namuomba Mungu juu yao sana
Namuomba MUNGU kama kipato kitapitia mikono yangu ndo kiwafikie wao basi kijae kila mkono,na mikono yao yoote ijae

Naelewa tulivyokulia kwenye shida
Kupasha ugali kunywea chai
 
Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.

Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.

Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Bro ana mke?
 
Bro ana mke?
Ndio kaka
Ana ela kama nini
Ila dah naskia uzuni sana
Walah nakwambia
Ila sitaki sana kumuongelea
Naona kama Mungu kanipa hilo jukumu baada ya lango kuzingua

Aisee nina uchungu
Hapa namtafutia brother yangu mmoja hiace ya kufanya kama daladala mkoani
Kwa uchungu sana

Nampigia bro kumsalimia na madogo m(wanae) anakwambia ninapanga holday twende nchi gani
Yaani roho inaniuma hivi aoni ndugu zake???
 
Mwenyezimungu akusimamie katika mambo yako! Mi nasemaga hakuna investment nzuri kama kuinvest kwa ndugu zako hapa ndo wanatushindaga wenetu wahindi na waarabu. Utajiri unazunguka tu kwenu nyinyi wenyewe hata siku uki-fail unajuwa unaanza wali sio ukianguka wewe basi kila kitu kimeiaha wote mnaanza moja
 
Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.

Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.

Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Hongera kwa kujitambua.

Wana miaka mingapi hao vijana?
 
Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.

Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.

Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Mzunguko wa kipato cha mwanaume ni mkubwa na kama ameoa ndio balaa. Kama unaona mabroo wanatumia hela kwa mambo ya hovyo kama mademu na pombe labda jaribu kiwashirikisha wakubwa wa familia yaani baba, mama, mjomba n.k
 
Haukosei , Uendelee kubarikiwa.

Mi pia nimefanya hivyo kwa almost 6 years, mwaka huu au mwakani inshallah nitaanza kuenjoy hela zangu.


Watoto wa kiume si wakulaumiwa, mi naelewa changamoto yao, Mwanaume anawajibika kwa maisha yake mwenyewe (asipopata msaada kwao) hasaidiwi na dunia. Sisi dada zao ni wajibu wetu kuwasaidia.

Juzi nilimuombea msaada mdogo wangu wa kiume kwa kaka yangu, Kaka yangu alinijibu “nitafanya hivyo ila huyo si wa kumuamini “ Anamaanisha atamsaidia kishingo upande, naelewa why sababu yeye ana priority zake, Ila mimi huwa wananyanyua simu moja tu, nasolve LOL!
 
Back
Top Bottom