Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Napata mashaka na vitendo vya mwenza wangu, sijui ana nia au lengo gani

Katika watu ni hatari kwa wake zetu kwenye swala la fedha na miili yao ni Waganga na viongozi wao wa dini.
Mganga na Kiongozi wa dini ni rahisi sana kumtafuna mkeo na pesa akampatia.
Huyo mkeo kapata mganga wa uongo anadanganywa na ataliwa soon
 
Katika watu ni hatari kwa wake zetu kwenye swala la fedha na miili yao ni Waganga na viongozi wao wa dini.
Mganga na Kiongozi wa dini ni rahisi sana kumtafuna mkeo na pesa akampatia.
Huyo mkeo kapata mganga wa uongo anadanganywa na ataliwa soon
Huyu bado sio mke wangu
 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Hatari sana
 
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu.

Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana lengo la kuzivaa tu, lakini sijawahi kumuona akivaa hata moja na sijui zipo wapi.

Pili sikuhizi baada ya kumaliza tendo, ameanza tabia ya kuwa anatoa kitambaa ndani ya pochi yake na kunifuta kisha anakirusisha ndani ya pochi.

Nilimuuliza kwanini usifue hicho kitambaa ila unakiweka kwenye pochi na kukaa nacho, anasema atakifua siku nyingine, lakini kila mara anakuwa nacho na naona bado hakijafuliwa.

Sina nia au mawazo mabaya juu yake lakini vitendo hivi vinanipa mashaka makubwa. Sielewi lengo lake ni nini hasa.

Pia soma: Mzazi wangu hajaridhika na mchumba wangu, hajasema lakini nimeona ishara
Ayaaaa ushapigwa pini aisee jaribu kuchepuka uone. Nguo zako atazivaaje na kazi peleka mlingotini kwa mtaalam 😛
 
Si umeona uchi mtamu ni huo tu, ngoja sasa nzi ufie kwenye kidonda.
 
Ayaaaa ushapigwa pini aisee jaribu kuchepuka uone. Nguo zako atazivaaje na kazi peleka mlingotini kwa mtaalam 😛
Siwezi kuchepuka kwa sababu hiyo, ila nikiona mambo yamekuwa mabaya zaidi nitamuuliza
 
Mkuu ukisema nimechelewa unamaanisha tayari nimeshapata madhara?
Mkuu unaonekana we ni mtu mwema, huyo mchumba baada ya kugundua hajakubalika kwa bi mkubwa kuna watu aliwashirikisha wakamwambia akukamate, yaani usipindue kwake hata uambiwe nn na nani.

kwa hyo alishapelekwa/alishaenda kwa mtaalamu na hvo vyote anavofanya ni maelekezo ya mtaalamu, kwa hyo mkuu hapa cha kuomba tu ni huyo mtaalamu awe famba ila akiwa wa ukwel, mkuu umekwisha.
 
Back
Top Bottom