Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sisi ndio mashemeji ππHawa mashem shem wauawe
Mashemeji wote wapigwe mawe
Mashemeji wote wachomwe moto
Mana wanafiki sanaππππ
Uasikia shemeji ooh
Shemeji aah
Ebwana ndugu yetu si anakupenda πππ
Nimekumbuka tu hii nyimbo ππ
πππNa tutawapiga mawe mnajua nani anatolewa valentine ila mnakausha tuππUtasikia shem simuyake Ilikuwa Haina chajiSisi ndio mashemeji ππ
Tunajua hakupendi ila tunakuaminisha unapendwa mpaka akuue kwa ugonjwa wa moyo.
Semaji kuu la mashemeji hapa βοΈ
Tunamalizia kabisa alikua kwangu lakin luku ilikuwa imeisha ππππNa tutawapiga mawe mnajua nani anatolewa valentine ila mnakausha tuππUtasikia shem simuyake Ilikuwa Haina chaji
πππTunamalizia kabisa alikua kwangu lakin luku ilikuwa imeisha π
Nashukuru MUNGU hata mm pamoja na umalaya wangu kwanza hua sisevu namba za mashemeji hata iwejeMimi na kupenda kwangu totoz daah sijawahi kutamani shemeji yangu hata awe ameumbika namna gani.
Bwana santos06 kwenye hili mimi sipo meli moja na wewe π
Na nyie si mna tuvikundi vyenuπππ
ππSie mawifi hatuna mbamba mba ni ukituchefua tunakuchamba tu hatutiani moyo kama nyieπNa nyie si mna tuvikundi vyenu
ππ mke wangu mtarajiwa ajiandae maana kama ni mawifi amewapataππSie mawifi hatuna mbamba mba ni ukituchefua tunakuchamba tu hatutiani moyo kama nyieπ
Mawifi wakikupenda nao utaenjoy na utaisoma pia maana hata kakayao akiharibu watakwambia Sasa ukiwa huna uvumilivu πππππ mke wangu mtarajiwa ajiandae maana kama ni mawifi amewapata
Studio tuletee mawifi wa bibi harusiMawifi wakikupenda nao utaenjoy na utaisoma pia maana hata kakayao akiharibu watakwambia Sasa ukiwa huna uvumilivu πππ