Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komaa kwenye imani yakoDuh, lakini nazidi kuunganisha matukio na napata majibu, sasa nini nifanye ile kujilinda kama tayari ameshafanya hivyo?
Confirmed kaka , unafanyiwa jambo. Fuatilia na muwahi kabla mambo hayaja haribikaMkuu nataka nimuulize T shirt zangu zipo wapi na kama hazipo anieleze amezipeleka wapi, alafu nilimpa T shirt safi akakataa akasema anataka ambayo bado sijaifua
Huyu bado sio mke wanguKatika watu ni hatari kwa wake zetu kwenye swala la fedha na miili yao ni Waganga na viongozi wao wa dini.
Mganga na Kiongozi wa dini ni rahisi sana kumtafuna mkeo na pesa akampatia.
Huyo mkeo kapata mganga wa uongo anadanganywa na ataliwa soon
Nitamuwahi kabla hajafikia hukoNgoja akadeal na wewe traditional
Nimeshtuka kaka, itabidi niwahi mambo yasije yakawa mabaya zaidiConfirmed kaka , unafanyiwa jambo. Fuatilia na muwahi kabla mambo hayaja haribika
Hatari sanaHabarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.
Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.
Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.
Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.
Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.
Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Ayaaaa ushapigwa pini aisee jaribu kuchepuka uone. Nguo zako atazivaaje na kazi peleka mlingotini kwa mtaalam 😛Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.
Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.
Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.
Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.
Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.
Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Siwezi kuchepuka kwa sababu hiyo, ila nikiona mambo yamekuwa mabaya zaidi nitamuulizaAyaaaa ushapigwa pini aisee jaribu kuchepuka uone. Nguo zako atazivaaje na kazi peleka mlingotini kwa mtaalam 😛
Nipo makini Mkuu, siwezi kubali atumie hicho kitambaa tenaKuwa makini naye.
Huyu ni mzazi mwenzanguSi umeona uchi mtamu ni huo tu, ngoja sasa nzi ufie kwenye kidonda.
Hiyo si hoja, achana na huyo mchawi.Huyu ni mzazi mwenzangu
Tayar kazi imeshaanza ndio maan haougopiLakni mimi siogopi, ila nitazidi kuchunguza na kujua lengo lake ni nini
Mkuu unaonekana we ni mtu mwema, huyo mchumba baada ya kugundua hajakubalika kwa bi mkubwa kuna watu aliwashirikisha wakamwambia akukamate, yaani usipindue kwake hata uambiwe nn na nani.Mkuu ukisema nimechelewa unamaanisha tayari nimeshapata madhara?