Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Mkuu ni kweli nipo hatarini lakini siwezi ruhusu hofu initawale, naamini ipo namna naweza kuzuia hili
 
lengo lake ni kukuloga acha ujinga
 
Ukishagundua mke, mchumba au rafiki wa mahusiano ana mambo ya kishirikina achana nae, anaweza kukuharibu na kuharibu kizazi chako.
 
mkuu uoga ndo akili, ukiona ktu ni cha kuogofya halafu ww unaona kawaida, jua kuna shida tayari
Mkuu kiukweli sikuhizi nimebadilika sana, ni tofauti sana na mwanzo ila kuna mambo mengi siyaelewi kabisa
 
Ukishagundua mke, mchumba au rafiki wa mahusiano ana mambo ya kishirikina achana nae, anaweza kukuharibu na kuharibu kizazi chako.
Sahihi kabisa mkuu, ni hatari sana kukaa na mtu wa aina hiyo
 
Mkuu nataka nimuulize T shirt zangu zipo wapi na kama hazipo anieleze amezipeleka wapi, alafu nilimpa T shirt safi akakataa akasema anataka ambayo bado sijaifua
Wewe mdau ni mzuri sana kwa story za kuchangamsha genge.
Mada zako ni za kufikirika, hazina uhalisia wowote.
 
Hivi wanawake wamejifunzia wapi kuwapangusa wenzi wao baada ya tendo? Sehemu zote wanawake wanatoa hiyo hudma tamu ispokua wale wa KLM tu. Waganda wameenda mbele zaidi wanafanya hiyo kitu na taulo lililo chovya kwenye maji ya Moto. Yaani waganda we acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…