UNAROGWA.Mimi nimepata mashaka na nikaona ni vyema kuleta hili jambo hapa ili nione mawazo na mitazamo ya wengine kuhusu hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNAROGWA.Mimi nimepata mashaka na nikaona ni vyema kuleta hili jambo hapa ili nione mawazo na mitazamo ya wengine kuhusu hili
Mkuu ni kweli nipo hatarini lakini siwezi ruhusu hofu initawale, naamini ipo namna naweza kuzuia hiliMkuu unaonekana we ni mtu mwema, huyo mchumba baada ya kugundua hajakubalika kwa bi mkubwa kuna watu aliwashirikisha wakamwambia akukamate, yaani usipindue kwake hata uambiwe nn na nani.
kwa hyo alishapelekwa/alishaenda kwa mtaalamu na hvo vyote anavofanya ni maelekezo ya mtaalamu, kwa hyo mkuu hapa cha kuomba tu ni huyo mtaalamu awe famba ila akiwa wa ukwel, mkuu umekwisha.
Mkuu yapo mengi sana yanatokea nashindwa kuelewaTayar kazi imeshaanza ndio maan haougopi
lengo lake ni kukuloga acha ujingaHabarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.
Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.
Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.
Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.
Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.
Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Niache ujinga kivipilengo lake ni kukuloga acha ujinga
Nita deal naye ipasavyo
mkuu uoga ndo akili, ukiona ktu ni cha kuogofya halafu ww unaona kawaida, jua kuna shida tayariMkuu ni kweli nipo hatarini lakini siwezi ruhusu hofu initawale, naamini ipo namna naweza kuzuia hili
Mkuu kiukweli sikuhizi nimebadilika sana, ni tofauti sana na mwanzo ila kuna mambo mengi siyaelewi kabisamkuu uoga ndo akili, ukiona ktu ni cha kuogofya halafu ww unaona kawaida, jua kuna shida tayari
Sahihi kabisa mkuu, ni hatari sana kukaa na mtu wa aina hiyoUkishagundua mke, mchumba au rafiki wa mahusiano ana mambo ya kishirikina achana nae, anaweza kukuharibu na kuharibu kizazi chako.
Wewe mdau ni mzuri sana kwa story za kuchangamsha genge.Mkuu nataka nimuulize T shirt zangu zipo wapi na kama hazipo anieleze amezipeleka wapi, alafu nilimpa T shirt safi akakataa akasema anataka ambayo bado sijaifua
Sawa mkuu, lazima nichukue tahadhari mapemaUsiogope Ila chukua tahadhari tu
Uhalisia gani ambao unautaka Mkuu, mbona kila kitu nimeeleza na hii sio mada au uzi wa kwanza kueleza hali ya mahusiano yanguWewe mdau ni mzuri sana kwa story za kuchangamsha genge.
Mada zako ni za kufikirika, hazina uhalisia wowote.