Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo lipo wazi. Wanaumia anaposawazisha yaliyohalibiwa.Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.
Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?
Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.
Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.
Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Umesema kweli kabisa. Ccm wengi wamemchukia tangu mwanzo. Wapinzani walimwona kama mkombozi lakini sasa wamechonganishwa na wengine wamegeuka sasa ni wengi wana mashaka. Mama bila sha atagundua hila hii.Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.
Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?
Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.
Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.
Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Wewe mnufaika wa kuwaibia chadema Simu pesa zao pindi mlipoenda kuwakamata kienyeji kwa njia haramu za kishetani lazima ushabikie upumbavu wenu ambao unaenda kuwagharimumama kamata hapo hapo, hawa nguchiro walikatika sana viuno kusikia umekamata sabaya.
kwa sasa eti unakwamishwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Kote Duniani wanamjadili kwa njia zote na wengi sasa wanamuona dikitetaUmesema kweli kabisa. Ccm wengi wamemchukia tangu mwanzo. Wapinzani walimwona kama mkombozi lakini sasa wamechonganishwa na wengine wamegeuka sasa ni wengi wana mashaka. Mama bila sha atagundua hila hii.
Mitaani ni kama wananchi wamechoka, wamekasirika. Ccm, hii ni hatari.
Wamemchochea mama kaingia kingi pasipo kujielewa sasa anaichafua Nchi kwenye sura ya kimataifa na ndaniSukuma gang and mataga at work,
Tena kama yule gaidi mbowe astoke kbsmama kamata hapo hapo, hawa nguchiro walikatika sana viuno kusikia umekamata sabaya.
kwa sasa eti unakwamishwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Ni sawa mkuu. Ila ukweli unabaki pale pale kwamba Kiranga amekupigia mpira mwingi mpaka ukaanza kujichekesha chekesha.
Mods wakipitia huu uzi wakaona vyenye umepigwa KO sina shaka Kiranga atapigwa ban ya mwezi.
Ngabu umepigiwa mwingi, kataa blaza, kataa [emoji38][emoji38][emoji38]
Nakuunga mkono kwa asilimia 100.President Samia ana miezi 4 tu ,tayari washaanza kumsema lakini watashindwa.NI SUKUMA GANG NA WANAJULIKANA.NDIO MAANA NILIANDIKA HAPA ALIKOSEA TOKEA MWANZO KUTEUA WATU AMBAO SASA WANAMHUJUMU.HAINGII AKILINI MWEZI MMOJA TU ALIWAACHIA MASHEIKH WA UAMSHO HALAFU JUZI AMKAMATE CHAIRMAN MBOWE.TENA MWANZA KWA HAO SUKUMA GANG.HILI KUNDI LINA MTANDAO MKUBWA NDANI NA NJE YA NCHI.KWA SASA AWAACHIE KWA KUTUMIA MADARAKA YAKE CHADEMA WOTE NA AKATAZE MIKUTANO YOTE YA CCM,CHADEMA NA WENGINEO KWA SABABU YA COVID 19.PRESIDENT SAMIA IONYESHE DUNIA KUWA WEWE NI SHUJAA.Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.
Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?
Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.
Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.
Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Anayeiongoza nchi ni Rais wa nchi kama ilivyokuwa kwa waliopita the only difference is she is a woman...Taasisi ya urais haijabadilika wala chama kilichomadarakani hakijabadilika kisha Rais huyu ameshakaa kwenye nafasi ya usaidizi wa Rais kwa miaka 6 je kuna mtu mzoefu kama yeye?Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.
Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?
Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.
Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.
Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Bakamala ginehe hangiBhasukuma bhakamala gete[emoji16]
Bakayomba "Kaya namuge"Bakamala ginehe hangi
Hehe so ilikuaje mkutano hamkufanyia moshi ili msihujumiwe na sukuma gang?Nakuunga mkono kwa asilimia 100.President Samia ana miezi 4 tu ,tayari washaanza kumsema lakini watashindwa.NI SUKUMA GANG NA WANAJULIKANA.NDIO MAANA NILIANDIKA HAPA ALIKOSEA TOKEA MWANZO KUTEUA WATU AMBAO SASA WANAMHUJUMU.HAINGII AKILINI MWEZI MMOJA TU ALIWAACHIA MASHEIKH WA UAMSHO HALAFU JUZI AMKAMATE CHAIRMAN MBOWE.TENA MWANZA KWA HAO SUKUMA GANG.HILI KUNDI LINA MTANDAO MKUBWA NDANI NA NJE YA NCHI.KWA SASA AWAACHIE KWA KUTUMIA MADARAKA YAKE CHADEMA WOTE NA AKATAZE MIKUTANO YOTE YA CCM,CHADEMA NA WENGINEO KWA SABABU YA COVID 19.PRESIDENT SAMIA IONYESHE DUNIA KUWA WEWE NI SHUJAA.