Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Kama ni nyau piga chini una demu ambae anaendeshwa na ushirikina in short ni tahira
Kinacho niumiza zaidi huyu ni mzazi mwenzangu, napata hofu pia kuhusu mwanangu kuwa na mama wa aina hii
 
Kinacho niumiza zaidi huyu ni mzazi mwenzangu, napata hofu pia kuhusu mwanangu kuwa na mama wa aina hii
Mchane ongea nae mwambie aache huo utoto wa kudanganyika kuwa wewe unarogeka then mwambie we unataka heshima sio mambo ya kurogana
 
Sema sio unyama kujitungia viuzi na kuvileta humu blud.
 
Mchane ongea nae mwambie aache huo utoto wa kudanganyika kuwa wewe unarogeka then mwambie we unataka heshima sio mambo ya kurogana
Pia nimegundua amejua kwamba mzazi wangu hana imani naye, ila nikithibitisha kwamba ana lengo baya nitamuuliza na kumpa msimamo wangu
 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Pole kwa huo ufala ungekuwa kwenye chama chetu Cha kataa kuoa na ndoa ungekuwa umefinguka akili ujiandae zezeta mtarajiwa
 
Back
Top Bottom