Napata Mshahara wa laki 3, nataka niache kazi nikajiajiri

Asante sana kaka .

Kwanza natumia muda mwingi sana kwenye kazi nisiyojua future yake .

Na ikiwa nimetoka kufanya kazi nyingi tu za kueleweka.
 
Asante sana kwa ushauri
 
Wewe ni volunteer halafu unasema unalipwa mshahara!!!!

Nyie vijana; kazi mnayo.
 
Ungeingia katika site ya job ya Yapi merkez ukatupia maombi ingekuwa poa sana hasa kwa LOT 3 na 4 kwa ulivyojieleza ukashindwe wewe tu kwenye usaili.
 
Ndo fuatilia ili ujue hicho unacholipwa ni mshahara au ni kitu gani. Itakisaidia hata kwenye maamuzi yako unayotaka kufanya.
 
Ndo fuatilia ili ujue hicho unacholipwa ni mshahara au ni kitu gani. Itakisaidia hata kwenye maamuzi yako unayotaka kufanya.
Shida ni taasisi kubwa nimefuatilia kwa haraka haraka watu wengi waliiondoka hapa...wakapigiwa simu na kupewa mkataba
 
NSSF uliambatanisha vielelezo gani wakakulipa na pesa wanalipa kwenye akaunti au ni unapewa open cheque? Na vipi kuhusu makato hawana? Mkoa gani uliombea NSSF?

NAOMBA KUWASILISHA!!

Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
 
Mshahara wako hauna tofauti na askari magereza.
Ila maisha haya njiani unamuona mtu kaulamba suruali kali shati imenyooka kiatu kikali ila Kichwani stress tupu mshahara kidogo +masaa ya kazi mengi.
Askari jela anaweza pata zaidi ya mshahara wake akiamua jilipua
 
Wazo zuri kama una uhakika kutakuwa na maendeleo
 
Biashara gani ume plan kuifanya kwa 3mil.?

Mil 3 inaweza kutosha kabisa ukafanya biashara vizuri

au inaweza isitoshe na biashara ikashindikana kutegemea na gaharama za kuendesha biashara yenyewe ,
 
Biashara unayotaka kufanya, itachukuwa muda gani kukuingizia Tshs 300,000 kama faida kila mwisho wa mwezi..?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…