Napata raha sana kuona mashabiki wa Simba na Man U wakiwa hawana raha

Hapo kwa man utd unazingua
 
Mkuu usichukulie mambo serious hivyo na gazeti lako lisilo na aya.

Watu tuna wapenzi, wazazi na marafiki wanazipenda hizo timu haina maana tunapenda kweli kuona wanavyoteseka.
Ni utani tu, nothing serious.
Pole
Kono la nyani (FIVE O'CLOCK) limewaumiza wengi.
Hajui kama huu mwengine ni utani tu wa mpira.
 
kuna ndugu yangu mmoja hapa ni shabiki wa simba na mwanitesa, ndani ya siku mbili tatu hizi amekonda ghafla. kimebaki kichwa tu. kichwa kikubwa mwili mdogo kama siafu. basi nikimuona naaimba 'sio leo, toka zamani, mnyama hana amani"....
 
kuna ndugu yangu mmoja hapa ni shabiki wa simba na mwanitesa, ndani ya siku mbili tatu hizi amekonda ghafla. kimebaki kichwa tu. kichwa kikubwa mwili mdogo kama siafu. basi nikimuona naaimba 'sio leo, toka zamani, mnyama hana amani"....
kichwa kikubwa mwili mdogo kama siafu[emoji23][emoji23][emoji113]
 
kuna ndugu yangu mmoja hapa ni shabiki wa simba na mwanitesa, ndani ya siku mbili tatu hizi amekonda ghafla. kimebaki kichwa tu. kichwa kikubwa mwili mdogo kama siafu. basi nikimuona naaimba 'sio leo, toka zamani, mnyama hana amani
Safi sana😊😊😊🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…