Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habari wakuu ushauri kwenu nahitaji.

Katika biashara zangu tatu wastani wajumla napata faida ghafi laki nne kwa siku wakat mwingne huzid hapo.

Ila mtaji wangu kwa mwaka nikama hauongezeki uko pale pale.

Ukizingatia matumizi yangu kiujumla kwa siku ni 40000-50000 sababu ya familia kubwa.
 
Mpaka nahis ntakua nafanyiwa mambo yakiswahili
Dawa ya mambo ya kiswahili a.k.a chuma ulete si simple tu mkuu uhitaji hata mganga.
1. Tia mkaa unapoweka hela.
2. Weka ndimu iliyochomwa na sindano.
3. Usipokee hela za jioni unapokaribia kufunga biashara au unapopokea zitenge na nyingine.
Fanya kimojawapo kati ya hayo.

Bila kusahau kuogea maji ya chumvi ya mawe.
 
Dawa ya mambo ya kiswahili a.k.a chuma ulete si simple tu mkuu uhitaji hata mganga.
1. Tia mkaa unapoweka hela.
2. Weka ndimu iliyochomwa na sindano.
3. Usipokee hela za jioni unapokaribia kufunga biashara au unapopokea zitenge na nyingine.
Fanya kimojawapo kati ya hayo.
Bila kusahau kuogea maji ya chumvi ya mawe.
Mkuu napopoteka nisitenge na nyingine nadroo hiyo hiyo nahudumia watu kibao Tena wenye hela ndogo ndogo ndio wengi Ntazigengaje
 
Dawa ya mambo ya kiswahili a.k.a chuma ulete si simple tu mkuu uhitaji hata mganga.
1. Tia mkaa unapoweka hela.
2. Weka ndimu iliyochomwa na sindano.
3. Usipokee hela za jioni unapokaribia kufunga biashara au unapopokea zitenge na nyingine.
Fanya kimojawapo kati ya hayo.
Bila kusahau kuogea maji ya chumvi ya mawe.
Mbali na chuma ulete naskia wame advance zaid siku hizi mtu anaingia dukani mpaka katika droo haonekani namtu yoyote Kisha anachukua pesa anayoitaka
 
Back
Top Bottom