Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.After few weeks Russia alipovamia Ukraine. NATO wakatenga bajeti ya miaka 5 kuisupport Ukraine. Sehemu kubwa ya watu tukasema wazungu wanazingua, Ukraine hawezi maliza miezi miwili akipambana na Russia.
Sasa hivi vita inatembea mwezi wa pili na nusu unatafutwa mwezi wa 3. Mzungu huwa anatumia akili nyingi sana kupiga hesabu zake.
Bakia kwenye siasa za bongo mzee, upande huu hauelewi chochote.Putin anapukuchuliwa taratibu mpaka ataisha.
West wanampukuchua Putin kwa akili sana.
Angalia walianza kumpa Ukrain silaha ndogo ndogo ila kadiri siku zinavyozidi kwenda wanaongeza uzito wa silaha, ni kama vile mtoto unaanza kumpa Uji baadae ugali.
Mwanzo Marekani ilikuwa inawambia Ukrain marufuku kushambulia ndani ya Rusia, ila sasa hivi Ukrain ruksa kushambulia Rusia.
Mwishowe tutaanza kuona makombora yakitua Moscow hapo ndio Putin atashtuka kwamba kumbe kapukuchuliwa kweli.
Nmeshangaa sana Putin kaishiwa makombora hadi anaomba kutoka Iran.
Vita ni gharama, lakin wafuasi wa Putin ukiwambia hili kwamba Urusi baadae itakuwa hohehae wana bisha ila muda utaongea
Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.
Kuna mwaka Putin atakuja kuondolewa na Warusi wenyewe sababu ya majnga yatakayo ikumba Rusia hasa uchumi
Watu hawaelewi, sijui wanafuatilia habari kutokea wapi make hata mainstream media wanasema Ukraine amefanya gamble ya kijinga sana, why utumie resources zako chache za muhimu kuvamia eneo ambao kwa namna yoyote hautaweza kulikalia hata kwa mwezi mmoja halafu unaacha kulinda maeneo yako mengi ambayo yanaelekea kuanguka?Ukraine hana army ya kupiga russia kwa mda mrefu na kulinda maeneo anayo chukua na ku defend ndani kwenye maeneo yenye vita kwa wakati mmoja
Ni 200,000 mkuuUkraine yakijivinjari ndani ya mipaka ya Urusi na kupelekea wakimbizi wa ndani wa Urusi zaidi ya 20,000
Russia kuingia Kyiv ilikuwa ni ujinga wa karne wa kijeshi uliotokana na intelligence mbovu kwamba Wa-ukraine watawapokea kama wakombozi dhidi ya Zelenskyy na kwamba Zelenskyy atajisalimisha au kukimbia nchi, msafara wao wa vifaru ulivyoanza kumong'onyolewa na javelins ndipo wakaanza kukimbia kimbia kurudi kwao kwa miguu kama panya wakitekeleza vifaru.I think it's a game plan,
Vita inaelekea kwisha, wameona wawwachie kidogo ili wapate nafasi ya kukaa mezani.
If you remember, Russia alikuwa ameingia mpaka Kyiv mwanzoni mwa vita wakamwambia ili waanze mazungumzo atoke Kwanza then wakamgeuka.
Nadhan itakuwa vice versa ili wapate nguvu na justification kwa wananchi ya kukaa mezani
Namna ya kumuadabisha Russia ambayo Napoleon na Hitler walishindwa, sio?!Ikiwa Ukraine itaamua kusonga mbele, basi watasonga mbele hapo Kursk. Na hii ndio mbinu nzuri zaidi kwao ili kupunguza makali ya mashambulizi anayofanyiwa kwake.
Plan ya kuteka ardhi ya Russia ikifeli, yamkini watakuja na plan ya kupiga mabomu makali hapo Russia.
Kuna namna Ukraine anatafuta kumuadabisha Russia.
Russia kuingia Kyiv ilikuwa ni ujinga wa karne wa kijeshi uliotokana na intelligence mbovu kwamba Wa-ukraine watawapokea kama wakombozi dhidi ya Zelenskyy na kwamba Zelenskyy atajisalimisha au kukimbia nchi, msafara wao wa vifaru ulivyoanza kumong'onyolewa na javelins ndipo wakaanza kukimbia kimbia kurudi kwao kwa miguu kama panya wakitekeleza vifaru.
Kwa maneno rahisi Ukraine kaingia kwenye mtego wa kisheria maana kaingia ndani ya Urusi.Ukraine ana halalisha uvamizi wa Urusi katika mipaka yake.
Ukraine alipaswa kumfukuza Urusi katika mipaka yake na sio kuvamia mipaka ya Urusi kama Urusi alivyofanya kwake.
Sina hakika sana juu ya silaha hizo za maangamizi ila ninachoona ni Urusi kupata support zaidi ya kuingamiza Ukraine kupitia uvamizi huu.
Support ya ndani na ya nje kwa washirika wake na hata wasio washirika wake.
Urusi atasema najilinda dhidi ya uvamizi wa Ukraine atautumia udhaifu huu kuleta maafa sijajua ni kipi makamanda na majeshi ya Ukraine wanacho fikiri.
Dunia bila mzungu ingakuwa mbali sana na salama sana.
Photoduka hii picha
Ukraine hana silaha ya kuisumbua Russia. Fikiria kama Ukraine ingekuwa na silaha inayoogopeka kama Iskander M.Putin haez fanya hivyo maana anajuwa sababu ya kuvamiwa hivyo ni kumchochea atumie silaha nzito ili Ukraine atumie midude yake pia ndani ya Urusi halaf wanancho waanze kuhoji umuhimu wa Putin kuendeleza vita inayowagharimu raia wake
Mmeendelea kua wapiga ramli sasa au sio😀Putin amepigiwa hesabu ya miaka 10 ijayo.
Kuna mwaka Putin atakuja kuondolewa na Warusi wenyewe sababu ya majnga yatakayo ikumba Rusia hasa uchumi
Nawakati huu wampe msaada ukraine ili russia atoke Ukraine au hawataki atokeWakati wa Hitler Urusi ilipewa msaada na Marekani kupitia Lend-Lease act.
Hizi akili kwanini tunashindwa kuzitumia vyema? Kama Ukraine hawezi shikilia hilo eneo kwa mwaka mzima, ulitegemea Russia angekaa zaidi ya miaka miwili bila kuidondosha serikali ya sasa ya Ukraine?Watu hawaelewi, sijui wanafuatilia habari kutokea wapi make hata mainstream media wanasema Ukraine amefanya gamble ya kijinga sana, why utumie resources zako chache za muhimu kuvamia eneo ambao kwa namna yoyote hautaweza kulikalia hata kwa mwezi mmoja halafu unaacha kulinda maeneo yako mengi ambayo yanaelekea kuanguka?
Ukraine ana halalisha uvamizi wa Urusi katika mipaka yake.
Ukraine alipaswa kumfukuza Urusi katika mipaka yake na sio kuvamia mipaka ya Urusi kama Urusi alivyofanya kwake.
Sina hakika sana juu ya silaha hizo za maangamizi ila ninachoona ni Urusi kupata support zaidi ya kuingamiza Ukraine kupitia uvamizi huu.
Support ya ndani na ya nje kwa washirika wake na hata wasio washirika wake.
Urusi atasema najilinda dhidi ya uvamizi wa Ukraine atautumia udhaifu huu kuleta maafa sijajua ni kipi makamanda na majeshi ya Ukraine wanacho fikiri.