Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Kama umeyaona haya na umeshindwa kuchukua hatua basi hadi sasa dawa imeanza kufanya kazi. Kikubwa muombe asikuloge zaidi ya hapo
 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Ushalogwa
 
Umeongea kipumbavu,
unafikiri kipumbavu.
Wewe sio "Alfa male".
hujui unachosimamia

 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Mwenye macho haambiwi tazama
 
Ha ha haaa, mm kuna siku nilipata mchepuko bhana, demu chap kaja geto bas mwana nikavaa ndomu nikapga kimoko cha hamu, ila nimemaliza natoa ndomu naona demu anatoa kitambaa chake kweny mkoba wake, nikamuuliza kitambaa cha nn hicho? Demu akasema kwa ajili yako mpenzi nataka nikufute, nikamwambia " komaa kabisaa" yaan uje kwang halaf ww ndo unifute umeona mm sina vitambaa?? Sema mm nikupe kitambaa chang ujifute akabaki tuu kimyaaa. Tang siku hyoo ndo ikawa mwisho wetuuu
 
Kama umeyaona haya na umeshindwa kuchukua hatua basi hadi sasa dawa imeanza kufanya kazi. Kikubwa muombe asikuloge zaidi ya hapo
Sijashindwa kuchukua hatua ila nafanya uchunguzi zaidi ili nikifanya maamuzi nijue naanzia wapi
 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Soon atakufanya zezeta
 
Mtu mwenye tabia zinazotia mashaka sio wa kukaa naye.We endelea kukaza fuvu,yawezekana mama yako roho imemkataa,mimi pia nikimkataa mtu at first sight ujue kuna shida
 
Back
Top Bottom