Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Napata hisia za kumnyandua shemeji yangu

Mazoea ndio chanzo cha yote, mimi nilipanga shambaulizi kwa shemeji pisi ya mshkaji lakini nimeona ni upuuzi nimeghairi na Mungu anisamehe kwa kuwaka tamaa kwa shem.
 
Hawa mashem shem wauawe
Mashemeji wote wapigwe mawe
Mashemeji wote wachomwe moto
Mana wanafiki sana😂😂😂😂

Uasikia shemeji ooh
Shemeji aah
Ebwana ndugu yetu si anakupenda 😂😂😂

Nimekumbuka tu hii nyimbo 😂😂
Sisi ndio mashemeji 😂😂
Tunajua hakupendi ila tunakuaminisha unapendwa mpaka akuue kwa ugonjwa wa moyo.


Semaji kuu la mashemeji hapa ✌️
 
Sisi ndio mashemeji 😂😂
Tunajua hakupendi ila tunakuaminisha unapendwa mpaka akuue kwa ugonjwa wa moyo.


Semaji kuu la mashemeji hapa ✌️
😂😂😂Na tutawapiga mawe mnajua nani anatolewa valentine ila mnakausha tu😂😂Utasikia shem simuyake Ilikuwa Haina chaji
 
😂😂😂Na tutawapiga mawe mnajua nani anatolewa valentine ila mnakausha tu😂😂Utasikia shem simuyake Ilikuwa Haina chaji
Tunamalizia kabisa alikua kwangu lakin luku ilikuwa imeisha 😆
 
Mimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe 😂
Nashukuru MUNGU hata mm pamoja na umalaya wangu kwanza hua sisevu namba za mashemeji hata iweje
 
Nimejikuta naplay hiyo video ili nisikie maongezi ufala huu jamani.
 
Shida ni hio picha ya DP anza kuitoa maana naona ushaanza kuchukua tabia za huyo mwamba.
 
Back
Top Bottom