kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #81
Kama lengo ni kunitoa Nguvu za kiume inamaana anataka kuwa na mume asiye na Nguvu?Jiandae kukosa nguvu za kiume😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lengo ni kunitoa Nguvu za kiume inamaana anataka kuwa na mume asiye na Nguvu?Jiandae kukosa nguvu za kiume😅😅
Mimi sio zezeta Mkuu, tafadhali tuheshimiane japo hatujuaniAnakufanyia ishara waziwazi, amekuona zezeta kiredio2 sio 4 tena.
Wapi nimekopy?View attachment 3068865
Ume copy mahali
Ndiyo,halafu mbususu anapelekewa yule anayemtuma kukufanyia manuva.Kama lengo ni kunitoa Nguvu za kiume inamaana anataka kuwa na mume asiye na Nguvu?
Hakuna anaye mtumaNdiyo,halafu mbususu anapelekewa yule anayemtuma kukufanyia manuva.
Kumbe mashaka yako nini?Hakuna anaye mtuma
Kama yupo anaye mtuma basi ni mganga ila sio mwanaume mwingineKumbe mashaka yako nini?
Kama unaamini hivyo haya.Kama yupo anaye mtuma basi ni mganga ila sio mwanaume mwingine
Nukuu vizuri Mkuu, sijasema wewe zezeta. Nimesema yeye ndio amekuona zezeta yaani anaamini huwezi kushituka kabisa Mkuu.Mimi sio zezeta Mkuu, tafadhali tuheshimiane japo hatujuani
Sawa mkuu, lakini kwa sasa nimegundua lengo lakeNukuu vizuri Mkuu, sijasema wewe zezeta. Nimesema yeye ndio amekuona zezeta yaani anaamini huwezi kushituka kabisa Mkuu.
Kama ni wewe umefanyiwa hayo utaachwa kuwa na waswas?Una imani potofu
Kwa baadhi ya ushauri au maoni niliyo yapata humu, nimegundua lengo lake ni lipiUna imani potofu
Kama ni nyau piga chini una demu ambae anaendeshwa na ushirikina in short ni tahiraHuyu bado sio mke wangu
Kinacho niumiza zaidi huyu ni mzazi mwenzangu, napata hofu pia kuhusu mwanangu kuwa na mama wa aina hiiKama ni nyau piga chini una demu ambae anaendeshwa na ushirikina in short ni tahira
Mchane ongea nae mwambie aache huo utoto wa kudanganyika kuwa wewe unarogeka then mwambie we unataka heshima sio mambo ya kuroganaKinacho niumiza zaidi huyu ni mzazi mwenzangu, napata hofu pia kuhusu mwanangu kuwa na mama wa aina hii
Pia sio unyama kudhani au kuleta masihara kwenye mambo ambayo yana uhalisia na ukweliSema sio unyama kujitungia viuzi na kuvileta humu blud.
Pia nimegundua amejua kwamba mzazi wangu hana imani naye, ila nikithibitisha kwamba ana lengo baya nitamuuliza na kumpa msimamo wanguMchane ongea nae mwambie aache huo utoto wa kudanganyika kuwa wewe unarogeka then mwambie we unataka heshima sio mambo ya kurogana
Pole kwa huo ufala ungekuwa kwenye chama chetu Cha kataa kuoa na ndoa ungekuwa umefinguka akili ujiandae zezeta mtarajiwaHabarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.
Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.
Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.
Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.
Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.
Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara