Unakosea badala ya kupush ulipoolewa unahangaika na kwenu ulipotokaWatoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.
Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.
Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
pole!Upo sahihi sana Mungu anataka kukutumia kwa ajili ya ndugu zako na amini kwamba misaada unayotoa sasa Mungu atakubariki siku za mbeleni.Watoto wakiume wengi wanamajukumu sana kuanzia mke watoto ndugu zake ndugu wa mke nk tofauti na wanawake
Una moyo mzuri na wazo lako ni zuri sana ila kuwa makini sana kujijali pia. Kwenye kusaidia ndio huwa tunatengeneza maadui wa kudumu. Nikupe wazo usinunue Hiece ukampa bro kama zawadi bali hakikisha kupitia wao na wewe kuna faida unapata ambayo baadae huta regret kutoa msaada.Watoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.
Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.
Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Jamaa inabidi akaishi uhamishoniDaaaaah Mapambano aweke Camera za ulinzi Ofisini - Watafuta Fedha Mjini
View: https://youtu.be/Gv7vLQwG9fg?si=Iecv7hnvrn1GbpZb
AseeNdio kaka
Ana ela kama nini
Ila dah naskia uzuni sana
Walah nakwambia
Ila sitaki sana kumuongelea
Naona kama Mungu kanipa hilo jukumu baada ya lango kuzingua
Aisee nina uchungu
Hapa namtafutia brother yangu mmoja hiace ya kufanya kama daladala mkoani
Kwa uchungu sana
Nampigia bro kumsalimia na madogo m(wanae) anakwambia ninapanga holday twende nchi gani
Yaani roho inaniuma hivi aoni ndugu zake???
Wanawake wanazingua mnoo,unakuta kwenye familia kipato chote anapeleka kwa ndugu zakeMke wa kaka yako nae anajitahidi kuwasaidia ndugu zake wakae sawa. Huenda hata mume wako hana tume sana na ndugu zake kwa sababu nguvu zote mmehakishia kwa ndugu zako.
Kuna namna dada zetu wameumbwa, kusaidia ndugu ila kumbuka majukumu makubwa ya familia zao(walipoolewa) yanabebwa na waume zao. So wao hawana mzigo mkubwa wa kubeba.
Huwa sipendi wanaume wanaolalamika kwamba baba yetu/yangu hatujali haliyakua amekusomesha mpaka chuo kikuu au diploma.Hongera sana dada Ubarikiwe, mimi story yetu ipo tafauti baba yetu ana mwanamke mwingine hatujali kuanzia mimi mpaka wadogo zangu kwenda tu nyumbani alisikia nataka kwenda akanitukana na kunifukuza
GOD BLESS YOU
Kwa sabb ww una bakuli la kupakulia watuAcha nao.
Kila mpuuzi ale kwa urefu wa kamba yake
Upo sahihi kabisa wala hujakoseaNahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Kuliko kuleta maneno huku uonekana ww wa msaada. Nenda kawasaidie kimya kimya.Ukishajitangaza tu huo sio msaada wala sadaka hiyo ni kikiWatoto wakiume naona kama ni ngumu sana kusaidiana. Nahisi kama Mungu ananijalia kipato ili niwainue ndugu zangu.
Yaani ninahisi nina jukumu hilo mabegani kwangu, Ila kuna mkubwa wetu mmoja wa kiume aliyetoka simuoni akipush hata kwa kidogo wenzake.
Mimi ndo wakike pekee na ninataka ndugu kaka zangu wote wawe na uwezo huko mbeleni kupitia mimi
Nahisi hii ndo sadaka pekee ninayo hisi kuwajibika nayo au nakosea ndugu zangu?
Usiongee kitu hukijui, mzee wangu ndie amekua ananizui fursa nyingi zisiende akisikia sehemu nimeajiriwa anatia chokochoko mpaka mambo anaharibika na hili anafanya ili kuonyesha kwamba watoto wa nje ni bora zaidi kwakeHuwa sipendi wanaume wanaolalamika kwamba baba yetu/yangu hatujali haliyakua amekusomesha mpaka chuo kikuu au diploma.
Hivi ushawahi kukaa ukawaza Mzee wako alitoboa vipi maisha?, au nae alisaidiwa?.
Chukua hatua kuwajibikwa kwa ajili ya maisha yako, kama msaada utakuja hio mshukuru Mungu lakini usikae walaumu kama kusaidiwa nihaki yako.
Labda kama hujasoma unahaki ya kulaumu.
Siamini kama kuna mzee Mwenye akili hizo. Nahata ukiajiriwa nilazima ndugu/jamaa wajue umeajiriwa wapi?.Usiongee kitu hukijui, mzee wangu ndie amekua ananizui fursa nyingi zisiende akisikia sehemu nimeajiriwa anatia chokochoko mpaka mambo anaharibika na hili anafanya ili kuonyesha kwamba watoto wa nje ni bora zaidi kwake
Kama huamini endelea kuamini unachokiona Sawa, ndugu zangu wa tumbo moja lazima wajue kwakua kazi ninayoifanya ni nyeti sana lazima awepo ndugu kama mwakilishi alafu mzee alishaacha kuwasomesha na wadogo zangu sio mimi tu nietelekezwa, chezea mchepuko nini! Nyumbani kipindi kile tulikua na mali kiasi kwamba mkoa X tulikua top three ila kwa sasa imebaki historia baada ya familia kutawanyanaSiamini kama kuna mzee Mwenye akili hizo. Nahata ukiajiriwa nilazima ndugu/jamaa wajue umeajiriwa wapi?.