Napata shaka, kuna kikundi ndani ya CCM kinaratibu kumkwamisha Rais Samia 2025

Napata shaka, kuna kikundi ndani ya CCM kinaratibu kumkwamisha Rais Samia 2025

Hivi ukiwatoa wanasheria mwakyembe lisu na mnyika bungeni ukaingiza shigongo gambo na msukuma unategemea nini kama sio udaku wa tozo na kwenda burundi
 
CCM ni mimtu ya ovyo sana na vyama kama hivi siku vikishindwa uchaguzi viongozi wake wanaishia kuburuzwa mitaani, kufunguliwa kesi na kupigwa marufuku for life, na huyo mama hana maana kabisa acha wapuuzi wavurugane tuu
 
Mama anatakiwa aelewe kwamba tokea ameshika kijiti Mataga wengi hawako upande wake na hili liko wazi, watu ambao walikuwa wanampa support kwa asilimia kubwa na wale wa upande wa pili na slogan yao "anaupiga mwingi"

Nakumbuka hata yeye mwenyewe kuna siku alisema kuwa anasikia nje watu wakimsifia kuwa anaenda vizuri, swali ni je kama upande wa pili kaharibu vibaya mno tena ndani ya muda mfupi hasa ishu ya Mbowe atasapotiwa na nani sasa?
 
Mama anatakiwa aelewe kwamba tokea ameshika kijiti Mataga wengi hawako upande wake na hili liko wazi, watu ambao walikuwa wanampa support kwa asilimia kubwa na wale wa upande wa pili na slogan yao "anaupiga mwingi"

Nakumbuka hata yeye mwenyewe kuna siku alisema kuwa anasikia nje watu wakimsifia kuwa anaenda vizuri, swali ni je kama upande wa pili kaharibu vibaya mno tena ndani ya muda mfupi hasa ishu ya Mbowe atasapotiwa na nani sasa?
Fungate limekwisha...
 
Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.

Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?

Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.

Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.

Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Ni kweli ulichoandika,ata ivyo huyu mama uwezo wake wa kushughulika na mambo ni mdogo sana.

Namuona Philip Mpango akipasha maana hiyo 2025 kwa mama ni mbali sana.
 
Team Jiwe ndani ya CCM ishaanza kumharibia mama nje na ndani ya Tanzania...tangu juzi jana na leo Maza ana trend kimataifa vibaya mno.
Mama wanamuendesha, anajiharibia kabisakabisa
 
Mkuu. On a serious note embu nipe mwongozo on how do I become this much great analytical thinker. Unapindua hoja nzito with ease.

Hapa jamvini hakuna wasiotambua na ku appreciate uwezo wako wa kujibu na kujenga hoja. Wengi hawawezi ku appreciate kutokana na msimamo wako wa masuala ya imani lakini ukweli unasimama

Nina mpango wa kununua masterclass ya Neil DeGreasse Tyson for my own personal development, una recommend? Kama unaweza recommend some readings i will appreciate.

Ntafurahi kama hazitogusia mambo ya dini na imani kwasababu katika hilo i am not prepared to change my way of thinking. Namuamini sana Mungu, najua aliponitoa.

Thank you in advance, Sir
Mkuu,

Mara nyingi kujenga utamaduni wa utashi na kusoma sana, kwa muda mrefu, mambo ya sayansi, historia, uchumi, falsafa n.k, pia kusoma kwa nia maalum si kusoma tu. Pia ni muhimu kuwa na muelekeo fulani unaokuongoza.

Kwa mfano, hapo juu nimejikita kwenye muelekeo wa haki uliozidi sheria na mahakama. Nimetaka kuona wapinzani wanatendewa haki, mapema, na nimemmulika rais kamq mtu mwenye uwezo wa kutoa na kuwekea uzito haki, lakini amepwaya katika hilo.

Kwenye vitabu nafikiri vya logical thinking vitakuwa na msaada sana. Nipe muda niangalie librqry yqngu nitakupa list uiangalie.
 
Prof Kaboko,

Naona kitu ambacho ama hukioni au unajifanya hukioni.

Freeman Mbowe alimsonya Rais Samia hadharani na kuazimia kuangusha serikali kwa njia ya makongamano, mikutano ya hadhara na maandamano.

Kwa ufupi, Mbowe alitangaza nia ya kufanya uhaini, pure and simple.

Hauzifahamu kanuni za kuwashughulikia watu wenye dhamira ya kufanya uhaini?

Wewe ungekuwa mkuu wa serikali usingezitumia?

We have to call a spade not a spoon.
Uhaini?
 
Nimekarudia rudia kuangalia kale ka clip alichikua anasema ''aliesimama apa ni raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania amabe maumbile yake ni ya kike'' uku watu wengine wakimpigia makofi paaah paaaah paaaah paaaaah

Nimeimis sana ile salamu iseeee...nawasalimu kwa jina la ...... mtamalizia wenyewe

Poor Tanzania
 
Aisee. Umemfanya nyani ngabu aonekane mweupe mno. Umemgaragaza. Mpumzishe sasa tafazali [emoji38][emoji38][emoji38]

Hahahaaa!

Ukiwa na uwezo mdogo wa kiakili ndo unaweza kuona kanigaragaza!

There was a method to my madness. Something that appears to be way above your pay-grade.

I’m very confident in my abilities.

Hakuna alichogaragaza hapo. Ni wewe tu ndo uliyeshindwa kunielewa.

Yeye mwenyewe mwanzoni hakunielewa. Baadaye ndo naona kidogo akaanza kuelewa.

Hahahaa….noa ubongo wako kwanza ndo uje na mambo ya kugaragazwa.

Unlike you, mimi najiweza. Sihitaji pointers toka kwa Kiranga za namna gani ya kuchanganua mambo.

Una uwezo mdogo na ndo maana hukunielewa. Una uwezo mdogo na ndo maana unataka kuwa kama yeye.

[emoji1787]
 
Napata shaka ndani ya CCM kinaratibu mipango kiufundi sana kumkwamisha Mama 2025 ikiwa anatahitaji tena kugombea. Hili jambo tunaweza kuona kama masihara lakini tutaelewana tu mbele ya safari. Wanataka kumchonganisha Mama na wananchi na jumuiya za kimataifa ili kufikia 2025 waseme ameshindwa kutuvusha, ili waseme tunahitaji mwanaume asimame.

Haiwezekani unatuma vyombo vya usalama wanaenda usiku kukamata kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani, chama ambacho ndio mbadala wa chama tawala kwa sababu tu anataka kufanya kongamano la kujadili katiba mpya kitu ambacho hakuna kosa lolote kisheria alilofanya. Kitu hiki kimeripotiwa media zote za kimataifa na sasa inafahamika kua Tanzania hakuna utulivu wa kisiasa (Political instability). Mwekezaji gani ataamini kua Tanzania mazingira yamebadilika kama vyombo vya usalama vinakamata mtu bila kosa lolote? Mambo ya kubambikiziana kesi kweli yamekwisha? Ni mfadhili gani alete misaada yake eneo ambalo sasa litssomeka kuna migogoro ya kikatiba?

Hili kundi linaelewa madhara makubwa ya kumkamata Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, hiki chama kina mahusiano na Democratic parties mbali mbali duniani tena vyenye dola katika mataifa makubwa makubwa. Kufanya hivi kumeichafua sana taswira ya nchi na ndio hapa Mama atakwamishwa makusudi.

Bado kuna suala la tozo za miamala, ukiliangalia kwa makini utaona ni kama lineratibiwa kiufundi sana kumchonganisha Mama na wananchi ingawa ameshtuka mapema. Hii haijawahi kutokea wananchi wanapandishiwa Tozo maradufu zaidi kwenye huduma wanayotegemea kwa kiasi kikubwa, halafu bado waziri anatoka hadharani na kuwatukana wananchi wanaolalamika tena anaongea kwa kibri bila kupima madhara yake. Huyu kiongozi unaweza kuhisi ni kama alitumwa kumharibia Mama makusudi.

Naweza kuandika haya na yakachukuliwa poa lakini tutajuana mbele ya safari. Kinachofuata ni kuibuka kwa migogoro ndani ya CCM yenyewe muda si mrefu. Hali hii itamkatisha tamaa sana Mama.
Mwigulu ni pandikizi la waliokataa mama kupewa Uraisi. Mama Samia asiposhitukia huu mpango unaouongelea hapa itakula kwake, unless awe hataki tena kugombea 2025.
 
Sawa mkuu Ngabu. Lakini hiko kipigo umekula sio cha kitoto [emoji38][emoji38][emoji38]. Kwa kifupi umenyooshwa mkuu. Kiranga hana huruma kabisa, utadhani hamfahamiani bwana daaah
Kipigo gani wakati I was being plainly sarcastic?

Maybe you are just too dumb to discern the obvious!

Hakuna aliyenyooshwa. Labda ni vile tu una kiwango cha chini cha uelewa na ndo maana unamwona kama vile yeye ni mtu wa ajabu sana hadi unamwomba pointers za uwezo wa kuchanganua mambo!

Stupid and dumb beyond belief.
 
Kama polisi wamekosea si itaonekana mahakamani kwenye kesi….

Kwa nini Rais aingilie mchakato wakati mchakato una hatua zake zilizopo kisheria?
Nafikiri utakuwa umesikia kauli ya Simbachawene leo kuwa amewaonya askari wake waache kubambikizia kesi
 
Kweli kabisa hata mimi nimeingiwa na mashaka kuhusu hii, ya mbowe kukamatwa bila kosa pia. Kunajambo liko nyuma ya pazia, kunamakosa ya kukamatwa lakini sio hili.
 
Back
Top Bottom