Unakosea badala ya kupush ulipoolewa unahangaika na kwenu ulipotokaWatoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.
Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.
Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?