Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

Labda unakula mtaji we unadhani ni faida,Kwa mauzo Yako Kwa siku ni sh ngapi?ukitaja tu ntakwambia ukweli kama unakula mtaji au faida,mi nafanya biashara kama zako,mfano mi Niko Kanda ya ziwa Kwa mtu anaeuza vinywaji profit inarange 300-500,kupata faida ya 400000 anatakiwa auze si katoni 1300 per day,
 
Sahih kbsa. Umemjibu kiuhasibu Sana. Mnk anacho fanya faida. Kabla hajatoa ghrama za uendeshaji na kila cost alizo ingia kwa siku ,week ,mwez Sasa yey anauza juis kweli upate laki nne kwa siku

Mm nauza mabati na nondo na faida yangu hata haifiki laki mbili kwa siku ila mauzo Ni makubwaa
Hivi inawezekana ukauza 2M kwa siku na faida ikawa chini ya 200K?
 
Hivi inawezekana ukauza 2M kwa siku na faida ikawa chini ya 200K?
Hata kupata chini ya laki Moja inawezekana tu,mf.mi nauza sukari kg50 faida 3000,kg 50 unainunua139000 unauza 142000,kuuza mil 2 ni almost mifuko 14,ko 14*3000=42000
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Hata kupata chini ya laki Moja inawezekana tu,mf.mi nauza sukari kg50 faida 3000,kg 50 unainunua139000 unauza 142000,kuuza mil 2 ni almost mifuko 14,ko 14*3000=42000
Safi, kikubwa mali na daftari na uzuri sikuizi kuna technology kuna zile apps au website za kumonitor mauzo hapa unaona stock ikiyobaki iliyouzwa faida hasara na vinginevyo
 
Habari wakuu ushauri kwenu nahitaji.

Katika biashara zangu tatu wastani wajumla napata faida ghafi laki nne kwa siku wakat mwingne huzid hapo.

Ila mtaji wangu kwa mwaka nikama hauongezeki uko pale pale.

Ukizingatia matumizi yangu kiujumla kwa siku ni 40000-50000 sababu ya familia kubwa.
Shida ipo kwenye matumizi
pia hiyo faida siyo realistic
 
View attachment 2817338

Mtoa mada imebidi nigoogle kwanza faida ghafi kumbe ni gross profit,

Sasa kama laki 4 ni faida ghafi maana yake ni mauzo - gharama za bidhaa, swali kwako faida ni shilingi ngapi (net profit)


Maana unaweza kua na matumizi hayo uliyoyasema kwa siku ni elfu 50, kumbe unakula mtaji(jokes)

Lazima ujue faida halisi ni ngapi, na matumizi ni ngapi ndo uone hapo
Okay , duka la mangi unajuaje Net Profit per day? Kwa sababu rent utalipa kwa mwezi yaani fixed, umeme etc. Cha kumshauri aanze kufunga hesabu kwa mwei tu
 
Habari wakuu ushauri kwenu nahitaji.

Katika biashara zangu tatu wastani wajumla napata faida ghafi laki nne kwa siku wakat mwingne huzid hapo.

Ila mtaji wangu kwa mwaka nikama hauongezeki uko pale pale.

Ukizingatia matumizi yangu kiujumla kwa siku ni 40000-50000 sababu ya familia kubwa.

Boss iyo ni faida kubwa sana kwenye biashara kama utaweza fungua account ya fixed au UTT uwe unaweka nusu ya faida yako angalau mwisho wa mwaka ukiisha utafunga hesabu mtaji uko pale pale ila kwenye account ya faida kuna mzigo upo
Anagalizo kuna baadhi ya biashara na mikoa baadhi ukifanya biashara mtaji ukiwa mkubwa unastuck haukui kalingana na pesa yako mfana una mtaji wa ml 20 lkn biashara zako zote unaweza kuendesha kwa ml 10 na zikaenda vizur tu huo mtaji kukua ni ngumu sana
 
Kuna rafiki yangu tuna biashara zinazofanana tena yeye anauza sana shida inakuja kwenye kupata netprofit ndo mtihani hela haionekani. nikaja kugundua sio mzuri wa mahesabu...biashara ni pamoja na mahesabu usipopiga hesabu jua ni maumivu tu
 
kwa haraka haraka utakuwa na matumizi mengine ambayo huyaandiki au unapigwa na wafanyakazi wako

je una record vizuri mahesabu yako? even a single coin?
hiyo faida ghafi umetoa all office exoenses ?

ni kawaida biashara nyingi kutembea lakin haipigi hatua but make sure sio biashara yako
jibu hapo swali then nikupe mbwinu
 
Back
Top Bottom