Napata harufu ya matumizi ya Nyuklia Ukraine baada ya Kursk kuanguka

Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.

Kuna mwaka Putin atakuja kuondolewa na Warusi wenyewe sababu ya majnga yatakayo ikumba Rusia hasa uchumi
 
I think it's a game plan,

Vita inaelekea kwisha, wameona wawwachie kidogo ili wapate nafasi ya kukaa mezani.

If you remember, Russia alikuwa ameingia mpaka Kyiv mwanzoni mwa vita wakamwambia ili waanze mazungumzo atoke Kwanza then wakamgeuka.

Nadhan itakuwa vice versa ili wapate nguvu na justification kwa wananchi ya kukaa mezani
 
Bakia kwenye siasa za bongo mzee, upande huu hauelewi chochote.
 
Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.

Kuna mwaka Putin atakuja kuondolewa na Warusi wenyewe sababu ya majnga yatakayo ikumba Rusia hasa uchumi
 

Attachments

  • 20240814_192546.jpg
    284.9 KB · Views: 8
  • 20240814_192528.jpg
    254.8 KB · Views: 7
Ukraine hana army ya kupiga russia kwa mda mrefu na kulinda maeneo anayo chukua na ku defend ndani kwenye maeneo yenye vita kwa wakati mmoja
Watu hawaelewi, sijui wanafuatilia habari kutokea wapi make hata mainstream media wanasema Ukraine amefanya gamble ya kijinga sana, why utumie resources zako chache za muhimu kuvamia eneo ambao kwa namna yoyote hautaweza kulikalia hata kwa mwezi mmoja halafu unaacha kulinda maeneo yako mengi ambayo yanaelekea kuanguka?
 
Putin alifanya kosa kubwa sana kuivamia Ukraine angebaki na mikwara yake ya kwenye TV kumbe uwezo ule tuliokua tunadanganywa hana leo hii anategemea siraha kutoka NK na Iran kweli?
Huyo ashakaguliwa ndio maana USA wamemruhusu apigwe hadi Moscow na Zelensky anasema apigwe hadi kwake ili asitishe vita kwa makubaliano..sasa hivi tunapewa mikwara ya Nyuklia tena..
 
Russia kuingia Kyiv ilikuwa ni ujinga wa karne wa kijeshi uliotokana na intelligence mbovu kwamba Wa-ukraine watawapokea kama wakombozi dhidi ya Zelenskyy na kwamba Zelenskyy atajisalimisha au kukimbia nchi, msafara wao wa vifaru ulivyoanza kumong'onyolewa na javelins ndipo wakaanza kukimbia kimbia kurudi kwao kwa miguu kama panya wakitekeleza vifaru.
 
Namna ya kumuadabisha Russia ambayo Napoleon na Hitler walishindwa, sio?!
 

Hujui siasa wala siasa ya vita
 
Kwa maneno rahisi Ukraine kaingia kwenye mtego wa kisheria maana kaingia ndani ya Urusi.
 
Putin haez fanya hivyo maana anajuwa sababu ya kuvamiwa hivyo ni kumchochea atumie silaha nzito ili Ukraine atumie midude yake pia ndani ya Urusi halaf wanancho waanze kuhoji umuhimu wa Putin kuendeleza vita inayowagharimu raia wake
Ukraine hana silaha ya kuisumbua Russia. Fikiria kama Ukraine ingekuwa na silaha inayoogopeka kama Iskander M.
 
Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.

Kuna mwaka Putin atakuja kuondolewa na Warusi wenyewe sababu ya majnga yatakayo ikumba Rusia hasa uchumi
Mmeendelea kua wapiga ramli sasa au sio😀

Kwanini nato wasiende kumtoa mnabakia kua wapiga ramli poleni sana😀😀
 
Wakati wa Hitler Urusi ilipewa msaada na Marekani kupitia Lend-Lease act.
Nawakati huu wampe msaada ukraine ili russia atoke Ukraine au hawataki atoke

Pia wampe msaada german ili Russia aondoke ujerumani inayokaliwa na Russia
 
Hizi akili kwanini tunashindwa kuzitumia vyema? Kama Ukraine hawezi shikilia hilo eneo kwa mwaka mzima, ulitegemea Russia angekaa zaidi ya miaka miwili bila kuidondosha serikali ya sasa ya Ukraine?

Hii vita imetupa matokeo mengi tofauti na matarajio yetu. Sidhani kama Ukraine hajakaa chini na washirika wake kabla ya kuchukua uamuzi wa kuingia Russia.
 

wakati wa vita ni wakati wa kutafuta victory na kutafuta amani tumi kila nafas unayoipata dhidi ya adui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…