TZCHINA
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 126
- 153
Mauzo yako kwa siku ni kiasi gani?.Faida ghafi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauzo yako kwa siku ni kiasi gani?.Faida ghafi
🤣🤣🤣 mkuu, hiyo laki 4 kwasiku ni mauzo au faida ?Mpaka nahis ntakua nafanyiwa mambo yakiswahili
Matumiz yepi hapo nimekuambia matumiz ni hayafiki 50000
Faida ghafi siyo mauzo, ni Kiasi cha mauzo kinachobaki baada ya kutoa gharama za manunuzi ya stock husika.View attachment 2817338
Mtoa mada imebidi nigoogle kwanza faida ghafi kumbe ni gross profit,
Sasa kama laki 4 ni faida ghafi maana yake ni mauzo, swali kwako faida ni shilingi ngapi (net profit)
Maana unaweza kua na matumizi hayo uliyoyasema lwa siku ni elfu 50, kumbe unakula mtaji(jokes)
Lazima ujue faida halisi ni ngapi, na matumizi ni ngapi ndo uone hapo
Yeah shukrani mkuu, mauzo - cost of goods.Faida ghafi siyo mauzo, ni Kiasi cha mauzo kinachobaki baada ya kutoa gharama za manunuzi ya stock husika.
Mkuu ila twende mbele turudi nyuma.Mbali na chuma ulete naskia wame advance zaid siku hizi mtu anaingia dukani mpaka katika droo haonekani namtu yoyote Kisha anachukua pesa anayoitaka
Faida inarudi kuzinguuka ktk biashara[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu, hiyo laki 4 kwasiku ni mauzo au faida ?
Na kama ni faida unaipeleka wapi?
Acha uongo wewe.Faida inarudi kuzinguuka ktk biashara
Sawa mkuuAcha uongo wewe.
Sahih kbsa. Umemjibu kiuhasibu Sana. Mnk anacho fanya faida. Kabla hajatoa ghrama za uendeshaji na kila cost alizo ingia kwa siku ,week ,mwez Sasa yey anauza juis kweli upate laki nne kwa sikuView attachment 2817338
Mtoa mada imebidi nigoogle kwanza faida ghafi kumbe ni gross profit,
Sasa kama laki 4 ni faida ghafi maana yake ni mauzo - gharama za bidhaa, swali kwako faida ni shilingi ngapi (net profit)
Maana unaweza kua na matumizi hayo uliyoyasema kwa siku ni elfu 50, kumbe unakula mtaji(jokes)
Lazima ujue faida halisi ni ngapi, na matumizi ni ngapi ndo uone hapo
Mkuu rudia vizuri somo la cost management, ukitaka madesa mimi bado ninayo nitakupatiaMkuu nazifuatilia vizur sana na me mwenyewe nauleweza mzur financial statemne and p&L
Siku kumi tayar laki Tano iyo na mwezi mil1 na nusuMkuu matumiz yangu per day hayavuki 50000
Umesahau kwa siku anapata faida ya 400k kwa mwezi ni 12M kwa mwaka ni 144M, toa hio 18M ya matumizi anabaki na 126M 🤔Siku kumi tayar laki Tano iyo na mwezi mil1 na nusu
Mara mwaka million 18, hayo ni matumizi ya ndani
Hujapeleka mtoto shule,hujaumwa, hujajaza mafuta kama unausafiri, hujahonga
, hapo lazima mtaji usiongezeke matumizi makubwa mno mnooo
Hiyo faida unayopata unaipata kwenye mahesabu tu au unaitenga physically? Kuna uwezekano mkubwa kuwa unafanya mahesabu na kuona ''faida'' ambayo siyo faida.Mkuu nazifuatilia vizur sana na me mwenyewe nauleweza mzur financial statemne and p&L
Huyu anataka kuambiwa kuwa ni ''chuma ule'' kitu ambacho hakuna. Sana sana naona kuna ufanyaji mahesabu mbovu ambao unaonyesha faida kumbe kiuhasilia siyo faida. Kama ulivyomshauri inatakiwa hiyo faida kama anadhani ipo basi aitenge kila siku jioni baada ya mahesabu na apeleke benki kila wiki au mara kwa mara.mkuu kama unapata faida hiyo fungua account. pesa yote ya faida ukitoa ile ya matumizi ya kibinadam iweke benk kwenye akAunti maalum ambayo hutoweza kutoa.
baada ya mwaka uje kutoa ushuhuda. mimi siamini kwenye uchawi. mchawi wa kwanza ni wewe mwenyewe. ambae unashindwa kujibana na kusave mapato yako.
Mambo ya ujima haya, unampoteza zaidi.Dawa ya mambo ya kiswahili a.k.a chuma ulete si simple tu mkuu uhitaji hata mganga.
1. Tia mkaa unapoweka hela.
2. Weka ndimu iliyochomwa na sindano.
3. Usipokee hela za jioni unapokaribia kufunga biashara au unapopokea zitenge na nyingine.
Fanya kimojawapo kati ya hayo.
Bila kusahau kuogea maji ya chumvi ya mawe.