a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Ni jambo jema na zuri kusaidia ndugu.
Ila ni vyema pia kujua kama huyo unayepanga kumsaidia anasaidika.
Mfano
1)mtu ambaye tayari ameanza kupambana katika shughuli kazi fulani,au ana ujuzi fulani au ana penda kipaji kufanya shughuli fulani iwe ujasiriamali/biashara,ujuzi ufundi,kilimo,ufugji ,kazi yoyote halali
akaomba umshike mkono kumuongezea labada mtaji kidogo,vifaa vitendea kazi,mashine za kazi yake ambayo anaifanya,kumuongezea labda ujuzi,mbolea,mbegu,dawa za wadudu kama ni mkulima n.k MARA nyingi watu hawa wenye spirit ya upambanaji kwanza huwa wanaomba msaada mdogo sio mkubwa sana,pia wana shukrani,pia wanathamini kile ulichomuwezesha,pia ni wenye bidii wapambanaji,wanathamini kile ulichomuwezesha mana wanatambua umuhimu wake,pia hawachagui sana kazi ukisaidia mtu wa aina hii kuna uwezekano mkubwa wa msaada uliomsaidia ukaleta matokea chanya kwa sababu WANAJITAMBUA. na wana nidhamu ya kazi na nidhamu ya pesa na nidhamu ya maisha .
2)Kinyume chake ni kumsaidia mtu ambaye HAJITAMBUI kwanza ni mlalamishi,mtu wa kuchagua kazi,hana anachokifanya currently kama ni graduate unakuta toka a graduate amekaa anasuburi ajira ,hajui anataka nini,hana uzoefu wa shughuli yoyote ujuzi wowote,hana interest ya kufanya chochote ana lalamika na kuomba omba ,pia hana nidhamu ya pesa ,kupenda anasa starehe,
PIA NI VIZURI
Ukampa msaada wa kitu mtu anachokiweza kipaji,interest yake anachokipenda ..wewe unaweza ukawaza umfungulie biashara kumbe sio wote wanaweza kufanya biashara ,sio wote wanawezs kufanya kazi ya usafirishaji ,japo mtu anayejiekewa anaweza asichague kazi akafanya hata ile asiyoipenda akiwa anajitafuta ili akijipata afanye kazi ambayo ana kipaji nacho.
Kabla ya kumpa HIACE angalia pia kama ana interest na hiace au anza kumpa boda boda kwanza.
AANZIE CHINI ukiwa unamsoma displine yake na kipaji au uwezo wake
Akimudu boda boda au bajaji productivily ni rahisi kumudu hiace hata bus.
Akifeli kwenye bajaji sio rahisi akafaulu kwenye hiace.
Ila ni vyema pia kujua kama huyo unayepanga kumsaidia anasaidika.
Mfano
1)mtu ambaye tayari ameanza kupambana katika shughuli kazi fulani,au ana ujuzi fulani au ana penda kipaji kufanya shughuli fulani iwe ujasiriamali/biashara,ujuzi ufundi,kilimo,ufugji ,kazi yoyote halali
akaomba umshike mkono kumuongezea labada mtaji kidogo,vifaa vitendea kazi,mashine za kazi yake ambayo anaifanya,kumuongezea labda ujuzi,mbolea,mbegu,dawa za wadudu kama ni mkulima n.k MARA nyingi watu hawa wenye spirit ya upambanaji kwanza huwa wanaomba msaada mdogo sio mkubwa sana,pia wana shukrani,pia wanathamini kile ulichomuwezesha,pia ni wenye bidii wapambanaji,wanathamini kile ulichomuwezesha mana wanatambua umuhimu wake,pia hawachagui sana kazi ukisaidia mtu wa aina hii kuna uwezekano mkubwa wa msaada uliomsaidia ukaleta matokea chanya kwa sababu WANAJITAMBUA. na wana nidhamu ya kazi na nidhamu ya pesa na nidhamu ya maisha .
2)Kinyume chake ni kumsaidia mtu ambaye HAJITAMBUI kwanza ni mlalamishi,mtu wa kuchagua kazi,hana anachokifanya currently kama ni graduate unakuta toka a graduate amekaa anasuburi ajira ,hajui anataka nini,hana uzoefu wa shughuli yoyote ujuzi wowote,hana interest ya kufanya chochote ana lalamika na kuomba omba ,pia hana nidhamu ya pesa ,kupenda anasa starehe,
PIA NI VIZURI
Ukampa msaada wa kitu mtu anachokiweza kipaji,interest yake anachokipenda ..wewe unaweza ukawaza umfungulie biashara kumbe sio wote wanaweza kufanya biashara ,sio wote wanawezs kufanya kazi ya usafirishaji ,japo mtu anayejiekewa anaweza asichague kazi akafanya hata ile asiyoipenda akiwa anajitafuta ili akijipata afanye kazi ambayo ana kipaji nacho.
Kabla ya kumpa HIACE angalia pia kama ana interest na hiace au anza kumpa boda boda kwanza.
AANZIE CHINI ukiwa unamsoma displine yake na kipaji au uwezo wake
Akimudu boda boda au bajaji productivily ni rahisi kumudu hiace hata bus.
Akifeli kwenye bajaji sio rahisi akafaulu kwenye hiace.